Madereva wa Subaru Mna Matatizo Gani?


Hivyo visubaru vyote haviingii kwenye products za BMW au VW au AUDI.

Mi naziita ni Cheap Sports Cars, ingekuwa wana uwezo wa kumiliki ferrari au lamborghini au McLaren ndo wangejua maana ya sports car.
 
Arusha kuna umoja unaitwa "SUBARU GENERATION" huwa wanashiriki Rally nafikiri kila baada ya miezi mi3, ni wasumbufu sana hao watoto na ukiwa na subaru nzuri wanakuja kukodi kwako.

Ni sifa na mbwembwe tu kitaani.
 
Sasa lini tunaenda kuendesha.........?.....nyie woooooote hapa wenye Subaru.......tunaomba tuwaalike (ambao hampo Chugga) mechi ya kirafiki na Subaru Kaskazini.......ili tudumishe uJF wetu........

Mmmmh Preta wewe
 
Siku hali ikiruhusu nitahamia VW ya mjerumani au BMW
 
Spare usipime last time tulinunua set moja ya break pads kwa 160000 original lakini
Ukimiliki ile gari ule na mbavu za kuiendesha na kuihudumia ipasavyo...
Spare parts zake ni exoensive kwa kweli...
Nimenunua juzi set zote OG za legacy kwa 550,000
 
Mbabe wa Subaru ni Mitsubishi Evo VII na kuendelea hapo Subaru inakaa, Tanzania Subaru ni mengi sana sababu ni bei rahisi zaidi ya EVO...
 
Mbabe wa Subaru ni Mitsubishi Evo VII na kuendelea hapo Subaru inakaa, Tanzania Subaru ni mengi sana sababu ni bei rahisi zaidi ya EVO...
Natamani sana niifahamu vizuri hii gari aina ya POSCHE
 
Subaru killed my aunt. fake witnesses say the driver was driving "slowly". woe to them!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…