Madawa ya Kulevya: Aisha Bui (mke mwenza na Amina chifupa) nae akamatwa Brazil

Tamaa na mbio za mujini zitawamaliza hawa wanawake.

Duh! Ebu waeleze mkuu. Hii tabia ya kupenda kuwa punda hakika kutawamaliza.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 

This is too much! Acha sheria ichukue mkondo wake!
 
......Huyo ni kamanda,hiyo ni moja ya viunzi. Mjini pesa sio idadi ya vyeti.
 
Wakamatwe tu. Watupwe selo tu na ikibidi wanyongwe kabisa. Tumechoka sasa....
 

Mkuu source ndio huyo sinta wewe kweli huna kazi ya kufanya huyo mdada unae sema Aisha Bui mbona yupo mtaani na bwana wake yule mvuta bangi amekwenda lini huko brazil?
 
Kweli ni mjinga tu ambae hajui kwamba tanzania hii Dili zote za hatari,zinapigwa na viongozi wa ccm,kwa ujumla waliopo madarakani.bangi,wanauza wao,madawa wao,wanyama mbugani wao,wasomali wanasafirisha wao,meno ya tembo wanasafirisha wao,bado kodi zetu wanaiiba,kifupi mtu yeyote anayeng'ang'ania ccm Ana issue zake anazopiga,kuwepo humo anajua hakuna mtu atakaye muuliza,lukivi si alishindwa kutaja wabunge wauza unga,alitaka wahusika wasiwe ccm,ndio awataje,
 
Money mongers, bado safari mbichi. Mungu atusaidie tu
 
Matumbo ya wanawake yanabeba mzigo mkubwa wa sembe.
 
MPAKANJIA alimtumia sana huyu bibie mpaka akaamua amuoe!Ana uzoefu wa kutosha kubeba mzigo
 
hawa huwa hawakomi. akili zao sijui ziko sehem gani ya mwili. Pamoja na wote hawa kukamatwa bado kuna wengine wanapaki mzigo waanze safari. wengine tayar wapo airport na mzigo.

hawa punda kwanza hufanywa wahovyo....wa haovyo haswa...wawe wa kiume au wa kike huwekwa tayari kuthudumia wanuame kwa huduma nyingine wakati wakisubiri mzigo wa kubeba ba fweza inakwenda kwa ma don...Akili hakunaga kwa kiumbe anayetoa upande wa pili...ni njia mbaya kabisa ya kutumikisha watu.Waliberali siku ozte wanaangalia vitu vidogo sana wakati wengine wakiwa ktk serious issue.

Hii ndio nchi ya JK akiangalia uwanja wote anakuwa very happy maisha bora kwa kila don na ya ya kufisha ya punda.
 

kuwaalika hawa wabeba unga ikulu wakafuturu
 

Ujasiri huu wa Watanzania ungekuwa kwenye kazi halali na hasa kupigania haki yao kwa wakoloni wetu weusi igekuwa jambo la maana sana
 
Dah huyu Dada nlikuwa natafuta namba yake siku nyingi nimwambie ya moyoni ndio basi tena<3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…