Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Muda si mrefu majirani zetu wataanza kutuita Bio-weapons
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na matrafiki wanavyopenda hongo kutoka kwa madereva wa malori, lazima baadhi yao watakuwa sasa wanatembea na virusi.Madereva wa malori ya masafa marefu sasa hivi watakua wanaendesha kwa raha mustarehe,maana ma-traffic watakua wanaogopa kuwasimamisha njiani sababu wanajua wajomba wako wana-supply covid hawachelewi kuwagawia na hao jamaa wa barabarani.
Sisi tunawachunguza kwa macho, wenzetu wanawachunguza kwa vipimo vya maabara.inakuwaje huku kwetu hawaonekani na maambukizi ila wakifika nje ya mipaka vinaonekana?
Mbona mmejifungia Chato, Basi rudini DarNiliwaambia corona ni ugonjwa wa kawaida tu
Km mtu anaendesha IT hadi uganda na haumwi haumwi chochote sidhani km kuna haja ya kujifungia ndani
We ni mjinga Kama walivyo waafrika wengi, dawa, chanzo karibia zote zinatoka kwa wazungu huo mkakati wa kuuwa waafrika wangekua nao wangeshautekeleza mda sana, achana na stori za vijiweniGuys, cant we make our own testing materials and equipment? Ninapata mashaka na kila kitu kinachozunguka huu ugonjwa. Kama kuna Masks zinaletwa ziko infected, maana yake ni kwamba tumetengenezewa mkakati wa kutuondoa usoni pa dunia.
Ukijumlisha na usemi wa Billy Gates kwamba tumezidi kuwa wengi duniani na ili dunia ipunguziwe uharibifu kunatakiwa kupunguza watu, akaendelea kusema wanaweza kupunguza kama wakicheza vizuri kwenye chanjo, na pia kwamba baada tu ya demand ya vifaa tiba kuhitajika kwa wingi duniani China Government imetake over viwanda vyote husika hata private kiasi hata mmiliki hana access ya kujua kinachozalishwa humo viwandani na serikali ni nini, na mengine mengi, si jambo la ajabu kuwa testing kits ziko infected kwamba unachukua specimen, unaji infect, ama unapopima kwenye reagents kuna virus.
Watu wazima wanapoambiwa wana virus na kuchanganywa na wangonjwa wanaweza kupata maambukizi kwenye ward ama kwenye kuchukua vipimo.
Nina sababu ya kuwa na mashaka na kila kitu wanachofanya kwenye mili yetu hawa watu. Agenda yao ni mbaya sana kwa Africa.
Naomba ndugu zangu tusigawanyike badala yake tuungane na kutafuta suluhisho za matatizo yetu kutoka ndani. Tukiendellea kuwachekelea hawa watu kwa kudhani wanatuusaidia tutakwisha. Hawatutaki.
Wenzetu kila baada ya muda mfupi wanatoa updates za corona, sisi shida nn? Siku ya ngapi leo hakuna updates? Why madereva wa safari ndefu wasipimwe kabla ya kusafiri? Dereva katoka na ugonjwa Dar hadi afike uganda hapo katikati kaambukiza wangapi ambao hawakujikinga. Aisee, huu mzunguko ukiendelea hv tutakwama.
Jinao mtu kafa kwa Corona?Za kuambiwa changanya na zako!Chukua hatua na jilinde wewe na familia yako dhidi ya Corona!Watu wameona? Hizi Ndio akili za Chadema
Kwani ni mara ya kwanza mtu kufa nje na watu wakakimbia ? Hujui wanakwepa jinai hapo!
Come on, you are better than that; ugonjwa unaambukiza, hatujachukua hatua za kupunguza maambukizi kupitia social distancing, kila kitu kinaendelea kama kawaida ni vipi unashangaa kuwepo kwa maambukizi mengi.Guys, cant we make our own testing materials and equipment? Ninapata mashaka na kila kitu kinachozunguka huu ugonjwa. Kama kuna Masks zinaletwa ziko infected, maana yake ni kwamba tumetengenezewa mkakati wa kutuondoa usoni pa dunia.
