Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Nendeni mkatoe maiti kwanza huko Dsm,kuna mtu toka jana kafia barabarani na hakuna mtu anadiriki kumsogelea!Maiti imekaa zaidi ya 24 hrs mpaka sasa!Niliwaambia corona ni ugonjwa wa kawaida tu
Km mtu anaendesha IT hadi uganda na haumwi haumwi chochote sidhani km kuna haja ya kujifungia ndani