mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
- Thread starter
- #21
Buku 2 zimeondoka na roho za watu wengi sananchi hiiSiku hao wanaopewa za kubrashi wakiacha na kufanya kazi walizopewa naapa madereva wangenyooka
Ila tatizo hata mlevi anaachiwa kisa katoa buku 2
Halafu wanachukua chochote kama ombaomba
Yale maandamano mngekuwa mnaandamana kwa mambo kama haya