THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Huyo mvuta unga kwani Bado yupo?Kiswahili ni kipana ndugu. Msamiati usikutie kimuhe muhe:
View attachment 2792652
Habari ndiyo hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mvuta unga kwani Bado yupo?Kiswahili ni kipana ndugu. Msamiati usikutie kimuhe muhe:
View attachment 2792652
Habari ndiyo hiyo.
Huyo mvuta unga kwani Bado yupo?
Hivi wewe unajiona una akili timamu. Bibi tulia, huna kiwango cha akili ya kuweza kuelewa mambo haya makaubwa yanayojadiliwa. Akili yako iliishia pale kwenye ngono, uliposema kuwa waje Waarabu mpate wanaume wa kiarabu.We huyo mjinaga tu na anafahamu wajinga ndiyo waliwao.
Haelewi hata anaongea nini, anafoka foka tu.
Hujawahi kudhihirisha kuwa una utimamu wa akili.Msitupotezee muda, hiyo hoja imekwisha. DP WORLD anaanza kazi tarehe 1 Novemba. 2023. Huo ndiyo mwisho wa mirija yenu ya wizi.
Kama Madeleka na wenzio hamna kazi ya kufanya shauri yenu, lakini watanzania tunataka kuona efficiency ya TPA ikipanda na makusanyo ya TRA yakiongezeka, period.
Imeenda hiyo, mtabakia kulialia tu. Tafuta pesa broHujawahi kudhihirisha kuwa una utimamu wa akili.