Madeni ya Taifa: Kuna kitu very serious CAG amekisema. Hii kitu haiko sawa. Je, tunakwenda wapi?

Madeni ya Taifa: Kuna kitu very serious CAG amekisema. Hii kitu haiko sawa. Je, tunakwenda wapi?

Angalieni tarehe ya bandiko hili, wakati huo hakuna hata bombardier moja.
Kama kuna watu wanashangaa ndege yetu kukamatwa huku kuna watu waliitoa angalizo kabla lakini watu wakatia pamba masikioni, halafu watu hao hao leo wanajifanya kushangaa ndege yetu kukamatwa, hawa pia watakuwa watu wa ajabu sana.
P
Pascal kuna tabia za ajabu sana zinafanyika nchi hii kwa kuendekeza sifa. Baada ya ile kesi kule Afrika kusini kutupwa kutokana na errors katika ufunguaji wa shauri, tulipaswa kurudi hapa na kujipanga jinsi ya kumalizana na Mkulima hata kwa kulipana kidogo kidogo.
Lakini kwa ujinga wetu eti tukaanza matambo na majidai hadi bungeni.
Kwamba timu yetu ya watu wenye ma PhD ya sheria imemgalagaza mzungu na hawa makuwadi wa mabeberu waliopo hapa nchini. Mpaka raia wenzetu wakatuhumiwa, kubezwa na kutukanwa. Na tulitamba kweli kweli. Rais akachekelea, Kabudi akacheka na kukejeli, PM na Spika wakatamba. Hata hao mawakili wa serikali walio kuwa SA wakapokewa kama mashujaa kwa kuzima moto wa mkulima. Kumbe moto wameuzima kwa kuufukia na majivu bado unawaka.
Rais alilishwa matango pori akayala sasa tumbo limevurugika lakini KABUDI YUPO TU OFISINI.
Mawakili wakiongozwa na yule naibu waziri walio tulisha nasi ubuyu na hawakutoa ushauri wapo tuu ofisini kwa sababu walikuja na mapambio ya kumsifu Rais.
Kwa mwendo huu Rais (hili ni lake mwenyewe asituhusishe) ataendelea kuaibishwa na hao waimbaji wake wa mapambio.
 
Kuna watu hawatabaki salama kufuatia kukamatwa tena kwa ndege. Najua rais atabeba point 3. Kama sio jumapili ya kesho trh 24.11.2019 sijui. Labda vile yupo dodoma.
 
Kudos Bro kwa caution uliyoitoa way back before. You deserve my compliments.

Naomba ili kujitendea haki fani yako wakumbushe na award aliyonayo Symbion Power na Standard Chatered HongKong dhidi ya TANESCO.
Bahati mbaya sana, JK alituingiza kwenye Open Government Partnership Initiative, OGP, ambapo serikali inakuwa transparent kwenye kila kitu cha public interest, lakini awamu hii Tanzania tukajitoa, hakuna yoyote anayeuliza zile bombardier ziliposhikwa kwa mara ya kwanza Canada, tulilipa kiasi gani, imefanywa siri!. Ile tozo ta Dowans, pia tulilipa kwa siri, Watanzania hatukuambiwa, na waliotushauri tuvunje tuu mikataba, hatutadaiwa, wapo!. Tulipodaiwa wakajiapisha "over my dead body", hatulipi!, ukweli ni kuwa tumelipa kwa siri na wahusika bado wapo tuu, hivyo hiyo tozo ya Simbion na Stan Chart HGK, tutalipa tuu kimya kimya kwa siri.
P
 
Pascal kuna tabia za ajabu sana zinafanyika nchi hii kwa kuendekeza sifa. Baada ya ile kesi kule Afrika kusini kutupwa kutokana na errors katika ufunguaji wa shauri, tulipaswa kurudi hapa na kujipanga jinsi ya kumalizana na Mkulima hata kwa kulipana kidogo kidogo.
Lakini kwa ujinga wetu eti tukaanza matambo na majidai hadi bungeni.
Kwamba timu yetu ya watu wenye ma PhD ya sheria imemgalagaza mzungu na hawa makuwadi wa mabeberu waliopo hapa nchini. Mpaka raia wenzetu wakatuhumiwa, kubezwa na kutukanwa. Na tulitamba kweli kweli. Rais akachekelea, Kabudi akacheka na kukejeli, PM na Spika wakatamba. Hata hao mawakili wa serikali walio kuwa SA wakapokewa kama mashujaa kwa kuzima moto wa mkulima. Kumbe moto wameuzima kwa kuufukia na majivu bado unawaka.
Rais alilishwa matango pori akayala sasa tumbo limevurugika lakini KABUDI YUPO TU OFISINI.
Mawakili wakiongozwa na yule naibu waziri walio tulisha nasi ubuyu na hawakutoa ushauri wapo tuu ofisini kwa sababu walikuja na mapambio ya kumsifu Rais.
Kwa mwendo huu Rais (hili ni lake mwenyewe asituhusishe) ataendelea kuaibishwa na hao waimbaji wake wa mapambio.
Umeandika with deep feelings!!
 
