Mademu bandia wa ELON MUSK marobot wawa gumzo Duniani

Mademu bandia wa ELON MUSK marobot wawa gumzo Duniani

Wabaya🫤🫤🫤
FB_IMG_16850314624674508.jpg
watu we weeee.
Fyuu fyuuu fyuuuu miluzi tu unaambiwa.
 
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
Huko Serbia wananchi pro Russia wameipiga chata gari ya NATO herufi "Z" NATO wamevuta mdomo kwa hasira [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG_20230529_183414.jpg
 
Yakitengenezwa ya kiume aiseh!kina dada wataona hakuna haja ya dildos!!
Sidhani, kwani na yenyewe yanaweza kupiga zile push ups? Ingia-toka, ingia-toka. Yatakuwa yanaweza kunigeuza geuza na kunikunja ? Na yatakuwa yanaweza kumult task? Kufanya, kutouch na kuniongelesha at the same time? Ngozi zao vipi ni nyororo za kimdoli au ni kavu kama za hawa wamatumbi wetu? Je lina misuli inasimama likianza kufanya?

Kiukweli sisi ambao sio wapiga nyeto haya makitu hayawezi kutenda haki, wacha tuendelee kutukuza uumbaji wa Mungu kwa “Adamu” 🤣🤣🤣🤣
 
Huyu Elon Mask anachokitaka sasa ni watu wasizaliane!maana unaleta haya madude halafu mabinti zetu na dada zetu wataolewa na nani??
Tuendelee kujadili kufurahisha genge lakini Elon haja tengeneza hayo makitu na wala hayamuhusu.
 
Hawa mademu roboti wanauzwa dola ngapi? Wako kwenye maonesho ya biashara tukawaone? Shughuli ya kutoa huduma ya majamboz wanaiweza kwa ufanisi? Kupika na kudeka wanaweza?
 
Nina mpango wa kukununua moja nimpeleke kwangu aise yanavutia madude unaambiwa yanatoa huduma zote tofauti kuzaa tu View attachment 2639222
Vipi wakuu wanaweza kutengeneza umbo na sura anayoitaka mnunuzi? Natamani wanitolee kopy ya yule mtoto wa mama Agatha anaye niumiza kila leo, najua hata kesho ataniumiza,je nitaumia mpaka lini? Nimechoka. Agatha dawa yako imesha patikana bado tu kuni za kuichemsha
 
Back
Top Bottom