Madereva wa Subaru Mna Matatizo Gani?

Madereva wa Subaru Mna Matatizo Gani?

Hakuna mtu anataka kufa ila kweli, ukiketi penye kiti cha dereva kwenye subaru, kuna raha yake. Uwe umetoka kwenye magari mengine halafu uendeshe subaru. Halafu uwe mefunga vioo huku uwe umekamata high way. 160 inakuhusu baada tu ya km 5 za take off. Naipenda subaru. Ile gari, breki yake waliisomea.
Forester au wrx
 
Hapana ila Sub generation ya GDI,GDA,GC8, zipo nyingi sana kwenye hiyo kizazi ndo zinafaa forester cyo mzuri kwa rally
ok nafikiri wanazichezea hawajui ,wa ku consult haraka iwezekanavyo
 
Kwa pesa zetu za hapa na pale wacha tuanze na subaru legacy ila isikuaminishe kwamba ni best kuliko nyingine kuna mashine nyingi sana za barabarani hazifai hata kidogo ila madafu ndo tatizo
thats obvious......
 
Safi sana. Kwahio na wale wa subaru waache wamiliki hizo ?
Wewe unajua kiswahili?!! Kuna mahali nimekataza au kumsema mtu kwasababu ya kumiliki subaru. Hii thread nimeanzisha kuwaambia wale waendeshao subaru kama wendawazimu waache kwasababu barabarani kuna watumiaji wengi. Wakafanye huo uwendawazimu wao kwenye rally sio kwenye public roads. Uwe unamiliki subaru,benz au vitz kuendesha kama mwendawazimu si ustaarabu.
 
Wewe unajua kiswahili?!! Kuna mahali nimekataza au kumsema mtu kwasababu ya kumiliki subaru. Hii thread nimeanzisha kuwaambia wale waendeshao subaru kama wendawazimu waache kwasababu barabarani kuna watumiaji wengi. Wakafanye huo uwendawazimu wao kwenye rally sio kwenye public roads. Uwe unamiliki subaru,benz au vitz kuendesha kama mwendawazimu si ustaarabu.
RRondo kwanza Hizo subaru hazisogei kwenye Bmw 318M Sport laiti wangejua kuna nini kwenye gari za mjerumani.. wangechuna tu na hizo 180kph
 
gar za nch ipi unahis zko on top kwa spid zilizo na injin kat ya 2L had 2.5L
 
Wewe unajua kiswahili?!! Kuna mahali nimekataza au kumsema mtu kwasababu ya kumiliki subaru. Hii thread nimeanzisha kuwaambia wale waendeshao subaru kama wendawazimu waache kwasababu barabarani kuna watumiaji wengi. Wakafanye huo uwendawazimu wao kwenye rally sio kwenye public roads. Uwe unamiliki subaru,benz au vitz kuendesha kama mwendawazimu si ustaarabu.


kukunukuu vibaya hakuna uhusiano na mimi kujuwa kiswahili . Ila nilitaka kujiridhisha kama ulimaanisha hivo. Kistaarabu tu
 
verosa nilikuwa czpend lkn pind nikiwa cngda nilikuwa matembezin by ngoko ndipo nilipockia mlio mkubwa kama ndege jet c jet nadhan ni tair zilivykuwa zmeshka lami , mbele yangu kulikuwa na wamama na hao walismama kuangalia ni gar gan inakuja , ebu fikiria wamama/wasichna hawana hobby na magr lkn walismama kuangalia kwa spid iliokuwa nayo ilikuwa stable xna jinsi ilivy lala na kona mpaka imenifikia ndo nkajua ni verosa kwa bahat nzur alivynpita nkaona taa nyekundu zkwaka means kashka brake ndo nkahama na upande ili nimuulze jamaa maswal .nikamuulza kabla ya kale kakona ulikuwa na spid ngap akajib 190 huku akiendelea kuchek tair zake,jamaa alikuwa na lafudh ya kicongo kuchek gar ndo nkaona imeandikwa vr25 na hata plate no hazkuwa za huku kwanzia hapo nkaikubal xna ckuwah ona gar ikiwa na zaid ya 180 zaid ya hyo verosa
Zipo gari nyingi tu zenye zaid ya 180kph...karibia zote za kijeruman mf. Benz, Bmw, Vw et.
Hata Rav4 zipo 220kph..Nissan na hata baadhi ya Subaru nyingine zinasoma 260kph.
 
Zipo gari nyingi tu zenye zaid ya 180kph...karibia zote za kijeruman mf. Benz, Bmw, Vw et.
Hata Rav4 zipo 220kph..Nissan na hata baadhi ya Subaru nyingine zinasoma 260kph.
Hata Toyota Avensis ya Ulaya inaenda 240kph
 
Ila kweli nilikutana na subaru moja hivi njia ya msata bagamoyo, karibia na daraja la ruvu lile la muda.... ilikuwa ni shida utafikiri tuko kwenye mashindano.... alikuwa rafu sana.... nikamwasha apite ila tulivyofika huku bagamoyo kama unakuja dar,nikamkuta amekamatwa na traffic polisi kwasababu ya mwendo wake m-bovu... alikuwa kijana hivi..... ni shida aisee.... na ule mngurumo wake daaa... tabu tupu
 
kuna video ya subaru na benz moja hv walikuwa wanakimbizana , waliokuwa wanachukua video walikuwa kweny benz cjui kama kuna mtu kaiona huku
 
Nimepita hio stage....nikitaja gari nilizoendesha hapa hutaongea kauli kama hii.....naongelea usalama, kuweni responsible jalini usalama wa wenzenu kama hamjali wa kwenu.
very wise
 
Roho inauma na karaumu kakoe? Utajibeba, sio sisi ni Mjapani man, tutaheshimiana tu.
 
Back
Top Bottom