Acha tulipe tuu. Uongozi huu unaufagilia sana sana wala huhitaji kulalamika. Unataka nani aondoke ofisini?
Bahati mbaya sana, JK alituingiza kwenye OGI, lakini awamu hii Tanzania tukajitoa, hakuna yoyote anayeuliza zile bombardier ziliposhikwa kwa mara ya kwanza Canada, tulilipa kiasi gani, imefanywa siri!. Ile tozo ta Dowans, pia tulilipa kwa siri, Watanzania hatukuambiwa, na waliotushauri tuvunje tuu mikataba, hatutadaiwa, wapo!. Tulipodaiwa wakajiapisha "over my dead body", hatulipi!, ukweli ni kuwa tumelipa kwa siri na wahusika bado wapo tuu, hivyo hiyo tozo ya Simbion na Stan Chart HGK, tutalipa tuu kimya kimya kwa siri.
P
 
Acha tulipe tuu. Uongozi huu unaufagilia sana sana wala huhitaji kulalamika. Unataka nani aondoke ofisini?
Spika, waziri wa fedha, waziri wa Mambo ya nje,AG, waziri mkuu na yeye mwenyewe kwa kukubali kufanyia kazi ushauri mbovu na kutumia Kodi zetu bila kutushirikisha!
 
Kuna wanaosema Rais anaonewa Wivu na mabeberu, ila sijawahi kuelewa ni kwa lipi hasa. Nasikia Nyerere naye alikuwa halipi madeni,alikuwa mbishi kweli kweli, labda naye Rais Magufuli anafanya kama Nyerere.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko kuhusu kitu very serious kuhusu mustakabali wa taifa letu na vipaumbele vyetu ambapo CAG Prof. Mussa Asad amekisema!. Kama hii ni kweli, then, this is not right at all, hivyo kama mambo yenyewe ni haya, hala hala huko mbele tusije tukashikana mashati, swali linabaki "Jee Tanzania Tunakwenda Wap?!".

Jumatano Njema.
Paskali
Rejea
Tangazo hili la serikali halimhusu CAG.
Mawaziri Watakaolalamikia OC Ndogo!, Waache Kazi!. Ni Kauli ya Kujenga Nidhamu au Udikiteta Tuu?!.

Prof. Assad amlipua Magufuli kwa ufisadi uuzaji wa nyumba za Serikali
Update
Naendelezea hapahapa~~chochote chenye public interest kina mawazo na maamuzi yanayotoka kwa watu kwa ajili ya watu,mwenyekiti wa ccm ndiye anejigeuza kuwa mwenyekiti wa Tanzania,yeye ndiye anayeamua nini kiwe for public interest na kipi kisiwe,alipomtimua mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali baada ya mkaguzi huyo kusimamia public interest wewe Pascal Mayalla hukumgombeza magufuli au kumkumbusha kuwa pesa iliyopotea ni ya umma,na mkaguzi ndiye jicho la umma,unamshangilia mwizi halafu unaongea habari za public interest,fool
Mkuu Capt Tamar ,
Asante,
Ubarikiwe
Japo sina uhakika, kwavile siwezi kusoma mabandiko ya watu wote humu, lakini humu JF, mimi ni miongoni mwa tuliomuongelea sana CAG, Ofisi ya CAG na Ripoti za CAG!.
Nakutakia Jumapili Njema
P
 
NB. Kama matumizi yenyewe haya ziada yasiyoidhinishwa na Bunge ni yale yaliyotumika kununulia zile Bombardier zetu za ATC na haya yaliyotumika kuhamia Dodoma, then huu ni ufisadi mzuri, ni ufisadi wa kimaendeleo ambao mimi nauunga mkono kama ninavyounga mkono udikiteta ukifanyika kwa nia njema ushauri wangu ni ndege hizo zisiruke nje kabla ya kulipa madeni ya watu, ndege zetu zisije zikashikwa kama attachments

Jumatano Njema.
Paskali
Rejea
Tangazo hili la serikali halimhusu CAG.
Mawaziri Watakaolalamikia OC Ndogo!, Waache Kazi!. Ni Kauli ya Kujenga Nidhamu au Udikiteta Tuu?!.

