Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kikubwa serikali iweke ruzuku walau tuyapate kwa bei rafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣👋View attachment 2639404watu we weeee.
Fyuu fyuuu fyuuuu miluzi tu unaambiwa.
Hahah, watu mna mamboDaah yani unalipiga machine mpaka linasema system error please system error.
Sidhani, kwani na yenyewe yanaweza kupiga zile push ups? Ingia-toka, ingia-toka. Yatakuwa yanaweza kunigeuza geuza na kunikunja ? Na yatakuwa yanaweza kumult task? Kufanya, kutouch na kuniongelesha at the same time? Ngozi zao vipi ni nyororo za kimdoli au ni kavu kama za hawa wamatumbi wetu? Je lina misuli inasimama likianza kufanya?Yakitengenezwa ya kiume aiseh!kina dada wataona hakuna haja ya dildos!!
Tuendelee kujadili kufurahisha genge lakini Elon haja tengeneza hayo makitu na wala hayamuhusu.Huyu Elon Mask anachokitaka sasa ni watu wasizaliane!maana unaleta haya madude halafu mabinti zetu na dada zetu wataolewa na nani??
Ule mwisho wa Ulimwengu umekaribia!
Haya madoli yanawafaa wale wa kimoja cha sekunde tu chali maana hawaaibiki.Wanazo sasa
ToTutengenezewe za kiume, tena wawe na mb.. mbili
Dahhh we mwanadada upo! Nilikuwa sijakuona almost 4 yrs!Pelekeni vibamia vyenu huko kwa maroboti msitutishe
Vipi wakuu wanaweza kutengeneza umbo na sura anayoitaka mnunuzi? Natamani wanitolee kopy ya yule mtoto wa mama Agatha anaye niumiza kila leo, najua hata kesho ataniumiza,je nitaumia mpaka lini? Nimechoka. Agatha dawa yako imesha patikana bado tu kuni za kuichemshaNina mpango wa kukununua moja nimpeleke kwangu aise yanavutia madude unaambiwa yanatoa huduma zote tofauti kuzaa tu View attachment 2639222
Nipo dear.hujambo wewe??Dahhh we mwanadada upo! Nilikuwa sijakuona almost 4 yrs!
Nimefurahi sana.
yale mapichapicha mtandaoni ni miyeyusho eeh?Tuendelee kujadili kufurahisha genge lakini Elon haja tengeneza hayo makitu na wala hayamuhusu.
HILI NALO MKALITIZAMEUle mwisho wa Ulimwengu umekaribia!
Ni wazi.Nyie ukute na sisi ni maroboti tulitengenezwa mfumo ukazingua. [emoji848][emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23]Tutengenezewe za kiume, tena wawe na mb.. mbili