Madereva 9 Wakenya waliotokea Tanzania wagunduliwa kuwa na Corona. Visa vyafikia 700

Umeongea vyema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo hii kitu inahitaji a coordinated regional effort yaani kwa mfano Uganda ametoa kafara uchumi na kupiga lockdown halafu huku Tanzania tunadunda na kupiga kazi mwisho wa siku tunategemeana lazima corona itatoka Tanzania kuelekea Uganda, kazi mnayo maana ni mkaidi na hamna mwenye uwezo wa kumbadili mawazo akishaamua hata wafe 50% ya population kazi zitapigwa na hiyo 50% iliyobaki.
 
Dah! Sasa mnafanya huku kwetu Tz ionekane Corona ni kama kahawa tu [emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Corona kila sehemu. Yani ukivuka boder ukavuta hewa ya TZ ukirudi kwenu tayari umeshaukwaa. Mamlaka za ndani ya nchi zichukue hatua mapema kabla hali haijazidi kuwa mbaya.
 
Binafsi mimi sina mtu nayemjua ambaye amekufa au ana covid19 ambaye naweza nikamtolea ushahidi kwa uhakika kabisa ila nabaki kusikia tu huku na kule.

Kama una ndugu, jamaa au rafiki aliyekufa au ana covid19 ambaye ni mtu wako wa karibu naomba nikupe pole. Ila kama na wewe katika watu ambao wamekuzunguka huna mtu wa karibu ambaye unamjua kwa 100% kua ana covid19 fikiria mara mbili mbili.
 
Mkuu wetu alituambia corona tutaendelea kuishi nayo kama tunavyoishi na TB, ukimwi n.K
So eti tusiogope corona
 

Nimecheka sana ila duh!

Yaani huu ndio ukweli wenyewe, kuna aina ya viongozi akiamini la kwake yaani hata upige bomu mlangoni habadili ktu.
Ndicho kiliiponza Ujerumani kwenye vita vya pili vya dunia, yaani Hitler aliambiwa kitambo kwamba Ujerumani inaelekea kupoteza vita, jamaa akawa anatokwa mipovu na kuamuru vita viendelee, akaambiwa mabomu sasa yameanza kutua hadi Ujerumani lakini wapi, yaani jamaa alikaidi na alivyo mbishi hakukubali akamatwe hai, kajipiga risasi kichwani.
 
Hatuja waleta kwetu. Walifata nini huku kwenye corona yetu? Mipaka yao imefungwa, wao waliingiaje Tz na mpaka wao umefungwa? Kenya mnataka kuufadhaisha ulimwengu kuwa, sisi hatujafunga mpaka ndo maana corona inaongezeka. Hizo mbinu za kitoto sana. Kama kutangaza kufunga mipaka ni dawa, corona inafikaje kwenyu?
 
Taarifa yako haijataja madereva wabongo sita waliopatitaka na korona wakakatazwa kuvuka
 
Kuna kitu kidogo kinatuponza "ukaidi"

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi tahadhari wanazochukua wenzetu na sisi tofauti ipo wapi au sisi tatizo kubwa ni kutangaza takwimu hili sawa kabisa halina ubishi.

Hebu kwanza tuangalieni hili hapa kwa mjadala mrefu zaidi kuna sehemu ambayo hatujatofautiana sana na wao.
 
You're smart

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naonaga corona kama ni advanced killing poison
 
Dah! Sasa mnafanya huku kwetu Tz ionekane Corona ni kama kahawa tu [emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo lenu wakenya tunalijua mnadhani mkisema hivyo itaonyesha watz wote tuna corona ,sawa kama ni kweli mbona sasa ni miezi miwili inaenda kama waelfu tunaugua tunge jaa malaki hospitalini au sivyo basi huu ugonjwa unapenda damu zetu maana tunaishinao bila kuugua wa kufa kwa maelfu.

Send by APOLO 1
 
Serikali ya Kenya inafanya chokochoko kama za idi amini.

Send by APOLO 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…