Tamaa na mbio za mujini zitawamaliza hawa wanawake.
Duh! Ebu waeleze mkuu. Hii tabia ya kupenda kuwa punda hakika kutawamaliza.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tamaa na mbio za mujini zitawamaliza hawa wanawake.
Baada ya bondia na footballer sasa musichana ya movie (maana kila asiyekuwa na address mjini sasa anataka awe muigizaji ili atoke khaa ) na toto ya town imekwisha Brazil eeh wasichana nyie wadogo mna mambo makuu jamani hizi lace wig, peruvian, simu za bei ya juu, vitz mbona zitawapeleka pabayaa??
Ndugu kama hamjawasiliana na ndugu yenu huyu kaeni mkao wa kula kupokea bad news (sioni huruma maana kapenda mwenyewe kuwa punda) hivi kila siku hamuoni TV/News Paper na Blogs zikiandika kwamba hali ya hewa ni mbaya ?? mara meli, mara wengine wamekamatwa Ethiopia daah mnawapa wengine ugumu wanaosafiri na Passport za ki Tanzania full kuangaliwa mpaka sehemu zisitakiwa.
NB
wale wasichana wanaoshawishiwa kuwa mapunda na makontena na wengine wanathubutu kwenda kwa waganga kupewa dawa ili wasishikwe USIJARIBU hakuna cha mganga wala nini, tulizana na tafuta plan B ya maisha na nini cha kufanya please i beg nisiposisitiza hivi tutapoteza wengi.
SOURCE:
www.sintah.com: MUREMBO YA MUJINI ANASA NA SEMBE BRAZIL!
Baada ya bondia na footballer sasa musichana ya movie (maana kila asiyekuwa na address mjini sasa anataka awe muigizaji ili atoke khaa ) na toto ya town imekwisha Brazil eeh wasichana nyie wadogo mna mambo makuu jamani hizi lace wig, peruvian, simu za bei ya juu, vitz mbona zitawapeleka pabayaa??
Ndugu kama hamjawasiliana na ndugu yenu huyu kaeni mkao wa kula kupokea bad news (sioni huruma maana kapenda mwenyewe kuwa punda) hivi kila siku hamuoni TV/News Paper na Blogs zikiandika kwamba hali ya hewa ni mbaya ?? mara meli, mara wengine wamekamatwa Ethiopia daah mnawapa wengine ugumu wanaosafiri na Passport za ki Tanzania full kuangaliwa mpaka sehemu zisitakiwa.
NB
wale wasichana wanaoshawishiwa kuwa mapunda na makontena na wengine wanathubutu kwenda kwa waganga kupewa dawa ili wasishikwe USIJARIBU hakuna cha mganga wala nini, tulizana na tafuta plan B ya maisha na nini cha kufanya please i beg nisiposisitiza hivi tutapoteza wengi.
SOURCE:
www.sintah.com: MUREMBO YA MUJINI ANASA NA SEMBE BRAZIL!
Duh! Ebu waeleze mkuu. Hii tabia ya kupenda kuwa punda hakika kutawamaliza.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
hawa huwa hawakomi. akili zao sijui ziko sehem gani ya mwili. Pamoja na wote hawa kukamatwa bado kuna wengine wanapaki mzigo waanze safari. wengine tayar wapo airport na mzigo.
Tamaa na mbio za mujini zitawamaliza hawa wanawake.
right comment from wrong person
Tatizo la watanzania ni kule kuigana na kutambiana pasipo sababu, na mara nyingi utakuta asiye na akili timamu na aliyeshindwa maisha anataka kuwa muigizaji au mcheza sinema ili aonekana kwenye TV hatimaye wauza unga wamchukue na kumchezea kisha aandikwe magazetini na kuwa juu ili wanawake wenzake wamuogope. I do not feel sorry for these kind of people. Hapa Bongo si wasanii wa bongo fleva ama bongo movie wanastahili kupoteza muda wangu. Kamata na chinja wote hawa. Lawama zote zimwendee Mh. rais Mtukufu Mungu Kikwete kwa kutufikisha hapa. Nasema hivyo kwani yeye kama rais na mwenye mamlaka ya juu hapa nchini angekemea huuu ujinga wala tusingefika hapa.
right comment from wrong person
Baada ya bondia na footballer sasa musichana ya movie (maana kila asiyekuwa na address mjini sasa anataka awe muigizaji ili atoke khaa ) na toto ya town imekwisha Brazil eeh wasichana nyie wadogo mna mambo makuu jamani hizi lace wig, peruvian, simu za bei ya juu, vitz mbona zitawapeleka pabayaa??
Ndugu kama hamjawasiliana na ndugu yenu huyu kaeni mkao wa kula kupokea bad news (sioni huruma maana kapenda mwenyewe kuwa punda) hivi kila siku hamuoni TV/News Paper na Blogs zikiandika kwamba hali ya hewa ni mbaya ?? mara meli, mara wengine wamekamatwa Ethiopia daah mnawapa wengine ugumu wanaosafiri na Passport za ki Tanzania full kuangaliwa mpaka sehemu zisitakiwa.
NB
wale wasichana wanaoshawishiwa kuwa mapunda na makontena na wengine wanathubutu kwenda kwa waganga kupewa dawa ili wasishikwe USIJARIBU hakuna cha mganga wala nini, tulizana na tafuta plan B ya maisha na nini cha kufanya please i beg nisiposisitiza hivi tutapoteza wengi.
SOURCE:
www.sintah.com: MUREMBO YA MUJINI ANASA NA SEMBE BRAZIL!