Mademu wa kishua ni mzigo

kweni hujui slay queens ni chombo cha starehe??
 
Kuolewa ni subtopic bff Kuna project imenifanya nifunge 14
Naamini majibu yake yanakuja soon
Likijibiwa na Hilo fresh tu ila kikubwa ni hiyo project
Hata niko serious bas, nani afunge kwaajiri ya ndoa na vijukuu vya Farao.?? Tufunge kwa issue muhimu km hizo za project za kutuletea michongo ya pesa.
Ndoa muda wowote tukiitaka tunaipata
 
Tuma fungu la kumi nikusaidie kukuelewesha zaidi 😂😂😂
sasa na wew mtumishi saa zingine bana aah🤣

fungu la10 si kwajili ya madhabahu jamani ili injili isonge mbele na ni sisi wapakwa mafuta ndio tunaitumiaga,
sasa wew utaitumia wap kwa mfano 🤣
 
🤣🤣na hii kazi ya maombi na maombezi ya kufungua na kufunguliwa nitaifanya kwa bidii sana...

na hakuna mtu atachomoka....
Ooh hallelujah....
 
sasa na wew mtumishi saa zingine bana aah🤣

fungu la10 si kwajili ya madhabahu jamani ili injili isonge mbele na ni sisi wapakwa mafuta ndio tunaitumiaga,
sasa wew utaitumia wap kwa mfano 🤣
Na mi mama mtumishi, fungu la kumi kwaajiri ya vocha ili kuwaombea wapendwa kupitia simu 😂😂😂
 
Na mi mama mtumishi, fungu la kumi kwaajiri ya vocha ili kuwaombea wapendwa kupitia simu 😂😂😂
🤣🤣hiyo sasa hiyo haiitwi fungu la10 ni tegemeza mama mchungaji hiyo ni sadaka ya kawaida,

Hata na hivo kazi ya kwanza muhimu sana ya mama mchungaji ukiachilia zile zingine za ndani,

ni kuhakikisha Apostle ana vaa vizur, anakula ipasavyo na wakati wote anapohitaji huduma ya mama mchungaji bas isichelewe...
Na Mungu akubariki sana
 
Hata niko serious bas, nani afunge kwaajiri ya ndoa na vijukuu vya Farao.?? Tufunge kwa issue muhimu km hizo za project za kutuletea michongo ya pesa.
Ndoa muda wowote tukiitaka tunaipata
vijikuu vya farao?
ndio akina nan hao alaaaaa

kufunga kwajili ya Neema na Baraka za Mungu ni muhimu sana,
Fedha na mali na vyote viijazavyo nchi ni mali ya bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…