#COVID19 Madereva wanne zaidi wa Tanzania wemekutwa na Covid-19 nchini Uganda

#COVID19 Madereva wanne zaidi wa Tanzania wemekutwa na Covid-19 nchini Uganda

WhatsApp-Image-2020-04-13-at-03.37.16-1-660x400.jpeg


Wizara ya Afya Uganda imesema Watanzania wengine wanne (Madereva wa Malori) wamebainika kuwa na virusi vya corona nchini humo na kufanya visa vya corona Uganda kufikia 79, Madereva hao walioingia Uganda kupitia mpaka wa Mutukula ni kati ya ya Watu 1989 waliopimwa jana Uganda.

“Tumewapima Watu 1989 ambapo Madereva wa Malori ni 1578 na kati yao Watanzania wanne wamebainika kuwa na corona, wengine 411 tuliowapima sio Madereva na wote ni wazima”-WIZARA YA AFYA UGANDA

madereva from Tanzania????????????????????????????????????????????????????
Wengine 411 sio madereva na hawana shida, ila madereva tu? Kuna tatizo mahali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ni mjinga Kama walivyo waafrika wengi, dawa, chanzo karibia zote zinatoka kwa wazungu huo mkakati wa kuuwa waafrika wangekua nao wangeshautekeleza mda sana, achana na stori za vijiweni
Wamewaleteeni Ukimwi na kuwaaminisheni hauna tiba kiongozi, sijui ndo wanawapenda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana ngoja watusaidie wenzetu kupima wagonjwa na kutoa taarifa........
Stupid tz leaders
 
wasomi wetu ni wabinafsi pia na fikra zao hazinatofauti kubwa nawakulima
Hapa inaonesha nawe pia una mtazamo wa ajabu kama hao unaowasema.
Kwani hakuna wakulima wasomi waliosomea kilimo?

Je, kuwa mkulima ni kuwa na fikra duni au mtazamo wa ajabu usio shabihiana na usomi?
 
Niliwaambia corona ni ugonjwa wa kawaida tu

Km mtu anaendesha IT hadi uganda na haumwi haumwi chochote sidhani km kuna haja ya kujifungia ndani
Inategemea yuko kwenye stage gani. Kuna stages za mild symptoms.. hapa mafua na kikohozi kuumwa kichwa na homa.

Worse symptoms ni ile kupumua kwa shida.
Sasa ww unaandika kwa kuchukulia powa tu. Hao kama wako kwenye dalili za mwanzo wanaweza wndesha gari kwa muda mrefu sana.

Ila sio kwamba ugonjwa wa kawaida. Maana watu kaam hawa wakiachwa wataelekea ktk hatua ya mwisho.. hapo inakuwa mbaya. Maana hata kupumua ni shida.

Kama ungekuwa wa kawaida dawa ingeshapatikana.

Kama ungekuwa wa kawaida usingeondoka na idadi ya watu wengi duniani kiasi hiko.
Kama ungekuwa wakawaida nadhan dunia isingehangaika nao kihivyo.
Wacha kuchukulia vitu powa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jitahidini kuweka vyanzo vya Habari
Chanzo cha hio habari ni wizara ya Afya.
Kwani wizara yenu Tz inafanya kazi ama imelala. Inakuwaje kila kukicha tunasoma madeleva toka Tanzania wamepatukana na covid-19. Sabaabu ni ipi?? Na je huko kote walikopita wananchi wako salaama kweli??? Ama ndo mjiandae na mipuko wa covid-19.
Anyway nilipokuwa Tz mwalimu. Wa koswahili alotuiambia kuwa; Ukiona mwenzio ananyolewa nawe......[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ugonjwa wa korona una incubation period ya siku 14, kwa hiyo unaweza kusafiri wiki nzima bila dalili zozote, hatari ya hu ungonjwa iko kwenye kusambaa, sio kuua rate ya kuua iko 5% tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
5% unaijua vizuri au unaongea tu?

Tanzania population tupo almost 60mil, tuseme 50mil wapate sababu ya uzembe, hiyo 5% ni watu 2.5mil. Unajua vifo 2.5mil vilivyo? Acha utani, hivyo ni vifo vingi mno kwa hiyo next time unavyoongelea asilimia flani em fikiria vizuri kabla ya kuongea, piga hesabu kwanza.

Huu ugonjwa ni hatari mno.
 
5% unaijua vizuri au unaongea tu?

Tanzania population tupo almost 60mil, tuseme 50mil wapate sababu ya uzembe, hiyo 5% ni watu 2.5mil. Unajua vifo 2.5mil vilivyo? Acha utani, hivyo ni vifo vingi mno kwa hiyo next time unavyoongelea asilimia flani em fikiria vizuri kabla ya kuongea, piga hesabu kwanza.

Huu ugonjwa ni hatari mno.
Nimekupa General view ya ungonjwa sio specifically kwa Tanzania. Mkuu vip mbona unachanganya madaso kwani watanzania wote wameambukizwa ili upate hiyo %

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekupa General view ya ungonjwa sio specifically kwa Tanzania. Mkuu vip mbona unachanganya madaso kwani watanzania wote wameambukizwa ili upate hiyo %

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkiuchukulia juu juu mnadhani wataugua wangapi? Nimekuonyesha ili ujue risk iliyopo, mkileta mzaa huu ugonjwa utawaua vibaya mno
 
Back
Top Bottom