Clepatina
JF-Expert Member
- Apr 8, 2023
- 1,266
- 2,577
Asanteeešš¤£.Hongera zako na baba mandigo wakoššš
He is super handsomeš¤£.
Mweusiiiiš¤£.
Mrefuuuuš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asanteeešš¤£.Hongera zako na baba mandigo wakoššš
Mizigo kama hii sio ya masiharaš kwa hilo niko pamoja na USANina mpango wa kukununua moja nimpeleke kwangu aise yanavutia madude unaambiwa yanatoa huduma zote tofauti kuzaa tu View attachment 2639222
Kwa namna Tesla ilivyokubalika hii midoli itakuwa zaidi ya Tesla.Elon akili kubwa sana yule, hapo atapiga hela sana yani
Unajidai mwenyewe ššš basi acha kuumiza moyo wangu!ššAsanteeešš¤£.
He is super handsomeš¤£.
Mweusiiiiš¤£.
Mrefuuuuš¤£
Ile miguno ya masai wangu Nembuani namwachia nani?Nina mpango wa kukununua moja nimpeleke kwangu aise yanavutia madude unaambiwa yanatoa huduma zote tofauti kuzaa tu View attachment 2639222
Nina mpango wa kukununua moja nimpeleke kwangu aise yanavutia madude unaambiwa yanatoa huduma zote tofauti kuzaa tu View attachment 2639222
Hata wakiwa wabaya ni my wetu šIamBrianLeeSnr š¤£šKweli tena wabayaaaaaaa š«¤š«¤š«¤
ukisubiri hayo mpaka yatue bongo ushakuwa mbakaji ,angalia project yake ya magari ya TESLA mpaka leo nani analo mtaani kwenu!!?Nina mpango wa kukununua moja nimpeleke kwangu aise yanavutia madude unaambiwa yanatoa huduma zote tofauti kuzaa tu View attachment 2639222
Sio kweli yani walivyo kama watoto nikiwa nalo moja hata kuchit sitaweza nitalipenda sanaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
robot mamilion ya pesa.mwanamke nikiwa na elfu mbili napona.
Kwa kweli he is one of my bigest blessingsš¤£.Unajidai mwenyewe ššš basi acha kuumiza moyo wangu!šš
Si unaona sasa mambo yenyewe kama haya ya kuringiana na kuringishianašššKwa kweli he is one of my bigest blessingsš¤£.
Unaumizwa na nin wakat umesema hututak sisi kuku wa kienyeji?š¤£
Unatafuta kutekwa na BeyoncĆ© wewe šššMimi langu lifanane na Jay Z š¦¾
ni kweli.tatizo hana ushirikiano kwenye tendo.hawezh kuwa na utamu kama wa mwanake asilia.pia nahitaji watoto.Angalia faida ya kudumu. Halina HIV, halina Kisonono, Halipigi mizinga ya ajabu, unakula anytime bila complications.
Sijakuringishia bestieš¤£Si unaona sasa mambo yenyewe kama haya ya kuringiana na kuringishianaššš
š¤£š¤£Unatafuta kutekwa na BeyoncĆ© wewe ššš
Hahahaa kweli wewe!Sijakuringishia bestieš¤£
Mi nikipenda ndo nilivyo.
Nataka kila mtu ajue.
Naweza hata kumsimamisha mtu nisiemjua barabarani nikamsalimia then nikamwambia Sorry nilitaka tu kukwambia kuwa kuna mwanaume nampenda kishenziš¤£