John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Japokuwa simuamini-amini mtu huyu, lakini kwenye hili naona ana hoja ya msingi. Namuunga mkono.
Endapo kama kweli Polisi wako serious ktk kuwashughulikia wahalifu-wauaji, ni kwa nini basi hawakuwapiga risasi wale Polisi wenzao waliompora na kumuua yule Mfanyabiashara kijana wa madini wa kule Mtwara?????
Waanze Kwanza kumpiga risasi yule Polisi mwenzao muuaji wa kule Mtwara anayeitwa Kalanje.