Madeleka kufungua kesi ili ukweli ujulikane kama waliouawa Vingunguti ni panya road

Madeleka kufungua kesi ili ukweli ujulikane kama waliouawa Vingunguti ni panya road

Madeleka acha upumbavu Sheria haiwezi maliza uhalifu isipokuwa bunduki.
 
Iki ni kichak cha kuua watoto wetu polisi wanatakiwa kudhibitisha upanya road je wataweza?
Wakati huo panya rodi walikuwa na Sila zip? Kwa ni I police wasipige miguuni then wawapeleke hospital watibiwe then washtakiwe mahakamani ?

Japo auaye kwa upanga atakufa kwa upanga
 
Wakati huo panya rodi walikuwa na Sila zip? Kwa ni I police wasipige miguuni then wawapeleke hospital watibiwe then washtakiwe mahakamani ?

Japo auaye kwa upanga atakufa kwa upanga
Mkuu nadhani hujui hizi mambo. Unapigwa ya mguu unawekwa kwenye difenda hizi za patrol wnaazunguka nawe hadi asubuhi. Damu zinavuja hadi unakata Moto. Kama hujakufa wanakumalizia wanakuepeleka mochwari kazi imeisha.
Nenda YouTube jambo TV online nadhani kaangalie tukio la vingunguti waathirika wa hao panya road halafu urudi kuandika tena hapa. Polisi wako na details zote kuhusu hawa madogo panya road asikuambie mtu maana wanajulikana hata na raia wa mtaani.
 
Huyu wakili anahangaika sana kutafuta attention ... he is all over the contry putting his hands on every case
Baadhi ya watanzania ni wa ajabu, walimuita Magufuli mzalendo na shujaa wakati ni mwizi, katili na muuaji, huyu anayejitokeza kuionyesha uzalendo wake kwa.vitendo mnamkejeri
 
Aache ujuaji. Polisi fanyeni kazi yenu, majambazi wanaotumia silaha za moto na zile za asili wakiwemo panya road waendelee kupelekewa moto kama kawaida.

Mama leo mwanao.
Akili zako ni ndogo sana.Kama huoni makosa kwenye huo ujinga wa polisi iko siku utayaona alafu utakua umechelewa.
 
Sana! Haiingii akilini Polisi wawapige tu risasi bila sababu. Na kwa Vingunguti probability kwamba ni panya road ni kubwa!
Siyo probably ni panya road.
Kuna video Jambo TV walikuwa wanahoji watu mtaani hapo.

Kuna mama analia mtoto wake kafa alichomwa kisu.
Kuna mzee ulinzi shirikishi kakatwa mapanga.
Kuna kijana kachomwa visu mgongoni na mbavuni kwa nyuma wanasema utumbo ulikuwa inaonekana. Huyu kijana aliwasikia wanaitana majina yao wanasema tuondoke ishakuwa jau. Aliwajua hadi kwa sura.

Watu hatari na wapumbavu kama hao lazima wauwawe mapema kabla hawajawatia vilema na kuuwa watu wengi.
Madeleka asilete siasa au kutafuta umaarufu. Tunataka polisi waache kuwaondolea kero raia tuanze kupiga kelele polisi wako wapi hadi watu wanauwawa hivi?
 
Akili zako ni ndogo sana.Kama huoni makosa kwenye huo ujinga wa polisi iko siku utayaona alafu utakua umechelewa.
It is the only way. Kama mwanao ni panya road basi andaa mazingira ya mazishi, ni mwendo wa pyu pyu, hakuna kulea majambazi.
 
Sana! Haiingii akilini Polisi wawapige tu risasi bila sababu. Na kwa Vingunguti probability kwamba ni panya road ni kubwa!
Kwani polisi anaruhisiwa kupiga risasi mtu hata kama Kuna sababu? Kwa katiba ipi? Je kesho akikupiga risasi wewe kisa mmegombania mademu halafu akasema we ni panya road? Huu uhuni ndo unatakiwa ukomeshwe
 
Kwani polisi anaruhisiwa kupiga risasi mtu hata kama Kuna sababu? Kwa katiba ipi? Je kesho akikupiga risasi wewe kisa mmegombania mademu halafu akasema we ni panya road? Huu uhuni ndo unatakiwa ukomeshwe
Polisi walikuwa kwenye operesheni maalum. Hiyo ni tofauti na ukiwa unagombea demu na individual police officer mwenye silaha.
 
Kama kuna panya road wengine wauawe wote Tu hakuna sababu ya kuleana.....dawa ya mwalifu ni kifo tu
Mapolisi wenyewe majizi tu wanaiba tozo zetu.

Hata wewe tukifukua mafaili yako tutakuta una mauchafu mengi tu, ila umejibanza mtandaoni unabwata kama mamajusi asiye na hatia.
 
Polisi walikuwa kwenye operesheni maalum. Hiyo ni tofauti na ukiwa unagombea demu na individual police officer mwenye silaha.
Nasema kwamba akiamua kukuchapa risasi na akasema ulikuwa panya road si jamii itakubali? Kwa sababu kujichukulia au kukiuka katiba imekuwa kawaida tu kama jpm alivyokuwa akiikanyaga kanyaga tu bila kujali yeyote. Kenya Fanya hivyo uone kama rais hujawajibishwa
 
Back
Top Bottom