Madee na IdrisSultan wachambana.

Aseeh ni hatari kama ukweli hivi...

BTW kwani zile 500M za Idris zimeisha?
 
Mjinga huyu dogo kasahau yeye alitakiwa kuwa mbali na mfano kwa vijana wengine
 
Watu wanaoshiriki big brother sijui wanakumbwa na laana gani..mwisho siku hizi yupo na zola d [emoji23][emoji23]
Teh teh...Mwisho Nilijua yupo Namibia..Anafanya nini na Zola D sasa..Naye ananyanyua Vyuma ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…