Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Mkuu Hebu Nisaidie Mawasiliano Yake Nimshauri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilijua ni yule aliewika mara3 wakati Petro anambitray Tha Lord Jesus ChristSi kuku 😜
Kwan we umeelewa nini.!?!!
Kumbe ulinielewa sasa kwann umeuliza.?? 😜nilijua ni yule aliewika mara3 wakati Petro anambitray Tha Lord Jesus Christ
nimeuliza ili nipate kujua na kuongeza uelewa na ufahamu wangu juu ya jambo hiloKumbe ulinielewa sasa kwann umeuliza.?? 😜
Siku ya kusukuma mtoto labor atapanua na kusukuma au atabana kwa madeko akihofia mlango kupanuka.Demu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
Huo muda wa kusukuma autoe wapi?mwenzio anapanga appointment na doctor siku ya kutoa mtoto,wenyewe Wanaita C-sectionSiku ya kusukuma mtoto labor atapanua na kusukuma au atabana kwa madeko akihofia mlango kupanuka.
Chukua level zako MkuuDemu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
🤣🤣Huo muda wa kusukuma autoe wapi?mwenzio anapanga appointment na doctor siku ya kutoa mtoto,wenyewe Wanaita C-section
Acha kuchanganya mtoto WA kishua na mwanamke mvuvi mchafuDemu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
Heee bi harusi utafanya bwanaharusi aghaili ndoaAliliii liiiii ainh
Ngoja nitulie Yasijetokea ya rushayna na zungu 🤣🤣🤣Bi harusi una wenge🤣
MmmmmhKwa kweli hiyo kazi siwezi.!! Niamke asubuhi mi jogoo?! 🤣
Mi nakuamngalia tu🤣🤣🤣ukitangaziwa ndoa unatulia kama good girl Hadi tukio la harusi liisheNgoja nitulie Yasijetokea ya rushayna na zungu 🤣🤣🤣
Ngoja nianze novena acha Nintendo jeshi la wokovu tuingie vitani Lamomy Tayana-wogMi nakuamngalia tu🤣🤣🤣ukitangaziwa ndoa unatulia kama good girl Hadi tukio la harusi liishe