Madhaifu ya wanyakyusa nilichogundua baada ya kupeleka posa/barua kwa binti wa kinyakyusa

Madhaifu ya wanyakyusa nilichogundua baada ya kupeleka posa/barua kwa binti wa kinyakyusa

Pole mkuu unaonaje ukaachana na huo mpango wa kuoa maana inaonekana mama mkwe tapeli na unaenda kupewa binti tapeli pia!
Ila mkuu kama suala la kutoa hiyo hela limekutoa jasho hivyo mpaka umekuja kulalama huku JF je utaweza kweli kummudu huyo mnyakyusa? Mbona kama unaanza kupelekeshwa mapema kabisa? Dada zangu wakinyakyusa nawaelewa sana yaani hapa mwanzo wanakupima ukijichanganya tu ukaongeza hiyo hela basi tayari wameshajihakikishia wewe ni bwege na unatawalika. Ulichotoa ndo umetoa wakikomaa waambie basi waendelee kusubiri utafute halafu unapiga kimya uone watakavyojileta wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona una sample space moja Ila unadai kuwa unazo demographic data. Mie nikajua umetembea kwa Ilo kabila lote. Mana hapa probability hata Hakuna ,so umeenda kwa familia moja zipo familia ngapi ili tuone Ile number of events over the total number of sample space.
Ili Sasa tupige hesabu tuone unachoongea.
"I often say that when you can measure what you are speaking about, and express it in numbers, you know something about it; but when you cannot measure it, when you cannot express it in numbers, your knowledge is of a meagre and unsatisfactory kind." ~ Lord Kelvin.


Mana hapa umeongea hisia we need facts. Hebu jaribu kutembea kwa familia Milioni moja za kinyakyusa halafu ulete hapa ili tupime. Na wewe Sasa unataka tuungane na wewe ili tuwapige Vita wapunguze mahari.
Mbona kwanza unachotoa Ni kidogo mno.
Wa Dinka wa sauzi sudani wanatoa ng'ombe 100-500 na binti anakaa na wewe 4yrs bila ya kufanya kazi yoyote akihudumiwa na ndugu zako na ukijichanganya ndani ya hiyo four years anasepa na haurudishiwi mahari.

Yaani wewe hela ya kuhonga unalalamika.
Sasa akikiugulia ukatumia milioni si utakuja kuwa mke Ni gharama.
When you are face to face with a difficulty, you are up against a discovery.” “The more you understand what is wrong with a figure, the more valuable that figure becomes.” “To measure is to know.” “If you cannot measure it, you cannot improve it.
Thinking
Pole sana kijana. Wakati wa kuoa ni muhimu mrudi wa wazee ili mfuate mika za mnapooa. Tafuta mshenga mnyakyusa ndo apeleke posa. Posa haipelekwi na wewe muoaji. Pia wakati wa mahari mshenga awe mzee wa kinnyakyusa. Mkienda kuoa kabila lingine nendeni na wenye kbila lao ukienda hivi hivi hautoaok

Pole mkuu unaonaje ukaachana na huo mpango wa kuoa maana inaonekana mama mkwe tapeli na unaenda kupewa binti tapeli pia!
Ila mkuu kama suala la kutoa hiyo hela limekutoa jasho hivyo mpaka umekuja kulalama huku JF je utaweza kweli kummudu huyo mnyakyusa? Mbona kama unaanza kupelekeshwa mapema kabisa? Dada zangu wakinyakyusa nawaelewa sana yaani hapa mwanzo wanakupima ukijichanganya tu ukaongeza hiyo hela basi tayari wameshajihakikishia wewe ni bwege na unatawalika. Ulichotoa ndo umetoa wakikomaa waambie basi waendelee kusubiri utafute halafu unapiga kimya uone watakavyojileta wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Imeuwa mzee
 
Ni familia hiyo uliyoenda kuoa sio kabila zima, na hiyo uliyopeleka ni posa yaan kishika uchumba hakitakiwi kuzidi 100,000/= labda kama umempa mimba kabisa hapo ndo faini inakuhusu inainzia 150,000-300,000/= kuhusu maamuzi yako chini ya baba na mashangazi sio mama, nimeoa unyakyusani na mwaka wa nane huu niko na mama chanja wangu life linaenda. Onyesha msimamo ukienda kinyororo utakula za uso
Huyu kampa mimba na hiyo ni fine ila naona haelewi
 
Eti financial services ni kweli?

Njoo uwatetee ndugu zako.
Hapana siyo kweli kuhusu mahari or posa kubwa inategemea na familia yenyewe, ila kuhusu mahari kugawanywa hadi kwa majirani ni kweli,sisi tunaamini jamii nzima inahusika katika malezi ndiyo maana jirani anaweza akakuadhibu kama kama mzazi wako, ikitokea kuna kitu kibaya umefanya amekuona, so yes wanahusika kwenye mgao hata kama watapata kiasi kidogo( nilishawahi kushuhudia majirani wamegawana sh 3000 3000 za mahari ya binti, ni kwa furaha tu wanafanya hivo na wanapiga vigelegele na kushangilia sana kama kumpa baraka binti yao huko aendako).

