Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Pole aisee yaani kuna watu wanaonekana wanakula mema ya nchi kumbe yote hayo yanatokana na sembeyaani wengine tupo tunahenyeka na malesson plan na mitoto mitukutu
wenzetu hawana habarrii
ni ngumu kuisha hii bizness kama ndo hivyoo
au waache kazi hiyo waende kibugumo Gezaulole wakajilimie mihogo tabu ni jinsi walivyozoea maisha soft~soft na jembe la mkononi lilivyo!Kwa taarifa yenu wana jf !! Mkuu wa kaya yupo china rais wa china kampa pesa kibao sana kwa ajili ya miradi mbalimbali miongoni mwa masharti aliyompa ni kuangamiza kabisa wauza unga sasa mjiandee watakamatwa sana kipindi hiki mpaka jk anatoka madarakani, na wanapigwa sindano za sumu order kutoka china subirini au la mjisalimishe wenyewe !!!
pole aisee yaani kuna watu wanaonekana wanakula mema ya nchi kumbe yote hayo yanatokana na sembe
jf inaonekana kuna wauza unga wengi pia,usiniulize kivipi.
Jf inaonekana kuna wauza unga wengi pia,usiniulize kivipi.
Kivipi? Mbona rahisi. Ukitaka kujua angalia namba ya viewers wa threads za madawa ya kulevya.
Kwa mfano, huu uzi ulianzishwa jana jioni lakini tayari umeshasomwa na watu zaidi ya 8,000!
Huu umeshasomwa na watu zaidi ya 10,000: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mbo-adaiwa-kuwatishia-wafungwa-hong-kong.html
Njia nyingine kama Mods wangefanya kuwa ukitaka kusoma threads za madawa ya kulevya lazima uwe member, kungekuwa na members wapya wengi.
Kivipi? Mbona rahisi. Ukitaka kujua angalia namba ya viewers wa threads za madawa ya kulevya.
Kwa mfano, huu uzi ulianzishwa jana jioni lakini tayari umeshasomwa na watu zaidi ya 8,000!
Kumbe wakati mimi napigika mjini hapa na hawa madon wakipita na magar yao makali makali na mijengo wakiporomosha hapa mjn kumbe jeur yote sembe? KeiMAANENA zao. Wakiingia viwanja vya kula bata wanavurugu kweli.
Umesomwa na watu zaidi ya 8,000 au umetizamwa zaidi ya mara 8,000?
Kuna tofauti hapo ujue.....
Lazima utatetea kwa sababu your among them.
Umesomwa na watu zaidi ya 8,000 au umetizamwa zaidi ya mara 8,000?
Kuna tofauti hapo ujue.....
Abdu tycoon akiwekwa ndani bongo movie wanakufa njaa lulu, kajala, Steve, watakuwa na matumbo ya kuharisha saa ivi
It is 'you are' and not 'your' although you don't know what the hell you are talking about.
..... naona tuombe fbi waje kusaidia kuwaangamiza maana naona hapa bongo kama tunachekeana tu
Una maana ka-Steve nako wanakababua back? Maana hao wengine ni "ke"!! Kazi ipo!
Embu tuwekee picha ya huyo rummy maana tunamsikia tu ila wengine hatumnyaki