Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta moja ijaribu alafu utaijuwa kama ina kimbia au ina tambaa cyo verosa ni nuksiiHizi Subaru,muffler kelele nyingi lakini iko hapohapo-labda mimi kipofu-eti zinaenda speed???
Haijui sti with turbo hp 240 na ki verosa chake kama kina fika hp 150Verosa haiwezi izidi Forester Sti
Labda anae endesha hana hela ya mafuta na pia hana uwezo wa kufanya repair au gari si yake
Ila mtu mwenye hela na gari lake huwezi ishinda hiyo gari
Labda awe mwoga
Forester ni gari ya Rally? SMH
Mkuu kuna sti uku ina 750 hp alafu ni hatch back ,kesho inarudi south ni tamuLabda ungeangalia spec za hio Verossa VR25 kabla ya kujibu, sio verossa unazoziona kila siku mtaani. Hio ni 2.5 turbo, manual transmission horse power 280.
Wewe unamiliki brand gani kati ya hizo ? pijo ,citroeni ama VW ?Watajulia wapi hawa....kuanzia mwaka 2000 mpaka leo Subaru imeshinda mara mbili tu...inakimbizwa na Peugeot,Citroen, VW Polo.
2000
Finland Marcus Grönholm Peugeot 206 WRC 4 7 65 5![]()
2001United Kingdom Richard Burns Subaru Impreza WRC 2001 1 6 44 2![]()
2002Finland Marcus Grönholm Peugeot 206 WRC 5 9 77 40![]()
2003Norway Petter Solberg Subaru Impreza WRC 2003 4 7 72 1![]()
2004France Sébastien Loeb Citroën Xsara WRC 6 12 118 36![]()
2005France Sébastien Loeb Citroën Xsara WRC 10 13 127 56![]()
2006France Sébastien Loeb Citroën Xsara WRC 8 12 112 1![]()
2007France Sébastien Loeb Citroën C4 WRC 8 13 116 4![]()
2008France Sébastien Loeb Citroën C4 WRC 11 13 122 19![]()
2009France Sébastien Loeb Citroën C4 WRC 7 9 93 1![]()
2010France Sébastien Loeb Citroën C4 WRC 8 13 276 105![]()
2011France Sébastien Loeb Citroën DS3 WRC 5 9 222 8![]()
2012France Sébastien Loeb Citroën DS3 WRC 9 10 270 57![]()
2013France Sébastien Ogier Volkswagen Polo R WRC 9 11 290 114![]()
2014France Sébastien Ogier Volkswagen Polo R WRC 8 10 267 49![]()
2015France Sébastien Ogier Volkswagen Polo R WRC 8 10 263 80![]()
Subaru ni mzuri kwenye handle tofauti na verosa na hii ni kutokana na mfumo wa engine ,kuna sehemu unaweza pita na subi ikiwa 180 or 200 verosa lazima ulegeze mguu apoJibu lako mwanzo ni dhahiri ulifikiri ni verossa ya kawaida.
Hapana ila Sub generation ya GDI,GDA,GC8, zipo nyingi sana kwenye hiyo kizazi ndo zinafaa forester cyo mzuri kwa rally
umenena mkuuu pesa ndo tatizo...huyu hapa ni mmoja wao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dooh bongo tuna safar ndefu ila ndo hvyo third world country kwahyo 320hp car isn't bad for a day drag race.
Ila kuna gar za maana za kufanyia hyo michezo tatizo pesa.
Kuna bmw m3 ya 2012 bhp ni kama 429 kuna bmw m5 pia 4.4 litre v8 biturbo ina zaid ya bhp 500 na nm of torque zaid ya 500 pia.
Kuna mercedes benz amg c63 ina cc zaidi ya 6000 humu pia napo ni balaa tupu a sedan car with horse power and torque more than a truck car.
Kuna mnyama anaitwa nissan gtr godzilla, namo huku ndo hatari tupu ina 600 horsepower and 481 pound-ft of torque
Hizi gari zenye 320hp bado sana, ila sio mbaayaaa sana kwa hali ya nchi yetu.
Chuma hicho kakaumenena mkuuu pesa ndo tatizo...huyu hapa ni mmoja waoView attachment 344168
Kwa pesa zetu za hapa na pale wacha tuanze na subaru legacy ila isikuaminishe kwamba ni best kuliko nyingine kuna mashine nyingi sana za barabarani hazifai hata kidogo ila madafu ndo tatizoChuma hicho kaka
Kuna vitu road uko kama Chevlon CamaroKwa pesa zetu za hapa na pale wacha tuanze na subaru legacy ila isikuaminishe kwamba ni best kuliko nyingine kuna mashine nyingi sana za barabarani hazifai hata kidogo ila madafu ndo tatizo
S class umeenda mbali mkuu...c class tu inatosha ukutane na c clss 200 kompressor engine 271 husogeiKuna gari ukiendesha tu unakuwa na akili...ushaona wapi Mercedes S class inafurumushwa hovyo?!
Kuna mercedes benz amg c63 ina cc zaidi ya 6000 humu pia napo ni balaa tupu a sedan car with horse power and torque more than a truck car.
Chifu, balaa lipo kwa E63, CL65 na S65...ngoja tutafute pesa aisee...hayo ndiyo magari ya kuendesha mwanamume.
Hii ni E63....
Hapa E63 ikishindanishwa na M5...
CL65 nayo ni balaa..
Ila mnyama ni S65, baba hii gari ni noma...ni luxurious supercar...
Hapa S65 ikishindanishwa na Mulsanne
Tutafuteni pesa wazee...
Chifu, balaa lipo kwa E63, CL65 na S65...ngoja tutafute pesa aisee...hayo ndiyo magari ya kuendesha mwanamume.
Hii ni E63....
Hapa E63 ikishindanishwa na M5...
CL65 nayo ni balaa..
Ila mnyama ni S65, baba hii gari ni noma...ni luxurious supercar...
Hapa S65 ikishindanishwa na Mulsanne
Tutafuteni pesa wazee...
Wewe umekariri. hio vesrossa sio kama ulizozoea kuna mitaani, usifikiri wataipa 280bhp then waache suspension na control arm za verossa ya kawaida, lazima warekebishe handling. Unafikiri zile vw polo zinazoitoa kamasi imprezza ni kama hizi zenu za befoward?!!Subaru ni mzuri kwenye handle tofauti na verosa na hii ni kutokana na mfumo wa engine ,kuna sehemu unaweza pita na subi ikiwa 180 or 200 verosa lazima ulegeze mguu apo