Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati huo panya rodi walikuwa na Sila zip? Kwa ni I police wasipige miguuni then wawapeleke hospital watibiwe then washtakiwe mahakamani ?Iki ni kichak cha kuua watoto wetu polisi wanatakiwa kudhibitisha upanya road je wataweza?
Kwani wewe umekatazwa?Anasaka umaarufu kwa nguvu kubwa
Mkuu nadhani hujui hizi mambo. Unapigwa ya mguu unawekwa kwenye difenda hizi za patrol wnaazunguka nawe hadi asubuhi. Damu zinavuja hadi unakata Moto. Kama hujakufa wanakumalizia wanakuepeleka mochwari kazi imeisha.Wakati huo panya rodi walikuwa na Sila zip? Kwa ni I police wasipige miguuni then wawapeleke hospital watibiwe then washtakiwe mahakamani ?
Japo auaye kwa upanga atakufa kwa upanga
Baadhi ya watanzania ni wa ajabu, walimuita Magufuli mzalendo na shujaa wakati ni mwizi, katili na muuaji, huyu anayejitokeza kuionyesha uzalendo wake kwa.vitendo mnamkejeriHuyu wakili anahangaika sana kutafuta attention ... he is all over the contry putting his hands on every case
Akili zako ni ndogo sana.Kama huoni makosa kwenye huo ujinga wa polisi iko siku utayaona alafu utakua umechelewa.Aache ujuaji. Polisi fanyeni kazi yenu, majambazi wanaotumia silaha za moto na zile za asili wakiwemo panya road waendelee kupelekewa moto kama kawaida.
Mama leo mwanao.
Ata wewe unaweza kushukiwa panya road muda wowote.usishangilie huu ujinga kwasababu unajiona uko salama na sio mwalifu.Walioweka utawala wa sheria hawakua wajinga.Kama kuna panya road wengine wauawe wote Tu hakuna sababu ya kuleana.....dawa ya mwalifu ni kifo tu
Ndio kazi ya Wanasheria kumulika pale inapoonekana pana utata kwenye utekelezaji wa HakiAnasaka umaarufu kwa nguvu kubwa
Hapana, tumpe ushirikiano, huwezi kujua nani atakua next victim. Mungu aepushie mbali, kama ni umaarufu basi Acha aupayeAnasaka umaarufu kwa nguvu kubwa
Amen AmenAta wewe unaweza kushukiwa panya road muda wowote.usishangilie huu ujinga kwasababu unajiona uko salama na sio mwalifu.Walioweka utawala wa sheria hawakua wajinga.
Siyo probably ni panya road.Sana! Haiingii akilini Polisi wawapige tu risasi bila sababu. Na kwa Vingunguti probability kwamba ni panya road ni kubwa!
It is the only way. Kama mwanao ni panya road basi andaa mazingira ya mazishi, ni mwendo wa pyu pyu, hakuna kulea majambazi.Akili zako ni ndogo sana.Kama huoni makosa kwenye huo ujinga wa polisi iko siku utayaona alafu utakua umechelewa.
Mwenzao slishafika cheo nyota 2 akaacha anajua nini ànaongeaSubiri siku waingie home kwake huyo madeleka wambake mkewe kisha yeye apakwe mafuta ya nazi
Kwani polisi anaruhisiwa kupiga risasi mtu hata kama Kuna sababu? Kwa katiba ipi? Je kesho akikupiga risasi wewe kisa mmegombania mademu halafu akasema we ni panya road? Huu uhuni ndo unatakiwa ukomeshweSana! Haiingii akilini Polisi wawapige tu risasi bila sababu. Na kwa Vingunguti probability kwamba ni panya road ni kubwa!
Polisi walikuwa kwenye operesheni maalum. Hiyo ni tofauti na ukiwa unagombea demu na individual police officer mwenye silaha.Kwani polisi anaruhisiwa kupiga risasi mtu hata kama Kuna sababu? Kwa katiba ipi? Je kesho akikupiga risasi wewe kisa mmegombania mademu halafu akasema we ni panya road? Huu uhuni ndo unatakiwa ukomeshwe
Safi sana tunawajua form four failure wetu wa polisi hawastahili hii nguvu ya extrajudicial killings kitakachofuta watawauaa hata wadaiwa wao na Ma X wa wake zao nakuwabandikia jina tu kwamba walikua Panya Road
Mapolisi wenyewe majizi tu wanaiba tozo zetu.Kama kuna panya road wengine wauawe wote Tu hakuna sababu ya kuleana.....dawa ya mwalifu ni kifo tu
Nasema kwamba akiamua kukuchapa risasi na akasema ulikuwa panya road si jamii itakubali? Kwa sababu kujichukulia au kukiuka katiba imekuwa kawaida tu kama jpm alivyokuwa akiikanyaga kanyaga tu bila kujali yeyote. Kenya Fanya hivyo uone kama rais hujawajibishwaPolisi walikuwa kwenye operesheni maalum. Hiyo ni tofauti na ukiwa unagombea demu na individual police officer mwenye silaha.