Asanteee🙏🤣.Hongera zako na baba mandigo wako😂😂😂
Mizigo kama hii sio ya masihara😀 kwa hilo niko pamoja na USANina mpango wa kukununua moja nimpeleke kwangu aise yanavutia madude unaambiwa yanatoa huduma zote tofauti kuzaa tu View attachment 2639222
Kwa namna Tesla ilivyokubalika hii midoli itakuwa zaidi ya Tesla.Elon akili kubwa sana yule, hapo atapiga hela sana yani
Unajidai mwenyewe 😂😂😂 basi acha kuumiza moyo wangu!😞😞Asanteee🙏🤣.
He is super handsome🤣.
Mweusiiii🤣.
Mrefuuuu🤣
Ile miguno ya masai wangu Nembuani namwachia nani?Nina mpango wa kukununua moja nimpeleke kwangu aise yanavutia madude unaambiwa yanatoa huduma zote tofauti kuzaa tu View attachment 2639222
Nina mpango wa kukununua moja nimpeleke kwangu aise yanavutia madude unaambiwa yanatoa huduma zote tofauti kuzaa tu View attachment 2639222
Hata wakiwa wabaya ni my wetu 😅IamBrianLeeSnr 🤣👋Kweli tena wabayaaaaaaa 🫤🫤🫤
ukisubiri hayo mpaka yatue bongo ushakuwa mbakaji ,angalia project yake ya magari ya TESLA mpaka leo nani analo mtaani kwenu!!?Nina mpango wa kukununua moja nimpeleke kwangu aise yanavutia madude unaambiwa yanatoa huduma zote tofauti kuzaa tu View attachment 2639222
Sio kweli yani walivyo kama watoto nikiwa nalo moja hata kuchit sitaweza nitalipenda sanaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
robot mamilion ya pesa.mwanamke nikiwa na elfu mbili napona.
Kwa kweli he is one of my bigest blessings🤣.Unajidai mwenyewe 😂😂😂 basi acha kuumiza moyo wangu!😞😞
Si unaona sasa mambo yenyewe kama haya ya kuringiana na kuringishiana😂😂😂Kwa kweli he is one of my bigest blessings🤣.
Unaumizwa na nin wakat umesema hututak sisi kuku wa kienyeji?🤣
Unatafuta kutekwa na Beyoncé wewe 😂😂😂Mimi langu lifanane na Jay Z 🦾
ni kweli.tatizo hana ushirikiano kwenye tendo.hawezh kuwa na utamu kama wa mwanake asilia.pia nahitaji watoto.Angalia faida ya kudumu. Halina HIV, halina Kisonono, Halipigi mizinga ya ajabu, unakula anytime bila complications.
Sijakuringishia bestie🤣Si unaona sasa mambo yenyewe kama haya ya kuringiana na kuringishiana😂😂😂
🤣🤣Unatafuta kutekwa na Beyoncé wewe 😂😂😂
Hahahaa kweli wewe!Sijakuringishia bestie🤣
Mi nikipenda ndo nilivyo.
Nataka kila mtu ajue.
Naweza hata kumsimamisha mtu nisiemjua barabarani nikamsalimia then nikamwambia Sorry nilitaka tu kukwambia kuwa kuna mwanaume nampenda kishenzi🤣