Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Korona kagonjwa dhaifu dunia ita proof very soon kupitia tz tuna ishi nakorona bila kuugua mm naona hata kupima tuache tu wapimwe wale tu watakao ambukizwa na kuugua ila wale watakao ambukizwa ila awaugui waachwe tu bila kulimwaKwa sasa kikubwa chukueni tahadhari acheni kusongamana kwenye vilabu, hayo ya nyuma ya pazia yatajadiliwa baadaye ila kimsingi kwa sasa ni kutafuta namna ya kupunguza kuambukizana.
Nimeusoma huu ugonjwa nimeutambua ni ujinga mtupu
Send by APOLO 1