Madhara gani kwa mtoto baba akitembea na mwanamke mwingine?

Sagatinho

New Member
Joined
Jul 26, 2022
Posts
4
Reaction score
2
Ivi nikweli ukitembwa na mwanamke mwingine huruhusiwi kusika mwanao kwamba Atadhuruka.. na kuathiri ukuaji wake?
 
Inasemekana hvyo lkn ngoja tusubur wataalam watuambie
 
Kwa mwanaume haina madhara kwa sababu yeye hawezi kuja na zile shahawa za mtu mwingine na hawezi kumnyonyesha mtoto ispokuwa mama akifanya hivyo kumbuka mama yeye anapokea mbegu na kuja nazo alafu anamnyonyesha mtoto shida ndio iko hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…