Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Subari hatare kwa vigari vingine sio kwa dereva man, tulia.Angalia kaka maisha yako yanathamani kuliko kitu chochote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subari hatare kwa vigari vingine sio kwa dereva man, tulia.Angalia kaka maisha yako yanathamani kuliko kitu chochote.
Ipo ya 260kph ,six gear with turbo engine ina hp 300 lkn inaenda tumika kwenye rally,mtaani inakuwa vurugu .Hata Toyota Avensis ya Ulaya inaenda 240kph
Unajua kuna kipofu alipata nafasi ya kuona kwa sekunde chache akaona punda,basi kila akisikia mtu anasema kaona kitu kizuri yeye huuliza kama punda? Ndio kama wewe unaamini hamna gari inaweza kuishinda subaru.
Ngoja nikwambie subaru is just quick from 0-60mph (0-100) ila kuna magari mengi tu yanakimbia kuliko subaru, najua kuna rafiki yangu ana subaru alikuwa anaenda moshi alikutana na beast moja la euro lilimnyanyasa mpaka akatafuta hela akanunua hilo gari.
Kwahio msikariri nyinyi ndio mnaendesha gari zinazokimbia kuliko wengine,wenzenu wako responsible ingawa wana powerful cars, kuna watu wana ferrari,lamborghini,aston martin,porsche carrera 911 gt ushawahi kuziona zinafurumushwa hapa mjini? Unajua speed zake hizo gari?
Btw jaribuni MITSUBISHI EVO10.
Dah nilikuwa mnazi mkubwa wa Sebastien Loeb dah.Afadhali wangekuwa watoto, wengine watu wazima kabisa.
Arusha kuna umoja unaitwa "SUBARU GENERATION" huwa wanashiriki Rally nafikiri kila baada ya miezi mi3, ni wasumbufu sana hao watoto na ukiwa na subaru nzuri wanakuja kukodi kwako.Jamani mimi najiuliza madereva wa subaru(wengi wao) wana matatizo gani? Nasema wana matatizo kwa sababu wana fujo zisizo na msingi barabarani. Unakuta mtu na subaru yake anapita barabara ndogo na 100kph kwa nini?
Hamuwezi kuendesha gari kistaarabu? Madereva wa subaru wamesababisha ajali na vifo vingi sana hususan Dar es salaam kwa uendeshaji wao wa sifa. Na nimechunguza nikakuta ni watu wa umri kati ya miaka 24-35 lakini wanatabia kama za watu wa 16-20 barabarani, mliruka hatua za ukuaji?
Jaribuni kujiheshimu barabarani watu mna watotona wategemezi kibao lakini mnafanya mchezo na vyombo vya moto, fujo zisizo na mpango hazina faida yoyote.
Ni kweli mkuu.nenda Arusha ndio utapata kero zaidi
Nitumie na mimi, nikiwa na mafuta nitakuja.Nitakutumia map ikishatoka
Ukimiliki ile gari ule na mbavu za kuiendesha na kuihudumia ipasavyo...Spare usipime last time tulinunua set moja ya break pads kwa 160000 original lakini
DuuuuuUkimiliki ile gari ule na mbavu za kuiendesha na kuihudumia ipasavyo...
Spare parts zake ni exoensive kwa kweli...
Nimenunua juzi set zote OG za legacy kwa 550,000
Naja mm binafsiUnachoongea hakipo PRONDO, ni wivu tu! Kama na wewe una SUBARU unataka kojoini chama chetu, njoo inbox. Ni kwa Dsm tu
Natamani sana niifahamu vizuri hii gari aina ya POSCHEMbabe wa Subaru ni Mitsubishi Evo VII na kuendelea hapo Subaru inakaa, Tanzania Subaru ni mengi sana sababu ni bei rahisi zaidi ya EVO...
Hio Porsche inanunua subaru, mitsubishi evo na change inabaki..kuna 911 ni sports car ya kijerumani...Natamani sana niifahamu vizuri hii gari aina ya POSCHE
Natamani sana niifahamu vizuri hii gari aina ya POSCHE
Haaaaaaaa ety na chanji inabakiii atiiiiHio Porsche inanunua subaru, mitsubishi evo na chengi inabaki..kuna 911 ni sports car ya kijerumani...