Prof. Assad amlipua Magufuli kwa ufisadi uuzaji wa nyumba za Serikali
Update
ATC hasara bilioni 60!.
Taarifa ya CAG.
Kuna vitu kuna watu tulisema humu, tukanyooshewa vidole vya kukosa uzalendo!. Sasa ukweli umethibitika!.
60 billions kwa mwaka!, it's not a joke!
Duh...!.

P
 
ATC hasara bilioni 60!.
Taarifa ya CAG.
Kuna vitu kuna watu tulisema humu, tukanyooshewa vidole vya kukosa uzalendo!. Sasa ukweli umethibitika!.
60 billions kwa mwaka!, it's not a joke!
Duh...!.

P
Mnhhh!!! Mbona ni hatari mkuu
 
ATC hasara bilioni 60!.
Taarifa ya CAG.
Kuna vitu kuna watu tulisema humu, tukanyooshewa vidole vya kukosa uzalendo!. Sasa ukweli umethibitika!.
60 billions kwa mwaka!, it's not a joke!
Duh...!.

P
Bilion 60 kwa Mwaka mmoja na limekuwa likiingiza hasara nchi kwa miaka mitano mfululizo.[emoji35]
 
PROF. ASSAD HII HADITH YA MTUME (SAW) UNAIJUA ?.

Na Bashir Yakub.

Mtu mmoja alimuuliza Mtume swallah llahu 'alayhi wasallah

“Ipi ni jihad(harakati) bora?” Mtume Akasema:

“Maneno ya haki mbele ya Mtawala muovu”

Kwa maneno mengi ya Assad ni wazi kwake kwamba Magufuli alikuwa mtawala muovu.

Assad haya maneno unayoita ya haki unayobwabwaja kila sehem mda huu uliwah kuyatoa mbele ya mtawala muovu.

Wakati akiwa hai na we si ulikuwa hai, ulishindwa nini kuyatamka mbele yake ili ukawa katika wale waumini wa kweli aliowasema Mtume katika hii Hadith ambao husema kweli.

Unakula nyama ya mfu kwa confidence, unajitutumua leo hayupo halafu unajifanya muumini.

Ina maana ulimuogopa kuliko unavyoogopa haya maneno ya Mtume Mtukufu . Iko wapi imani yako.

Unasubiri kufanya harakati juu ya mwili wa mfu.

Umeingia katika wanafiki wakubwa, watu waoga, na kada ya wasomi wasiojiamini.

Kama hukumwambia yeye hakuna haja ya kutwambia sisi. Unatwambia tumwajibishe nani sasa, kaburi lake ama familia yake.

Umbweha ni tabia ovu sana.
Mkuu Bashir Yakub , kwanza asante kwa hii. Vipi uliwahi kumsikia Prof. Asad hapa?.
Msikilize kwa makini sana, na maneno haya tena aliyasema akiwa CAG









P.
 
Wanabodi,
!.

Tanzania ni nchi yetu sote na sio mali ya mtu na inaendeshwa kwa msingi mkuu wa katiba kwa mujibu wa sheria, taratibu kanuni, haiwezekani jambo lililopitishwa na Bunge kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, halafu lisitekelezwe kama sheria ilivyoelekeza, halafu wakati huo huo kuna jambo jingine ambalo halijajadiliwa na Bunge, halijatengewa budget na serikali, hivyo halijaombewa hiyo budget, ikatengwa, ikawasilishwa Bungeni, ikajadiliwa, ikapitishwa, lakini likaibuka from nowhere jambo jingine kubwa linalohitaji fedha ndefu, ambalo sio la dharura, likajiibukia tuu from nowhere, budget yake haijatengwa popote, haijaombwa popote, lakini kwa vile fedha zimo ndani ya chungu chetu, kwenye hazina yetu, ukapitishwa uamuzi, fedha hizo zichotwe bila idhini ya Bunge, na jambo hilo likatekelezwa na huku tunamtazama mzigo wa madeni chachefu na hatarishi ya muda mrefu na hayajalipwa!. Jee jambo hili jipya limetekelezwa kwa fedha kutoka votes gani, iliyoidhinishwa na nani na kwa mamlaka gani, au sheria ipi?!.

