Bravo mkuu, confidence in motion.[emoji106]Mkuu jana saa1 jioni karume mataa pale vitz na daladala zmempasua jamaa wa pikipiki aliyeingia kizembe...mm nilishamcalculate kuwa ataingia ikabidi niruke upande wa pili ... Ingekua subaru imemvaa ungesikia subaru imeua. Uzembe wa kijinga wanasingizia magari tena subaru. Waache uchonganishi
kodi mil 17? hyo gar utauziwa sh ngap sa?
Hahaahhaahaha nilishamaliza 180km/hr na ikawa inaenda kwenye zero, sitakaa niendeshe namna ile tena, zile gari ni za shetani. Tulikua tunakwenda Lushoto kumzika rafiki yangu Mohamed Mtoi....Hakuna mtu anataka kufa ila kweli, ukiketi penye kiti cha dereva kwenye subaru, kuna raha yake. Uwe umetoka kwenye magari mengine halafu uendeshe subaru. Halafu uwe mefunga vioo huku uwe umekamata high way. 160 inakuhusu baada tu ya km 5 za take off. Naipenda subaru. Ile gari, breki yake waliisomea.
Ushamba mtupuumewai kuendesha Subaru? kama ujawai tulia ukiwaona wapishi wapite.
Ushamba tuNa wa Altezza nao wana fujo sana,wanatupa presha jmn muachee..
Vp kuhusu tezza???
Umenena mkuu inata u smart hii kitu ila tamu mkuuNina 2006 legacy sport, itasababisha nijute kukakaa Toyota kwa muda wote. Stability , take off , overtake etc very amazing. Mara nnyingi traffic light point a to b uwaka pamoja, sasa raha ni pale ninapotokaga mataa ya stanbic, nikavuka taa za sarrenda , nikakata za red cross then nakutana na taa nyekundu maktaba ya taifa. Inahitaji kuwa smart kudrive subaru ya modeli yoyote ile!
Kuna sub BVR ya mwaka 2013 ina hp 310 na ya mwaka 2015 hp 320 ,EVO 10 ilichemsha vibayahvo vi forester vikileta kelele dawa yao mistubish evo 9 generation torque 392nm ,280hp speed 280