S Sagatinho New Member Joined Jul 26, 2022 Posts 4 Reaction score 2 Nov 30, 2024 #1 Ivi nikweli ukitembwa na mwanamke mwingine huruhusiwi kusika mwanao kwamba Atadhuruka.. na kuathiri ukuaji wake?
Ivi nikweli ukitembwa na mwanamke mwingine huruhusiwi kusika mwanao kwamba Atadhuruka.. na kuathiri ukuaji wake?
Fraico Member Joined Nov 7, 2017 Posts 8 Reaction score 4 Nov 30, 2024 #2 Inasemekana hvyo lkn ngoja tusubur wataalam watuambie
M malembeka18 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2018 Posts 3,266 Reaction score 3,698 Dec 1, 2024 #3 Hatar mkuu
Mpaji Mungu JF-Expert Member Joined Apr 24, 2023 Posts 13,544 Reaction score 43,537 Dec 1, 2024 #4 Naweka Kambi hapa
A asili pona yako Member Joined Nov 12, 2024 Posts 9 Reaction score 8 Dec 2, 2024 #5 Kwa mwanaume haina madhara kwa sababu yeye hawezi kuja na zile shahawa za mtu mwingine na hawezi kumnyonyesha mtoto ispokuwa mama akifanya hivyo kumbuka mama yeye anapokea mbegu na kuja nazo alafu anamnyonyesha mtoto shida ndio iko hapo
Kwa mwanaume haina madhara kwa sababu yeye hawezi kuja na zile shahawa za mtu mwingine na hawezi kumnyonyesha mtoto ispokuwa mama akifanya hivyo kumbuka mama yeye anapokea mbegu na kuja nazo alafu anamnyonyesha mtoto shida ndio iko hapo