Mapambano na CCM hayataki lelemama. Ni Kwa maneno, mwonekano au vitendo? Hakupaswi kuwapo shaka popote.
"Ni Mwabukusi, Mdude, Madeleka, Lissu, Slaa, Mwamakula, Ponda, au wa namma hiyo?"
Wapi lugha zao zikabadilika? Wapi wasiwepo kwenye mstari wa moto? Wapi wakatishika? Wapi wakaghairi kwenye wanachokiamini? Au wapi wakaishiwa hoja?
"Ama kwa hakika walipo tupo."
Aluta continua!
====
Your browser is not able to display this video.
"Wekeni hiyo mikataba wazi, na muiweke leo sio kesho. Ili haya yaliyoandikwa na mnayotaka tuyaamini tuweze kuyaona wote kwa mamcho.
"Kama serikali inasema ilizingatia maoni ya watu, serikali itakuwa inasema uongo kwa sababu wananchi wa Watanzania hawajawahi kutoa maoni yoyote kuhusu mikataba ya HGA kwasababu haipo, ndio imesainiwa juzi, sasa hayo maoni wameyatoa wapi? Wananachi walikuwa wanatoa maoni kuhusu IGA, kwahiyo kama maoni yamezingatiwa hayo maoni yatakuwa ni kuhusu IGA, na kama yamezingatiwa kweli tuonyeshwe mkataba mpya wa IGA uliosaniwa ukiwa na hayo maoni ya hao wananchi.
"...Lakini mkiisoma IGA, DP World ametafsiriwa tu kama kampuni inayotoka Dubai inayomilikiwa na serikali ya Dubai, lakini hakuna kokote DP World imetajwa kwenye mkataba kama mwakilishi wa serilikali ya Dubai kwenye uendeshaji wa shughuli za bandari za tanzania. Hana mamlaka yoyote na wala serikali ya Dubai haimjui.
"Na ndio maana aliyesaini mkataba kwa niaba ya serikali ya Dubai kuhusiana na mkataba wa IGA ni Chief Executive Officer of the Ports Customs and Free Zones Cooperation, sio hata DP World. Yaani DP World anachomekwa chomekwa katika mazingira ambayo hata kesho kutwa likitokea la kutokea hamuwezi kumuwajibisha.
"Mkataba unazibana pande mbili zilizosaini, DP World haijasaini na hii ndio katiba ya uwekezaji pale bandarini.
"Kwahiyo ituambie huyu DP World ni nani, ni akaina nani hawa DP World?"
Tulizana. Hili si la vyama tena. Hili ni la watanzania. Tulikosa kuwapa ujemedari wa vita wa namna hii:
a) Kwenye katiba mpya na bandari: Atataka katiba mpya sasa. Biashara ya bandari haipo, sasa na hata milele.
b). Atasimama na wananchi siku zote.
c). Huyu si kigeugeu. Agenda za wananchi kwake ni za kudumu.
d). Akiitisha maandamano atakuwapo mstari wa mbele. Yuko tayari kufa au hata kufungwa badala au kwa niaba ya wananchi wake.
e) Siyo mnafki, ni muwazi na anachosema au ukimwangalia, (usoni) ana maanisha.
f) Ni kipenzi cha watu.
g) Hushawishi kwa nguvu za hoja si kwa hoja za nguvu.
h) Huyu huwa na wafuasi wa dhati, siyo wafuasi wa kulipwa (chawa). Hoja zake zajiuza. Hahitaji kukingiwa kifua.
I) Amedhamiria. Lugha yake, adui huielewa Kwa ukamilifu wake.
Habari zimfikie mama Abduli na vibaraka wake. Na bado:
Tulizana. Hili si la vyama tena. Hili ni la watanzania. Tulikosa kuwapa ujemedari wa vita wa namna hii:
a) Kwenye katiba mpya na bandari: Atataka katiba mpya sasa. Biashara ya bandari haipo, sasa na hata milele.
b). Atasimama na wananchi siku zote.
c). Huyu si kigeugeu. Agenda za wananchi kwake ni za kudumu.
d). Akiitisha maandamano atakuwapo mstari wa mbele. Yuko tayari kufa au hata kufungwa badala au kwa niaba ya wananchi wake.
e) Siyo mnafki, ni muwazi na anachosema au ukimwangalia, (usoni) ana maanisha.
f) Ni kipenzi cha watu.
g) Hushawishi kwa nguvu za hoja si kwa hoja za nguvu.
h) Huyu huwa na wafuasi wa dhati, siyo wafuasi wa kulipwa (chawa). Hoja zake zajiuza. Hahitaji kukingiwa kifua.
I) Amedhamiria. Lugha yake, adui huielewa Kwa ukamilifu wake.
Habari zimfikie mama Abduli na vibaraka wake. Na bado:
"Wekeni hiyo mikataba wazi, na muiweke leo sio kesho. Ili haya yaliyoandikwa na mnayotaka tuyaamini tuweze kuyaona wote kwa mamcho.
