Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mengi kama haya yapo nchi hii
na umeweza kugundua kwa sababu ya utashi wako murua
watanzania wengi wako bize na habari za umbeaumbea , ukuda ukuda, wako bize na bashite!!
mambo kama haya huwezi kut wanafuatilia na wanakuwa serious!! haipo
Only in TZ hivi ni njaa au waoga?
And it will never be; something serious need to be done in this country, Urgently!The man is simply becoming the LAW onto himself. That is not acceptable at all.
Tulishaomba siku nyingi juu ya ubora wa wabunge. Uganda huwezi kuwa mbunge bila academic degree, Kenya sikumbuki sana lakini hawa ndo tulionao EAC. Wao wanaweka vigezo vya juu sisi tunasema kusoma na kuandika, hata kuhesabu haimo! Watu kama hao ndo watupangie sera za nchi? Watunge sheria za nchi? Wachanganue mitego ya ulaji kama hiyo ya chai maofisini?
sasa eti wakishapitisha wewe mkuu wa nchi ufuatishe hivyo hivyo! NO!
Kazi za CAG zinafanywa na Raisi.
...Tujadili mada ya Pasco and not kumjadili Pasco; honestly ameleta quite convincing argument hapa jukwaani. Kama na sisi hatuoni bunge likipokwa madaraka yake wazi wazi; tukanyamaza kimya; then mwaka 2020 twapanga foleni kuchangua wabunge wengine, wakati tunajua hilo bunge halina kazi hii ni shida kubwa.
Kipindi hichi cha Mfalme bora nyie mauditor mkae kimya tuu maana hivyo viaudit query vyenu vitakanyagiwa mpaka muisome namba. Huyo boss wenu alkaida atatolewa puta aende akapumzike na hao wake zake wanneMkuu ni bora kukaa kimya tu,acha kupotosha!rudi kasome tena katiba pamoja na sheria ya ukaguzi wa umma na kanuni zake,acha maneno maneno
Subiri muone Mtakatifu atakavyo mtimua huyo jamaa pamoja na hilo jopo la majajiRaisi hana mamlaka ya kumg'oa CAG madarakani labda astaafu, afe, awe kichaa au ikibainika mbele jopo la majaji wa jumuiya ya madola kuwa amefanya kinyume na matakwa ya kazi yakee ndio CAG anaweza kung'oka
Umeangalia kiwango cha deni la Taifa ukilinganisha deni lililokuwepo na hili la sasa? Shule yako ya jirani watoto wangapi bado wanakaa chini? Ndege si tunazo sasa, je, umegundua nauli ya kukupeleka KIA na kurudi kwa fastjet sasa hivi siyo 1Mil? Nahisi hata mkopo wa bandari mpya ya Bagamoyo umezimwa kinyume na ilivyopitishwa na Bunge. Logical!