Ninavyofahamu mimi ( I stand to be corrected), serikali hutekeleza majukumu yake yote kupitia bajeti iliyoombwa, kuwasilishwa Bungeni, na iliyoidhinishwa na Bunge kupitia vifungu mbalimbali yaani Votes na Sub Votes. Hizi ni fedha za umma, zinapaswa kutumika kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni za fedha umma, ambapo bajeti baada ya kupitishwa, hutungiwa sheria, finance bill, na kuidhinishwa na CAG na ndipo huanza kutumika.

Kabla fedha zozote za serikali zilizopitishwa na Bunge haziwezi kutumika kwanza Kabla hazijaidhinishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali, na hii ndio role ya CAG kama Mdhibiti Mkuu wa Matumizi ya serikali, kudhibiti matumizi ya serikali yaliyoidhinishwa na Bunge, na kisha baada ya matumizi, CAG hurejea kufanya ukaguzi wa matumizi ya fedha hizo kama zilitumika kama zilivyokusudiwa na hii ndio role ya CAG kama Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. Ripoti ya CAG ndio the most important report kuliko ripoti nyingine yoyote, kila mwaka ripoti inaonyesha urari wa madeni na deni la taifa, sisi badala ya kulipa madeni, tunafanya manunuzi, ukifika muda wa madeni chachefu haya kututokea puani ndipo tutajifunza kuwa dawa ya deni ni kulipa.

Naomba umsikilize kwa makini hapa, CAG, Prof. Mussa Assad kuna kitu very very serious anakizungumza kupitia Habari ya Channel Ten.

CAG Prof. Assad amesema, huku nchi ikiwa na mzigo mkubwa wa madeni, kuna wizara mpaka sasa the final quoter of the budget year, zimeishapewa mgao wa asilimia 16% tuu ya bajeti zake zilizoidhinishwa na Bunge, kwa hoja kuwa serikali haina fedha, lakini at the same time, ndani ya serikali hiyo hiyo, kuna wizara nyingine zimefanya matumizi ya ziada ya zaidi ya asilimia 230% outside the budget!.

Hii maana yake kuna maeneo serikali imefanya matumizi makubwa ambayo hayakuwepo kwenye budget ya serikali, hayakuletwa bungeni, hayakujadiliwa wala kuidhinishwa na Bunge na hivyo hayana Vote wala hayakudhibitiwa na CAG, lakini serikali ikafanya matumizi hayo kinyume cha sheria, taratibu na kanuni za matumizi ya fedha za serikali.

Maswali ni
1. Kama serikali imeshindwa kulipa madeni, imeshindwa kulipa OC za baadhi ya taasisi kwa hoja kuwa haina fedha, jee hizo fedha zilizotumika kufanya hayo matumizi ambayo they were not budgeted for, zimetoka wapi?!. It is as if kulikuwa na pot fulani yenye fedha ambazo zilifanyiwa ring fencing mapema kabla ya budget zikachimbiwa mahali na kufukiwa na sasa ndio zimefukuliwa, zinachotwa, tuelezwe tuu, tutaelewa.

Kwenye hili serikali iwe very open na transparent kama sehemu ya utekelezaji wa Open Government Initiatives, vinginevyo kuna double standards za hali ya juu sana katika kupanga vipaumbele vyetu vya kibajeti, haiwezekani huyu apewe 16% na mwingine 230% na wote ni watoto wa baba mmoja!. Unless kuna wizara ni watoto wa ndani na kuna wengine au ni wanaharamu au watoto wakufikia!.