"Kama serikali inasema ilizingatia maoni ya watu, serikali itakuwa inasema uongo kwa sababu wananchi wa Watanzania hawajawahi kutoa maoni yoyote kuhusu mikataba ya HGA kwasababu haipo, ndio imesainiwa juzi, sasa hayo maoni wameyatoa wapi? Wananachi walikuwa wanatoa maoni kuhusu IGA, kwahiyo kama maoni yamezingatiwa hayo maoni yatakuwa ni kuhusu IGA, na kama yamezingatiwa kweli tuonyeshwe mkataba mpya wa IGA uliosaniwa ukiwa na hayo maoni ya hao wananchi.
"...Lakini mkiisoma IGA, DP World ametafsiriwa tu kama kampuni inayotoka Dubai inayomilikiwa na serikali ya Dubai, lakini hakuna kokote DP World imetajwa kwenye mkataba kama mwakilishi wa serilikali ya Dubai kwenye uendeshaji wa shughuli za bandari za tanzania. Hana mamlaka yoyote na wala serikali ya Dubai haimjui.
"Na ndio maana aliyesaini mkataba kwa niaba ya serikali ya Dubai kuhusiana na mkataba wa IGA ni Chief Executive Officer of the Ports Customs and Free Zones Cooperation, sio hata DP World. Yaani DP World anachomekwa chomekwa katika mazingira ambayo hata kesho kutwa likitokea la kutokea hamuwezi kumuwajibisha.
"Mkataba unazibana pande mbili zilizosaini, DP World haijasaini na hii ndio katiba ya uwekezaji pale bandarini.
"Kwahiyo ituambie huyu DP World ni nani, ni akaina nani hawa DP World?"
Msitupotezee muda, hiyo hoja imekwisha. DP WORLD anaanza kazi tarehe 1 Novemba. 2023. Huo ndiyo mwisho wa mirija yenu ya wizi.
Kama Madeleka na wenzio hamna kazi ya kufanya shauri yenu, lakini watanzania tunataka kuona efficiency ya TPA ikipanda na makusanyo ya TRA yakiongezeka, period.
Tulizana. Hili si la vyama tena. Hili ni la watanzania. Tulikosa kuwapa ujemedari wa vita wa namna hii:
a) Kwenye katiba mpya na bandari: Atataka katiba mpya sasa. Biashara ya bandari haipo, sasa na hata milele.
b). Atasimama na wananchi siku zote.
c). Huyu si kigeugeu. Agenda za wananchi kwake ni za kudumu.
d). Akiitisha maandamano atakuwapo mstari wa mbele. Yuko tayari kufa au hata kufungwa badala au kwa niaba ya wananchi wake.
e) Siyo mnafki, ni muwazi na anachosema au ukimwangalia, (usoni) ana maanisha.
f) Ni kipenzi cha watu.
g) Hushawishi kwa nguvu za hoja si kwa hoja za nguvu.
h) Huyu huwa na wafuasi wa dhati, siyo wafuasi wa kulipwa (chawa). Hoja zake zajiuza. Hahitaji kukingiwa kifua.
I) Amedhamiria. Lugha yake, adui huielewa Kwa ukamilifu wake.
Habari zimfikie mama Abduli na vibaraka wake. Na bado:
Uongo wananchi walitoa maoni yao kwa Viongozi wa Dini baada ya kuona wabunge hopeless kabisa hawakutaka kuchukua maoni ya wananchi wakawa tu wanaongea yao ambayo hawakupewa na wanancni
Asante Kanisa katoliki kwa kupokea maoni ya wananchi na kuyawawakilisha ipasavyo
Hata Mihimili mitatu yote ikileta za kuleta kwa collusion wananchi endeleeni kukimbilia kwa Viongozi wa dini
Nani kakwambia kuna suala moja? Katiba mpya imepatikana?
F. KATIBA MPYA
Katiba yetu ya sasa ni ya CCM ni katiba ya chama kimoja, Katiba Itapatikana kwa njia moja tu, Lazima kutumia nguvu ya umma, Hakuna njia nyingine, Tunatakiwa kwenda nchi nzima kushinikiza Nguvu ya umma pekee ndio itatupatia katiba sio vingivyo.
Uongo wananchi walitoa maoni yao kwa Viongozi wa Dini baada ya kuona wabunge hopeless kabisa hawakutaka kuchukua maoni ya wananchi wakawa tu wanaongea yao ambayo hawakupewa na wanancni
Asante Kanisa katoliki kwa kupokea maoni ya wananchi na kuyawawakilisha ipasavyo
Hata Mihimili mitatu yote ikileta za kuleta kwa collusion wananchi endeleeni kukimbilia kwa Viongozi wa dini
Nani kakwambia kuna suala moja? Katiba mpya imepatikana?
F. KATIBA MPYA
Katiba yetu ya sasa ni ya CCM ni katiba ya chama kimoja, Katiba Itapatikana kwa njia moja tu, Lazima kutumia nguvu ya umma, Hakuna njia nyingine, Tunatakiwa kwenda nchi nzima kushinikiza Nguvu ya umma pekee ndio itatupatia katiba sio vingivyo.
Tunamuelewa sana Madeleka, anachoongea ndio ukweli wenyewe. Hiyo DP World ni kichaka tu, lakini watanzania wenzetu ndio wanaendesha huu uhuni kwa mgongo wa Dp World.