Ombudsman
JF-Expert Member
- Apr 18, 2012
- 3,565
- 3,733
utakua na chuki binafsiNimepita hio stage....nikitaja gari nilizoendesha hapa hutaongea kauli kama hii.....naongelea usalama, kuweni responsible jalini usalama wa wenzenu kama hamjali wa kwenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakua na chuki binafsiNimepita hio stage....nikitaja gari nilizoendesha hapa hutaongea kauli kama hii.....naongelea usalama, kuweni responsible jalini usalama wa wenzenu kama hamjali wa kwenu.
Subaru ni gari maarufu sana hasa kwwnye mashindano ya magari ya East Africa safari rally,kuna Subaru imprezzer iliwahi kutia fora sana na hua zinashiriki mashindano mengi ya magari na labda zimeboreshwa sana ndiyo hata mtu akiwa nayo mtaani anaiendesha kama vile yupo kwenye mashindano ya magari.
Kaka hapa unaponda maji kwenye kinu hatakuelewa hata mmoja japo ujumbe wako ni mzuri sanaNdio ujinga ninaouponda hapa!
Muundo wa injini ya magari haya nitofauti na magari mengine kwa hiyo inazifanya ziwe zinatoa sauti ambayo mtu kama sio makini inakupa hamasa ya kuikamua zaidi.
I've pushed quicker,faster and powerful beasts than that thing and i've been responsible....i know where to put my foot down and where to take it easyRRONDO sio bongo tu hata huku nilipo mambo ni yale yale tatizo la hizi gari zina mzuka mbaya sana hasa kwenye wepesi wa spidi (take over) ulaini wa steering na brake za kunasa
Huku wengi wanachojua ni kanyaga twende the rest is not their businessI've pushed quicker,faster and powerful beasts than that thing and i've been responsible....i know where to put my foot down and where to take it easy
Unajua hawa madogo hawajawahi kutembelea MOI kule MNH....kwahio hawajui madhara ya ajali ngoja mmoja wao subaru imvunje mgongo atakumbuka hii thread! Tushawazika wengi tu, na wamesababisha vifo vingi tu kwa ukubwajinga wao.Huku wengi wanachojua ni kanyaga twende the rest is not their business
Mwaisela ndio kibokoUnajua hawa madogo hawajawahi kutembelea MOI kule MNH....kwahio hawajui madhara ya ajali ngoja mmoja wao subaru imvunje mgongo atakumbuka hii thread! Tushawazika wengi tu, na wamesababisha vifo vingi tu kwa ukubwajinga wao.
Au thamani ya kiungo cha mwili mpaka kile msumenoHuwezi kujua thamani ya afya njema mpaka uumwe.
umewai kuendesha Subaru? kama ujawai tulia ukiwaona wapishi wapite.
Muffler kuubwa full mziki full tintedHalafu kuna mdogo wake ni Alteza! Ukutane na mwendeshaji ni asili ya kipemba au mwarabu utaisoma number
Labda hazipati ajali mkuuAngalia kaka maisha yako yanathamani kuliko kitu chochote.