Madhaifu ya wanyakyusa nilichogundua baada ya kupeleka posa/barua kwa binti wa kinyakyusa

Madhaifu ya wanyakyusa nilichogundua baada ya kupeleka posa/barua kwa binti wa kinyakyusa

Hiyo thinking unayo jaribu kutumia ni ya karne ya 16 tu, na kuna namna nyingi ya tofauti za kufikiri.
Kujua culture, norms, tradition za wasukuma huhitaji ukutane na wasukuma wote, kujua mambo ya wasandawe huhitaji kukutana na wasandawe wote same to wajaluo, wachaga, wakurya.
Hakuna haja ya kutafuta quantitative measures kwenye mambo ya culture.
Kama mwanamke anapata guts za kumpinga mmewe ambaye kashapokea posa means ni kitu cha kawaida kimezoeleka kimekuwa adapted na watu hao huhitaji kutafuta wanyakyusa wote kujua kama ni sawa kwanza sio realistic anao mtu mmoja a quantifying data za wanyakyusa wote.
Ukienda kanda ya ziwa mwanamke huwezi ukakuta ana behave like that mbele ya mme wake.
All in all endelea kumeza madesa wasome sana kina Emmanuel kant wa modern philosophy na kina Socrates wa ancient philosophy.
Ukumbe pia kuna aina nyingi za thinking usikalili tu hiyo Descarte thinking that is how you become slave
Umeandika na maumivu fulani kisa mie kuwa mtizamo tofauti.
Kuna Tabia za kila familia. Huwezi sema waafrika wote tunafanana am sure.
Kuna Koo ndani ya kabila,Kuna classification kibao ndani ya Koo moja elewa.
Kuna wanyakyusa labda wanatoa mabinti zao free sema hujatembea kwa kabila zima ili uone.

Haiwezekani ufanye easy conclusions ndio tuichukue iwe facts kwa population nzima.
So hata nikikutana na mzambia akampenda mnyakyusa akaniuliza mie Kama mtanzania Basi nimwambie ulivyosema hapa ama inakuwaje.
Umejuaje kama Ni wewe wamekufanyia ivyo alone.

Yaani your easy research or experience Basi iwe universal truth.
I can't na atakaye kubaliana na wewe anayo easy mind or cheap dopamine mind Kama sio easy negative mind.
You need to weed your mind so that you can see positivity within negativity.

Hao wote nishawasoma usijali na bado naendelea kusoma wengine hata Greece philosophers nadhani hupotezi kitu mie kuwasoma ama Kuna mahala unachubuka.

Kama unacho kitabu nitumie
 
Umeandika na maumivu fulani kisa mie kuwa mtizamo tofauti.
Kuna Tabia za kila familia. Huwezi sema waafrika wote tunafanana am sure.
Kuna Koo ndani ya kabila,Kuna classification kibao ndani ya Koo moja elewa.
Kuna wanyakyusa labda wanatoa mabinti zao free sema hujatembea kwa kabila zima ili uone.

Haiwezekani ufanye easy conclusions ndio tuichukue iwe facts kwa population nzima.
So hata nikikutana na mzambia akampenda mnyakyusa akaniuliza mie Kama mtanzania Basi nimwambie ulivyosema hapa ama inakuwaje.
Umejuaje kama Ni wewe wamekufanyia ivyo alone.

Yaani your easy research or experience Basi iwe universal truth.
I can't na atakaye kubaliana na wewe anayo easy mind or cheap dopamine mind Kama sio easy negative mind.
You need to weed your mind so that you can see positivity within negativity.

Hao wote nishawasoma usijali na bado naendelea kusoma wengine hata Greece philosophers nadhani hupotezi kitu mie kuwasoma ama Kuna mahala unachubuka.

Kama unacho kitabu nitumie
Wewe ndio wale "if i can't understand it's nonsense".
Oky! Tu assume wewe ndio umeandika fact na mimi ndio biased, irrational, subjective.
How it feels now!? I think that it's good for your ego.
 
Wewe ndio wale "if i can't understand it's nonsense".
Oky! Tu assume wewe ndio umeandika fact na mimi ndio biased, irrational, subjective.
How it feels now!? I think that it's good for your ego.
Put in numbers what you're talking mkuu. Na sio just feelings.yaani ukiambiwa fulani Ni mbaya mtumbue Basi na wewe unatumbua. Show us numbers , remember everything is the numbers game.
Whether you like or not.
Haiwezekani familia moja uweke conclusion ya population nzima.
We need mean of your samples iwe angalau approached to population mean.

Talk in numbers Ila Kama unatumia feelings , thoughts tuelewane na uelewe kuwa feelings sio universal or objective.
We should remove this kind of thinking.ukakutana na msukuma mmoja akakufanyia mazuri Basi ukaingia mzima mzima kuwa wasukuma Ni watu wazuri.
If you can't put into numbers what you're talking just continue with your mind model of evaluation and analysis. Mie sikubaliani na wewe
 
Ulikwenda na usafiri
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakuwa na kaubabe fulan hivi.

Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran

Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.

Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.

Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.

Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.

Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000

Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi

Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.

Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Gani huko unyakini? tuanzie hapo kwanza.
 