Pia mama kuwa na sauti mmh hapana hivi unawajua mashangazi na kaka yao(baba binti) mkuu ? Wao ndiyo wenye sauti, Mama anakua anasikiliza tu hana say sana.

Karibuni muoe unyakyusani, tuna roho nzuri mno siyo wabishi( najipigia promo kidogo😃🥰 )
 
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakuwa na kaubabe fulan hivi.

Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran

Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.

Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.

Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.

Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.

Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000

Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi

Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.

Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Mtafute Embezzler akupe mbinu za UNGUFYE UNGUFYEE

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Ni familia hiyo uliyoenda kuoa sio kabila zima, na hiyo uliyopeleka ni posa yaan kishika uchumba hakitakiwi kuzidi 100,000/= labda kama umempa mimba kabisa hapo ndo faini inakuhusu inainzia 150,000-300,000/= kuhusu maamuzi yako chini ya baba na mashangazi sio mama, nimeoa unyakyusani na mwaka wa nane huu niko na mama chanja wangu life linaenda. Onyesha msimamo ukienda kinyororo utakula za uso
Ndaga fijo shemeji
 
Hapana siyo kweli kuhusu mahari or posa kubwa inategemea na familia yenyewe, ila kuhusu mahari kugawanywa hadi kwa majirani ni kweli,sisi tunaamini jamii nzima inahusika katika malezi ndiyo maana jirani anaweza akakuadhibu kama kama mzazi wako, ikitokea kuna kitu kibaya umefanya amekuona, so yes wanahusika kwenye mgao hata kama watapata kiasi kidogo( nilishawahi kushuhudia majirani wamegawana sh 3000 3000 za mahari ya binti, ni kwa furaha tu wanafanya hivo na wanapiga vigelegele na kushangilia sana kama kumpa baraka binti yao huko aendako).

Pia mama kuwa na sauti mmh hapana hivi unawajua mashangazi na kaka yao(baba binti) mkuu ? Wao ndiyo wenye sauti, Mama anakua anasikiliza tu hana say sana.

Karibuni muoe unyakyusani, tuna roho nzuri mno siyo wabishi( najipigia promo kidogo😃🥰 )
Kuna mashangazi; afu kuna mashangazi wa kinyaki
 
Hapana siyo kweli kuhusu mahari or posa kubwa inategemea na familia yenyewe, ila kuhusu mahari kugawanywa hadi kwa majirani ni kweli,sisi tunaamini jamii nzima inahusika katika malezi ndiyo maana jirani anaweza akakuadhibu kama kama mzazi wako, ikitokea kuna kitu kibaya umefanya amekuona, so yes wanahusika kwenye mgao hata kama watapata kiasi kidogo( nilishawahi kushuhudia majirani wamegawana sh 3000 3000 za mahari ya binti, ni kwa furaha tu wanafanya hivo na wanapiga vigelegele na kushangilia sana kama kumpa baraka binti yao huko aendako).

Pia mama kuwa na sauti mmh hapana hivi unawajua mashangazi na kaka yao(baba binti) mkuu ? Wao ndiyo wenye sauti, Mama anakua anasikiliza tu hana say sana.

Karibuni muoe unyakyusani, tuna roho nzuri mno siyo wabishi( najipigia promo kidogo😃🥰 )
Sahihi wanyakyusa mtoto hulekewa na jamii sasa mtu kama katoka familia self contained ya yeye na baba yake na mama yake tu hiyo mila ya kugawana mahari kijiji chote lazima asiielewe

Kifupi akaoe huko anakoelewa to cut the story short shenzi type
 
Hapana siyo kweli kuhusu mahari or posa kubwa inategemea na familia yenyewe, ila kuhusu mahari kugawanywa hadi kwa majirani ni kweli,sisi tunaamini jamii nzima inahusika katika malezi ndiyo maana jirani anaweza akakuadhibu kama kama mzazi wako, ikitokea kuna kitu kibaya umefanya amekuona, so yes wanahusika kwenye mgao hata kama watapata kiasi kidogo( nilishawahi kushuhudia majirani wamegawana sh 3000 3000 za mahari ya binti, ni kwa furaha tu wanafanya hivo na wanapiga vigelegele na kushangilia sana kama kumpa baraka binti yao huko aendako).

Pia mama kuwa na sauti mmh hapana hivi unawajua mashangazi na kaka yao(baba binti) mkuu ? Wao ndiyo wenye sauti, Mama anakua anasikiliza tu hana say sana.

Karibuni muoe unyakyusani, tuna roho nzuri mno siyo wabishi( najipigia promo kidogo😃🥰 )
Hivi we ushaolewa tuanzie hapo..ili nijiandae
 
Back
Top Bottom