2. Matumizi yoyote ya serikali lazima yaidhinishwe na Bunge na kuidhinishwa na CAG katika the Principles of Check and Balance and Separation of Powers. Hii maana yake kuna mtu yeye amejifanya ndio serikali akapanga budget, kisha akajifanya Bunge akaipitisha hiyo budget, akajifanya CAG, akaidhinisha hiyo budget na kujifanya PPRA kwa kutotangaza tenda yoyote ya manunuzi makubwa na kumalizia kwa kufanya matumizi na kuitumia fedha za umma bila idhini ya Bunge, na bila kudhibitiwa na CAG, bila kutangazwa Tenda, na bila kuulizwa na yeyote !. How can this be?!. Jee Tanzania tuna Bunge la namna gani ambalo moja ya majukumu yake ni kuisimamia serikali, halafu serikali inayafanya yote haya, na Bunge lipo na limenyamaza?!, ukiliita Bunge kama hili kuwa ni Bunge dhaifu kuwahi kutokea, utakuwa umelionea?.

3. Aliyefanya hayo kuidhinisha matumizi ya serikali bila kibali cha Bunge, yupo, ameulizwa?, na jee katika kufanya matumizi hayo makubwa bila kuidhinishwa na Bunge, ametumia mamlaka ipi na sheria ipi ndani ya katiba yetu? . Naomba niwakumbushe kwa mujibu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977, hakuna aliye juu ya katiba wala juu ya sheria, na japo Rais wa JMT ana kinga ya kutokushitakiwa mahakamani kwa kosa lolote linalohusu utekelezaji wa majukumu yake, lakini rais hayuko juu ya katiba wala hayuko juu ya sheria, atatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa katiba na sheria, na hata rais akikiuka Katiba ya JMT, anaweza kuondolewa madarakani na Bunge na kushitakiwa!. Hivyo rais pia yuko chini ya Katiba na atatekeleza majukumu yake yote kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni. Kama katiba inasema Bunge ndilo litaidhinisha matumizi ya serikali, then matumizi yote ya serikali, ukiondoa matumizi ya dharura kama majanga, lazima yataidhinishwa na Bunge and no one else!.

Ingekuwa ni nchi za wenzetu kamwe wasingekubali hili lifanyike huku na wao wapo tuu na wanaangalia!. Kiukweli kabisa, sijawahi kushuhudia Bunge dhaifu kama hili tulililo nalo sasa, tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa!.

To be honest, nina mashaka sana na Ripoti ya CAG ya mwaka huu itakayotoka, kama ni kweli itaweza kuelezea madudu hayo haswa kwa kuzingatia kabla Ripoti ya CAG haijawasilishwa Bungeni na kuwa public document, lazima kwanza ipitishwe mahali mtu fulani aione, aridhike ndipo iende Bungeni. Kwa vile Ripoti hii itaonyesha haya madudu ya jinsi Bunge linavyokuwa undermined na jinsi CAG anavyokuwa undermined!. Ripoti hiyo ikitoka na hiki kinachozungumzwa hapa kama kitakuwepo, hiki ndicho kitakuwa kipimo halisi cha udhaifu au uimara wa Bunge letu,

Maswali ni Jee Ripoti ya CAG ya mwaka huu, itapitishwa hivyo hivyo ilivyo? ,au itagomewa au itarudishwa na CAG kulazimishwa kuficha madudu haya kwa kuandaa Ripoti nyingine safi isiyo muonyesha huyo anayejifanya serikali, kisha anajigeuza Bunge na kujigeuza CAG kwa kufanya matumizi bila kuidhinishwa na Bunge na CAG, huku nchi ikidaiwa?.

Ningekuwa mimi ndiye GAG, baada ya kufanyiwa madudu kama haya, sijui saa hizi ningekuwa wapi maana zamani angeishaikuta barua yangu mezani kwake kitambo kulinda heshima yangu!.

Ila kama matumizi haya unbudgeted for ni ya fedha zake binafsi kutoka mfukoni mwake, then it's ok, lakini kama ni fedha umma, fedha za serikali, ni fedha za Watanzania, Watanzania wazalendo wa kweli, hatuwezi kuacha fedha zetu zikatumika bila kufuata taratibu za matumizi ya fedha za umma no matter how matumizi hayo ni mazuri kiasi gani, unless ni dharura kama Tetemeko la Bukoba, lakini kwa nchi inayojitapa ni nchi yenye kufuata katiba, sheria na kanuni na kuheshimu the rule of law, lazima ifuate sheria, taratibu na kanuni. Sasa kama hili ni kweli, huu nao sio ufisadi?.
Jumatano Njema.
Paskali

Kati ya wana CCM waliojitokeza kugombea kuteuliwa kugombea usipika, kuna mgombea mmoja tuu akipitishwa, upuuzi kama ulivyo zungumzwa humu, hauwezi kujirudia.

