Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Nendeni mkatoe maiti kwanza huko Dsm,kuna mtu toka jana kafia barabarani na hakuna mtu anadiriki kumsogelea!Maiti imekaa zaidi ya 24 hrs mpaka sasa!Niliwaambia corona ni ugonjwa wa kawaida tu
Km mtu anaendesha IT hadi uganda na haumwi haumwi chochote sidhani km kuna haja ya kujifungia ndani
Nendeni mkatoe maiti kwanza huko Dsm,kuna mtu toka jana kafia barabarani na hakuna mtu anadiriki kumsogelea!Maiti imekaa zaidi ya 24 hrs mpaka sasa!
Uliza humu jamvini kuna watu wameona Clouds 360 asubuhi ya leo!Acha ujinga!Huo uzushi wa Chadema tumeuzoea
Uliza humu jamvini kuna watu wameona Clouds 360 asubuhi ya leo!Acha ujinga!
Niliwaambia corona ni ugonjwa wa kawaida tu
Km mtu anaendesha IT hadi uganda na haumwi haumwi chochote sidhani km kuna haja ya kujifungia ndani
Usipate taabu, source hii hapa:-Jitahidini kuweka vyanzo vya Habari
Sijui kwanini watanzania tuna fikra hasi kwa kila jambo wa kukomoe kwa lipi?......badala ya kukubali kwamba tuna kiongozi mbovu tumeanza kutafuta visingizioMadereva wetu waache kwenda Uganda, kunadalili za kama ka kuwakomoa Watanzania.
Ugonjwa wa korona una incubation period ya siku 14, kwa hiyo unaweza kusafiri wiki nzima bila dalili zozote, hatari ya hu ungonjwa iko kwenye kusambaa, sio kuua rate ya kuua iko 5% tu......Ni ugonjwa wa kawaida kwa mtu mwenye kinga ya mwili kubwa, madereva wengi sio wazee na wanachapa kazi kila siku, so wengi utasema angalau wanna afya ya kawaida, tatizo chukua dereva huyo moja, arudi nyumbani akutane na baba na mama wamezeeka wana vitu ka kisukari na afya mgogoro alafu awaambukize hapo ndipo utajua kama ni ugonjwa wa kawaida tu la, hawamalizi wiki mbili.
Kufanya kazi fanya ila usiambukize watu ambao wakiupata huu ugonjwa utawaua.
Tanzania haijaripot kisa chochote toka hotuba ya Rais itolewe. Huenda ile hotuba imepndoa visa vya corona nchini.
Najaribu kukuelewaga ila nashindwa..Uganda wanatesa raia wao
Bora uwe una nyamaza sabab ipo siku itakutembelea kwenye familia yako ukose cha kusema.Watanzania walikuwa wanaugua hofu
Madereva wa malori ya masafa marefu sasa hivi watakua wanaendesha kwa raha mustarehe,maana ma-traffic watakua wanaogopa kuwasimamisha njiani sababu wanajua wajomba wako wana-supply covid hawachelewi kuwagawia na hao jamaa wa barabarani.Wenzetu kila baada ya muda mfupi wanatoa updates za corona, sisi shida nn? Siku ya ngapi leo hakuna updates? Why madereva wa safari ndefu wasipimwe kabla ya kusafiri? Dereva katoka na ugonjwa Dar hadi afike uganda hapo katikati kaambukiza wangapi ambao hawakujikinga. Aisee, huu mzunguko ukiendelea hv tutakwama.