Put in numbers what you're talking mkuu. Na sio just feelings.yaani ukiambiwa fulani Ni mbaya mtumbue Basi na wewe unatumbua. Show us numbers , remember everything is the numbers game.
Whether you like or not.
Haiwezekani familia moja uweke conclusion ya population nzima.
We need mean of your samples iwe angalau approached to population mean.

Talk in numbers Ila Kama unatumia feelings , thoughts tuelewane na uelewe kuwa feelings sio universal or objective.
We should remove this kind of thinking.ukakutana na msukuma mmoja akakufanyia mazuri Basi ukaingia mzima mzima kuwa wasukuma Ni watu wazuri.
If you can't put into numbers what you're talking just continue with your mind model of evaluation and analysis. Mie sikubaliani na wewe
Hizo number ungeanzia hapa kuangalia ni wangapi wanasema wanawake wa kinyakyusa ni wababe ni coincidence kwamba wote wanawaonea!?
Kama mwanamke anapata confidence ya kufanya hicho kitu i believe ni kitu cha kawaida kwao because ni product ya hiyo jamii husika.
Na huyu bwana hahitaji kuoa kabila zima hizo data hazina msaada kwake.
Unaposema ni put in numbers siamini hata matendo yako na fikra zako unaweza kuza put in numbers kama inavyo dai sio tatizo lako umeanza ku undergo ule ugonjwa uitwao scientism
After all i agree to disagree.
 
Hio familia haifai achana nayo wananjaa hao, Baba katekwa kwanza Baba ndiye anaeozesha mtoto sio mama kwenye hilo kabila, mkatae huyo mwanamke mbeleni utajuta hio sio familia ulichokiona kwa mama mkwe ndio huyo ulozaa nae, Mpigie chini mwambie ulichokiona kinakupa kiza mbeleni
Mkuuu mbona una mtisha kijana, Huyo mwanamke anaolewa anaenda kuwa familia ya upande wa Mumewe kwa hiyo mke hawezi kuleta tamaduni zao kwenye tamaduni za jamii nyinge, mfano umeoa bint wa kimasai na wewe mfano ni Mchaga kwa hiyo binti wa kimasai ataziacha Mira zao uko numbani kwao kwasababu kaenda kwenye jamii tofauti na yao. Huyo binti umesema ni Mnyakyusa na Wazazi wake wote ni kabila moja, ingekuwa Baba yake mkulya na Mama yake Mnyakyusa na kwenye Mahari mama yake ndiyo kiongozi hapo ingekuwa majaabu.
 
Mkuuu mbona una mtisha kijana, Huyo mwanamke anaolewa anaenda kuwa familia ya upande wa Mumewe kwa hiyo mke hawezi kuleta tamaduni zao kwenye tamaduni za jamii nyinge, mfano umeoa bint wa kimasai na wewe mfano ni Mchaga kwa hiyo binti wa kimasai ataziacha Mira zao uko numbani kwao kwasababu kaenda kwenye jamii tofauti na yao. Huyo binti umesema ni Mnyakyusa na Wazazi wake wote ni kabila moja, ingekuwa Baba yake mkulya na Mama yake Mnyakyusa na kwenye Mahari mama yake ndiyo kiongozi hapo ingekuwa majaabu.
DNA, choo ni nyumba na mke ni mama mkwe huyo atajuta maisha yake yote akiwa hicho kinyago. Ogopa sana, na kawaida usikose kabla ya kuongea na wababu na wabibi wa hilo kabila na kupata umbea juu ya utawala wa Baba na historia ya upande wa mama na Baba, kuna baadhi ni wachawi wakubwa as time goes on wanawake aina ya nyoka wanameza waume zao.

Kauli mbiu kwa usalama kataa kuoa kataa ndoa uishi salama
 
Mkuu wanawake wa huko full black, full fuvu kubwa, full miguu minene, full shape kujazwa nyama, umependea nini huko au ile ubaunsa wa kujitwika tenga kwa mkono mmoja, hahaaa utakuja kupewa nakosi ndani uombe poooh.
 
Hizo number ungeanzia hapa kuangalia ni wangapi wanasema wanawake wa kinyakyusa ni wababe ni coincidence kwamba wote wanawaonea!?
Kama mwanamke anapata confidence ya kufanya hicho kitu i believe ni kitu cha kawaida kwao because ni product ya hiyo jamii husika.
Na huyu bwana hahitaji kuoa kabila zima hizo data hazina msaada kwake.
Unaposema ni put in numbers siamini hata matendo yako na fikra zako unaweza kuza put in numbers kama inavyo dai sio tatizo lako umeanza ku undergo ule ugonjwa uitwao scientism
After all i agree to disagree.
We see things as we're not as they're.
 
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakuwa na kaubabe fulan hivi.

Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran

Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.

Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.

Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.

Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.

Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000

Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi

Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.

Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Pole sana kijana. Wakati wa kuoa ni muhimu mrudi kwa wazee ili mfuate mila za mnapooa. Tafuta mshenga mnyakyusa ndo apeleke posa. Posa haipelekwi na wewe muoaji. Pia wakati wa mahari mshenga awe mzee wa kinnyakyusa. Mkienda kuoa kabila lingine nendeni na wenye kbila lao ukienda hivi hivi hautoa
 
Back
Top Bottom