P
 
Kati ya wana CCM waliojitokeza kugombea kuteuliwa kugombea usipika, kuna mgombea mmoja tuu akipitishwa, upuuzi kama ulivyo zungumzwa humu, hauwezi kujirudia.

P
Wampe Chenge hakuna mwingine !!
 
Wanabodi,

Maswali ni
1. Kama serikali imeshindwa kulipa madeni, imeshindwa kulipa OC za baadhi ya taasisi kwa hoja kuwa haina fedha, jee hizo fedha zilizotumika kufanya hayo matumizi ambayo they were not budgeted for, zimetoka wapi?!. It is as if kulikuwa na pot fulani yenye fedha ambazo zilifanyiwa ring fencing mapema kabla ya budget zikachimbiwa mahali na kufukiwa na sasa ndio zimefukuliwa, zinachotwa, tuelezwe tuu, tutaelewa.

Kwenye hili serikali iwe very open na transparent kama sehemu ya utekelezaji wa Open Government Initiatives, vinginevyo kuna double standards za hali ya juu sana katika kupanga vipaumbele vyetu vya kibajeti, haiwezekani huyu apewe 16% na mwingine 230% na wote ni watoto wa baba mmoja!. Unless kuna wizara ni watoto wa ndani na kuna wengine au ni wanaharamu au watoto wakufikia!.

2. Matumizi yoyote ya serikali lazima yaidhinishwe na Bunge na kuidhinishwa na CAG katika the Principles of Check and Balance and Separation of Powers. Hii maana yake kuna mtu yeye amejifanya ndio serikali akapanga budget, kisha akajifanya Bunge akaipitisha hiyo budget, akajifanya CAG, akaidhinisha hiyo budget na kujifanya PPRA kwa kutotangaza tenda yoyote ya manunuzi makubwa na kumalizia kwa kufanya matumizi na kuitumia fedha za umma bila idhini ya Bunge, na bila kudhibitiwa na CAG, bila kutangazwa Tenda, na bila kuulizwa na yeyote !. How can this be?!. Jee Tanzania tuna Bunge la namna gani ambalo moja ya majukumu yake ni kuisimamia serikali, halafu serikali inayafanya yote haya, na Bunge lipo na limenyamaza?!, ukiliita Bunge kama hili kuwa ni Bunge dhaifu kuwahi kutokea, utakuwa umelionea?.

3. Aliyefanya hayo kuidhinisha matumizi ya serikali bila kibali cha Bunge, yupo, ameulizwa?, na jee katika kufanya matumizi hayo makubwa bila kuidhinishwa na Bunge, ametumia mamlaka ipi na sheria ipi ndani ya katiba yetu? . Naomba niwakumbushe kwa mujibu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977, hakuna aliye juu ya katiba wala juu ya sheria, na japo Rais wa JMT ana kinga ya kutokushitakiwa mahakamani kwa kosa lolote linalohusu utekelezaji wa majukumu yake, lakini rais hayuko juu ya katiba wala hayuko juu ya sheria, atatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa katiba na sheria, na hata rais akikiuka Katiba ya JMT, anaweza kuondolewa madarakani na Bunge na kushitakiwa!. Hivyo rais pia yuko chini ya Katiba na atatekeleza majukumu yake yote kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni. Kama katiba inasema Bunge ndilo litaidhinisha matumizi ya serikali, then matumizi yote ya serikali, ukiondoa matumizi ya dharura kama majanga, lazima yataidhinishwa na Bunge and no one else!.

Ingekuwa ni nchi za wenzetu kamwe wasingekubali hili lifanyike huku na wao wapo tuu na wanaangalia!. Kiukweli kabisa, sijawahi kushuhudia Bunge dhaifu kama hili tulililo nalo sasa, tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa!.

