Haya nakupa Uraisi..Hivi Tz hatuna watawala.! Mambo yanayoendelea ya uvunjifu wa maadili yamezidi. Ningepewa urais japo wa siku moja ningefanya jambo. Tanzania nakuhurumia...
MICHARAZO MITUPU: Aisha Bui akana kukamatwa na 'unga' Brazili, adai yu salama Afrika Kusini
ukweli unaweza kufichwa lakini unajulikana baadae hata kama unayemhusu hayupo kimwili lakini utaweza kuathiri maisha ya uhai wake positively au negatively. Tena huu umetumia muda kidogo tu maana ukweli mwingine unaweza kukaa hata miaka zaidi ya 50++!Kumbe ndiyo maana marehemu Mpakanjia aliamua kumwoa baada ya kumwacha Amina? Kumbe alioa mtu ambaye hataweza kuchafua hali ya hewa kama marehemu Amina? Aise, kunguru wanaofanana wanaruka pamoja. Rest in peace dada yetu mpendwa Amina. Ninataka sheria mpya ya madawa itamke wazi kuwa mtanzania akipatikana na madawa na ikawa proved beyond doubt basi atanyongwa!!! Punda wakiogopa kubeba basi na wafuga punda watakosa biashara maana wao hawataki kuwa wahanga.
Khaa!! wanawake wengine kichwani ni zero kabisa. mbona huyu dem ni kisu kikali tu kama angeenda kutega pale bungeni angewakamata wengi na angepata mshiko wa nguvu tuu tena wa uhakika kuliko alivyoamua kuhangaika na sembe. Ndiyo hawa wajinga wana uchumi halafu wameukalia:A S angry:Baada ya bondia na footballer sasa musichana ya movie (maana kila asiyekuwa na address mjini sasa anataka awe muigizaji ili atoke khaa ) na toto ya town imekwisha Brazil eeh wasichana nyie wadogo mna mambo makuu jamani hizi lace wig, peruvian, simu za bei ya juu, vitz mbona zitawapeleka pabayaa??
Ndugu kama hamjawasiliana na ndugu yenu huyu kaeni mkao wa kula kupokea bad news (sioni huruma maana kapenda mwenyewe kuwa punda) hivi kila siku hamuoni TV/News Paper na Blogs zikiandika kwamba hali ya hewa ni mbaya ?? mara meli, mara wengine wamekamatwa Ethiopia daah mnawapa wengine ugumu wanaosafiri na Passport za ki Tanzania full kuangaliwa mpaka sehemu zisitakiwa.
NB
wale wasichana wanaoshawishiwa kuwa mapunda na makontena na wengine wanathubutu kwenda kwa waganga kupewa dawa ili wasishikwe USIJARIBU hakuna cha mganga wala nini, tulizana na tafuta plan B ya maisha na nini cha kufanya please i beg nisiposisitiza hivi tutapoteza wengi.
SOURCE: sintah.com
Khaa!! wanawake wengine kichwani ni zero kabisa. mbona huyu dem ni kisu kikali tu kama angeenda kutega pale bungeni angewakamata wengi na angepata mshiko wa nguvu tuu tena wa uhakika kuliko alivyoamua kuhangaika na sembe. Ndiyo hawa wajinga wana uchumi halafu wameukalia:A S angry:
Khaa!! hii imekaa kiutata sana vitumbua +kuchomwa + wanaume 😕Vitumbua havipikwi...
Vitumbua vinachomwa, na siku hizi wanaochoma ni wanaume...
ni wewe wema_1 ndo ulikanusha kuwa MKWANDA matumla hajakamatwa na leo umekuja na ya Aisha,watu wanahisi na wewe muuza poda au PUNDA