reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Na Mungu hakosei amesema pia watoto,Mali na wake ni fitna kubwa sanaaKatika moja ya fitna kubwa ambayo mwenyez Mungu alimuumbia mwanadamu, bas moja wapo ni watoto. Haijalishi wa kike au wakiume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Mungu hakosei amesema pia watoto,Mali na wake ni fitna kubwa sanaaKatika moja ya fitna kubwa ambayo mwenyez Mungu alimuumbia mwanadamu, bas moja wapo ni watoto. Haijalishi wa kike au wakiume.
Hee ...zisharushwa?!!!!mweeeeKwa picha hizi kwa huku Bongo kazingua, ila binafsi sijaona maajabu.
Sijui kwann mtu unaweza muona mzuri nje, ila ndani anatishaa, sio kwa harage hili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko Tena [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Bado Shetta kile kitoto watakigonga mno hs vizee vya chama
Afande Sele aliwahi kuimba kwenye karata dume wimbo wa 2007 "Kwa mwendo huu mpaka mwanangu Tunda afike vyuo vikuu" So maneno huumba, hongera kwake.Pia mkipata MUDA mzuri muwe mnaandika na mafanikio waliyoyapata hao watoto Kama TUNDA wa afande sele ambaye kapata kazi baada ya kumaliza Elimu ya chuo kikuu.
Kwahiyo jamaa alikua kama anampromote sio?[emoji848]Sasa wee mtoto wako kutwa kumrusharusha mtandaoni
Unategemea nini
Ova
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Wanaume malaya wengi hupewa watoto wa kike washuhudie
Naona unachokoza nyuki kwenye mzinga mkuu[emoji2][emoji2]Inategemea na malezi aliyopewa binti.
Mbona binti wa Maxence Melo yuko na adabu?
Na Maxence Melo yupo proud na binti yake .
[emoji16][emoji16]NakaziaPicha ziko wapi.
Bila ya picha uzi haujakamilika huu.
Hapo unavyofurahia mwenyewe huo ni uchawi kufurahia matatizo ya watuModerator naomba hapo mwisho iwe " hivyo watoto wa kike wanavyo kuwaga wakibalehe"
Mm kuna mshikaji wangu amesomesha mtoto wa kike kuanzia primary mpaka kamaliza six shule za gharama lakin matokeo yake,then binti alichomzawadia baba yake ni maumivu tuuNakazia.
Mimi hadi nilijuta kwanini nililipa mamilioni kumsomesha mtoto wa kike primary
Muache akae nazo, vimbaumbau vina shida sana, sasa ye akae nazo za nini!? 😂🤣Mange kagoma kuziposti kazinunua
Muache akae nazo, vimbaumbau vina shida sana, sasa ye akae nazo za nini!? 😂🤣
Alafu kwenye video alionyesha chuo Cha sua, na kweli imejibu, yule bange Ila aliwekeza kwa Tunda toka mdogo kuhusu kusoma.Afande Sele aliwahi kuimba kwenye karata dume wimbo wa 2007 "Kwa mwendo huu mpaka mwanangu Tunda afike vyuo vikuu" So maneno huumba, hongera kwake.
Tuwe tunajinenea mema na watoto wetu Ina nguvu sana hii.
Hataki kumdhalilisha mtotoMuache akae nazo, vimbaumbau vina shida sana, sasa ye akae nazo za nini!? [emoji23][emoji1787]
Mnaweka expectations kubwa Sanaa!!Mm kuna mshikaji wangu amesomesha mtoto wa kike kuanzia primary mpaka kamaliza six shule za gharama lakin matokeo yake,then binti alichomzawadia baba yake ni maumivu tuu
Unafiki wake, kadhalilisha wangap?Hataki kumdhalilisha mtoto
🤣🤣🤣🤣Yote kuhusu madee huwa sijali lakini huwa siachi kumpongeza Madee kufanikiwa kuwa legend wa mziki huku akiwa hajui kuimba