Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
ile majina ktk ile barua wote wauza sembe wametajwaaa jamaa walioandika hawajakosea, ilikuwa syo unafki kumcjafuliaa nani jina... Mkoroshokigoli
hivi tujiulize mbona kesi za madawa haziishi na kutolewa hukumu, mfano wa k esi hizo ni, ya mareen liyumba, bakari kimambo na wairan ile kesi ya tanga, shkuba, kesi mbalimbali za wanigeria etc
yuko lindi maana kuna watu fulani kino wakina hali...l walienda hko kjaribu mwekea dhamana au fanya mandingo atoke lakn jiiii aliunganishwa na kesi ya othman aliyekuwa na mtoto wa lyumba, ila mtoto wa lyumba alikuwa ana kanyagwa na othman jumba bovi tu limemkuta....ila alijua fika deal ya bwana wake huyohivi shkuba amewekwa selo gani???
Hayo ni mabush Kweli au wanaondoka wazima wakirudi kutoka huko wanakochukulia madawa ndio wanarudi na mabusha? Na unaweza kuta daktari anaefanya hiyo operesheni ni mmoja tene chini ya uangalizi wake, maana hawa jamaa ni wauaji.Chonji ni maarufu sana huyo jamaa anatoa misaada ya kuwasaidia wanaotaka kufanyiwa upasuaji wa MABUSHA
kilo 7 ukikutwa nazo hkuna dhamana ngoha tuone hi itakuwaje.....chonji mmakonde yule.. Mkoroshokigoli
kilo saba kubwa kuliko yale ya masogange? Hii itaambiwa kemikali ya kutengeneza chakula cha kuku.
kilo 7 ukikutwa nazo hkuna dhamana ngoha tuone hi itakuwaje.....chonji mmakonde yule.. Mkoroshokigoli
sinza majambazi na wapigaji.. Mkoroshokigoli
kama wakuu walisafiri kwenda kumsafisha masogange na ule mzigo ulivunja rekodi, itakuwa hii kilo 7? yule ndugu yake rostam alikamatwa na kiasi gani kule Tanga, mpaka leo hakujawahi kuwa na kifungo, hapo utaambiwa alisingiziwa haikuwa cocaine, mkuu mwenyewe anayo list na kaka kimya.
kama wakuu walisafiri kwenda kumsafisha masogange na ule mzigo ulivunja rekodi, itakuwa hii kilo 7? yule ndugu yake rostam alikamatwa na kiasi gani kule Tanga, mpaka leo hakujawahi kuwa na kifungo, hapo utaambiwa alisingiziwa haikuwa cocaine, mkuu mwenyewe anayo list na kaka kimya.
.. Mkoroshokigoli mimi nilizaliwa na kukulia mtaa ufipa miaka ile zamani hata chadema walikuwa hawapo mtaa wte walikuwa wanauza ngomaaa nyumba zote mtaa ulikuwa balaa yaani...kuna maskani ya aiax wauza unga wapo wengi alafu kuna mateja kama 100, ilibidi kitengo wapige kambi kuua biashara hapo.walikaa for miezi kama 3 kuna bosi mmja wa kitengo abaitwa ndaki alishanikamataga jamaa alidhamiriaa kuua biashara pale, maana aliyekuwepo na yupo wte ndani...kinondoni hakufai kwa unga kabisa
yaan ww umeielezea vzur sana Kino,naona manyanya kwa sasa hali ndio mbaya sana,lakini naona mateja mwananyamala,ukipita near mwananyamala hosptal ndo kuna kambi ya mateja wanaofanya rehab
Huyu Bwana ni kati ya wafadhili wa CCM. Atatolewa tu.