Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Wewe ungekuwa ndio Mume halafu anakuja Mwanaume mwingine (Boya) anamwambia Mkeo ana macho mazuri....ungenyamaza na kukenua tu sio?🤣🤣🤣🤣jamaa atakuwa alimwaribia kabisa siku yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ungekuwa ndio Mume halafu anakuja Mwanaume mwingine (Boya) anamwambia Mkeo ana macho mazuri....ungenyamaza na kukenua tu sio?🤣🤣🤣🤣jamaa atakuwa alimwaribia kabisa siku yake
Mimi ningekuwaje mume sasa?mifano mingine jau sanaWewe ungekuwa ndio Mume halafu anakuja Mwanaume mwingine (Boya) anamwambia Mkeo ana macho mazuri....ungenyamaza na kukenua tu sio?
Tupo wote hadi leo....na watoto kibao🤣Hahaha natumaini bado mko pamoja