Msitupotezee muda, hiyo hoja imekwisha. DP WORLD anaanza kazi tarehe 1 Novemba. 2023. Huo ndiyo mwisho wa mirija yenu ya wizi.
Kama Madeleka na wenzio hamna kazi ya kufanya shauri yenu, lakini watanzania tunataka kuona efficiency ya TPA ikipanda na makusanyo ya TRA yakiongezeka, period.