Ukijumlisha na usemi wa Billy Gates kwamba tumezidi kuwa wengi duniani na ili dunia ipunguziwe uharibifu kunatakiwa kupunguza watu, akaendelea kusema wanaweza kupunguza kama wakicheza vizuri kwenye chanjo, na pia kwamba baada tu ya demand ya vifaa tiba kuhitajika kwa wingi duniani China Government imetake over viwanda vyote husika hata private kiasi hata mmiliki hana access ya kujua kinachozalishwa humo viwandani na serikali ni nini, na mengine mengi, si jambo la ajabu kuwa testing kits ziko infected kwamba unachukua specimen, unaji infect, ama unapopima kwenye reagents kuna virus.
Watu wazima wanapoambiwa wana virus na kuchanganywa na wangonjwa wanaweza kupata maambukizi kwenye ward ama kwenye kuchukua vipimo.
Nina sababu ya kuwa na mashaka na kila kitu wanachofanya kwenye mili yetu hawa watu. Agenda yao ni mbaya sana kwa Africa.
Naomba ndugu zangu tusigawanyike badala yake tuungane na kutafuta suluhisho za matatizo yetu kutoka ndani. Tukiendellea kuwachekelea hawa watu kwa kudhani wanatuusaidia tutakwisha. Hawatutaki.
Guys, cant we make our own testing materials and equipment? Ninapata mashaka na kila kitu kinachozunguka huu ugonjwa. Kama kuna Masks zinaletwa ziko infected, maana yake ni kwamba tumetengenezewa mkakati wa kutuondoa usoni pa dunia.
Ukijumlisha na usemi wa Billy Gates kwamba tumezidi kuwa wengi duniani na ili dunia ipunguziwe uharibifu kunatakiwa kupunguza watu, akaendelea kusema wanaweza kupunguza kama wakicheza vizuri kwenye chanjo, na pia kwamba baada tu ya demand ya vifaa tiba kuhitajika kwa wingi duniani China Government imetake over viwanda vyote husika hata private kiasi hata mmiliki hana access ya kujua kinachozalishwa humo viwandani na serikali ni nini, na mengine mengi, si jambo la ajabu kuwa testing kits ziko infected kwamba unachukua specimen, unaji infect, ama unapopima kwenye reagents kuna virus.
Watu wazima wanapoambiwa wana virus na kuchanganywa na wangonjwa wanaweza kupata maambukizi kwenye ward ama kwenye kuchukua vipimo.
Nina sababu ya kuwa na mashaka na kila kitu wanachofanya kwenye mili yetu hawa watu. Agenda yao ni mbaya sana kwa Africa.
Naomba ndugu zangu tusigawanyike badala yake tuungane na kutafuta suluhisho za matatizo yetu kutoka ndani. Tukiendellea kuwachekelea hawa watu kwa kudhani wanatuusaidia tutakwisha. Hawatutaki.
Njia nzima katoa leseni na documents zingine kwa matrafiki barabarani zenye virusi vya Covid 19, wao pia wanapeleka kwa madereva wengine na nyumbani kwao, the chain continues.Wenzetu kila baada ya muda mfupi wanatoa updates za corona, sisi shida nn? Siku ya ngapi leo hakuna updates? Why madereva wa safari ndefu wasipimwe kabla ya kusafiri? Dereva katoka na ugonjwa Dar hadi afike uganda hapo katikati kaambukiza wangapi ambao hawakujikinga. Aisee, huu mzunguko ukiendelea hv tutakwama.
Watanzania always ni ulalamishi, sasa kwa misongamano hii tutaachaje kuambukizana?Madereva wetu waache kwenda Uganda, kunadalili za kama ka kuwakomoa Watanzania.
Duh ,Tanzania "kunanuka " kovidi 19.All confirmed cases are Tanzanian truck drivers who arrived via Mutukula border
Kwanini unadhani wanakimbia jinai na sio maambukiziWatu wameona? Hizi Ndio akili za Chadema
Kwani ni mara ya kwanza mtu kufa nje na watu wakakimbia ? Hujui wanakwepa jinai hapo!
Wakibadili madereva mipakani huoni kuwa virus wanaweza kuwa kwenye viti, usukani, etcTz ni donna country corona. Tutarajie kanuni mpya majirani kubadili madereva mipakani .Siku 14 karantini ni nyingi kwa mizigo yao.
Sent using Jamii Forums mobile app