Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wayback 2000 nilikuwa na kawasaki 250 ilikuwa siku ya meimosi nikamuovatake traffic pale sealander na yale makubwa ya polisi akaja kunikamatia cocobeach wee acha tuHahaha hiyo inanikumbusha Baja 250 wakati ule zimeingia ,ni kama unakua na mdudu fulani anakuwasha hivi ,unavyokanyaga ndio inavyotaka zaidi
Mbwembwe za mjini tu highways(?)za mkoani hamna kitu ni waoga wamepitilizaKama ulikuwepo....kuna wenyewe wanajiita Team Tezza fujo za kijinga barabarani
Kwa barabara gani Dar?Subaru ni sports cars,sishangai wakizifanyia michezo
Wayback 2000 nilikuwa na kawasaki 250 ilikuwa siku ya meimosi nikamuovatake traffic pale sealander na yale makubwa ya polisi akaja kunikamatia cocobeach wee acha tu
Siku nilipopata nayo ajali kona ya kuelekea mahakama ya kinondoni ndio niliuza wiki hiyo hiyoHahaha bana acha tu kweli kila zama na mambo yake ,ila pikipiki ilibidi tu nijilazimishe kuwa na discipline vinginevyo sijui kama ningekua hai
Tena uku arusha kuna kitu znafungwa ukiwa speed ukishika brake znacheua kama gesi ivi sjui inaitwaje apo machalii wanapenda sana....Thats what its made for....
Nenda Arusha kule ndio kuna wehu kabisa, hapa Dar sijaona bado
Wazimu wa ujanani majukumu yakishashika hatamu kila kitu kina cool downTena uku arusha kuna kitu znafungwa ukiwa speed ukishika brake znacheua kama gesi ivi sjui inaitwaje apo machalii wanapenda sana....
Spare usipime last time tulinunua set moja ya break pads kwa 160000 original lakinihivi subaru legacy mpya sh ngapi?
spare zake vipi?
Mnyama huyoooooooooooh
Tena uku arusha kuna kitu znafungwa ukiwa speed ukishika brake znacheua kama gesi ivi sjui inaitwaje apo machalii wanapenda sana....
Nomaa hio kitu ikifungwa yan inatoa saund kama stop engine ya lori yan watu watundu sana..Arusha wajanja wengi hufanyia subaru zao mapping
Hapo zinafungwa BOV, bimbo brakes etc