To be honest, nina mashaka sana na Ripoti ya CAG ya mwaka huu itakayotoka, kama ni kweli itaweza kuelezea madudu hayo haswa kwa kuzingatia kabla Ripoti ya CAG haijawasilishwa Bungeni na kuwa public document, lazima kwanza ipitishwe mahali mtu fulani aione, aridhike ndipo iende Bungeni. Kwa vile Ripoti hii itaonyesha haya madudu ya jinsi Bunge linavyokuwa undermined na jinsi CAG anavyokuwa undermined!. Ripoti hiyo ikitoka na hiki kinachozungumzwa hapa kama kitakuwepo, hiki ndicho kitakuwa kipimo halisi cha udhaifu au uimara wa Bunge letu,

Maswali ni Jee Ripoti ya CAG ya mwaka huu, itapitishwa hivyo hivyo ilivyo? ,au itagomewa au itarudishwa na CAG kulazimishwa kuficha madudu haya kwa kuandaa Ripoti nyingine safi isiyo muonyesha huyo anayejifanya serikali, kisha anajigeuza Bunge na kujigeuza CAG kwa kufanya matumizi bila kuidhinishwa na Bunge na CAG, huku nchi ikidaiwa?.

Ningekuwa mimi ndiye GAG, baada ya kufanyiwa madudu kama haya, sijui saa hizi ningekuwa wapi maana zamani angeishaikuta barua yangu mezani kwake kitambo kulinda heshima yangu!.

Ila kama matumizi haya unbudgeted for ni ya fedha zake binafsi kutoka mfukoni mwake, then it's ok, lakini kama ni fedha umma, fedha za serikali, ni fedha za Watanzania, Watanzania wazalendo wa kweli, hatuwezi kuacha fedha zetu zikatumika bila kufuata taratibu za matumizi ya fedha za umma no matter how matumizi hayo ni mazuri kiasi gani, unless ni dharura kama Tetemeko la Bukoba, lakini kwa nchi inayojitapa ni nchi yenye kufuata katiba, sheria na kanuni na kuheshimu the rule of law, lazima ifuate sheria, taratibu na kanuni. Sasa kama hili ni kweli, huu nao sio ufisadi?.

NB. Kama matumizi yenyewe haya ziada yasiyoidhinishwa na Bunge ni yale yaliyotumika kununulia zile Bombardier zetu za ATC na haya yaliyotumika kuhamia Dodoma, then huu ni ufisadi mzuri, ni ufisadi wa kimaendeleo ambao mimi nauunga mkono kama ninavyounga mkono udikiteta ukifanyika kwa nia njema ushauri wangu ni ndege hizo zisiruke nje kabla ya kulipa madeni ya watu, ndege zetu zisije zikashikwa kama attachments

Jumatano Njema.
Paskali
Kwa siku kadhaa, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Spika Dkt. Tulia Ackson limejadili Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali(CAG).

Kimsingi, Wabunge wengi wameuona, wameusemea na kuukaripia ufisadi na ubadhirifu mkubwa ulioainishwa kwenye Ripoti ya CAG. Wabunge wamesikika hata wakishauri adhabu kali wapewe wahusika.

Bunge limehitimisha mjadala wa Ripoti husika. Nini kitafuata? Wahusika wa ufisadi na ubadhirifu huo mkubwa watafanywa nini na ni nani hasa mchukua hatua hizo?

Kiukweli, sisi walipa kodi wa nchi hii tungependa kuona hatua kali zinachukuliwa dhidi ya mafisadi na wabadhirifu waliotajwa au kuhusishwa na mambo hayo ndani ya Ripoti ya CAG.

Tunalipa kodi kwa maendeleo yetu. Kutumiwa isivyo kwa kodi na wale tuliowapa dhamana ya matumizi ya kimaendeleo ya kodi zetu kunaumiza sana. Tunatamani na kutaka hatua zichukuliwe. Wabunge wameona na kusema; wachukua hatua wafanye hivyo.
Mkuu Petro E. Mselewa, kwanza asante kwa bandiko hili Ripoti ya CAG: Bunge limehitimisha mjadala leo, nini kitafuata? Waliohusika na ufisadi na ubadhirifu watafanywaje?
Very objective, mimi msimamo wangu kuhusu Bunge letu, kwenye hoja ya bunge kuisimamia serikali, bado haujabadilika ni ule ule wa bunge lililopita Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi?
Na hapa Je, Bunge letu ni Bunge Butu?. Angalia Bunge la Uingereza lenye meno linavyong'ata Serikali. Je, Kuna ubaya tukiiga?
Japo Rais Samia ametoa maelekezo makali kwa maofisa masuhuli, hii ni kesi ya nyani kumpelekea ngedere!.
Kilichopaswa kufanywa on the first place ni kila aliyetajwa kwenye ripoti ya CAG, alipaswa apishe kwanza, akiwa cleared ndipo arudishwe!.
P
 
Back
Top Bottom