Madeni ya Taifa: Kuna kitu very serious CAG amekisema. Hii kitu haiko sawa. Je, tunakwenda wapi?



Ndio ujue aliitwa kuhojiwa Bungeni kwa mengi.
 
Once upon a time when Pasko was pasikali
 
Haya sasa dege limetekwa.
 

Great thinking
 
Hii ya 2017, CAG ni kama alikua kashaona future vile.
Huyu jamaa respect nyingi sana.
Sasa ndege zinashikiliwa kama alivyosema, that money should have been spent elsewhere, kua na ndege si sifa kivile, private sector ingeweza kuhandle hilo swala vizuri tu. Sasa ni hasara tu, na nyingine bado zinakuja na kulipiwa in cash.
 
Hapa Paskali uliutendea haki ubongo wako aisee.
Laiti saa ingekuwa inarudi nyuma humu JF tukawa na Pasco au just Paschal Mayala wa 2016 na 2017
Paschal wa sasa feki
Dogo inakuwaje. Ni kitambo kidogo atujalumbana kuhusu dini na taifa tukufu teule la Wayahudi israel.

Nyie Waislam mko emotional sana tunajua jinsi ya kuwLiza
 
Kiukweli Pascal Mayalla yuko underrated both na wasomaji wasio makini pamoja na Serikali, Pascal ana maono kutokana na kuwa mbobezi kwenye fani yake. Mimi namfahamu kabla ya hizi social media. Pascal ana ubunifu na uthubutu wa hali ya juu. Ubongo wake una photographic memory na uwasilishaji wake wa mada uko methodical. Ndiyo mtu wa kwanza kuanzisha kipindi cha ukosowaji wa wazi kupitia kipindi cha Kitimoto by then.
Kwa hiyo haya yanayojionyesha leo kutokana na andiko hili yana tupa dira ya nini kifanyike kwa Tanzania yetu ya baadaye.
Miaka hii 4 Pascal Mayalla ameandika mengi sana, laiti JPM angekuwa anashaurika angetafuta namna ya kutafsiri machapisho ya Pacal na naamini angevuka salama 2020 na hali ya uchumi na siasa isingekuwa hivi iluvyo.
Hongera Pascal kwa kukosoa na kutoa masuluhisho. Wasamehe wanaokuhukumu kwa kuwa Msukuma na kudhani unatetea mapungufu ya awamu hii ya 5 inayokuwa branded kama ya Wasukuma. Wewe uko tofauti sana, Unastahili tuzo ya uandishi uliotukuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…