Madhara jumuishi kuwa na mahusiano sehemu za kazi.. Ofisi moja

Madhara jumuishi kuwa na mahusiano sehemu za kazi.. Ofisi moja

Mwenye kujua lini mtu anaondoka Duniani ni Mungu pekee
Hamna kitu kama hicho.
Wee mungu kashakupa manual ya huu mwili wako sasa fuata maelekezo u will live long, nenda kinyume basi maisha utayafupisha.

So mie nilishachezea maisha yangu consequences lazima nizipate.
Nitasali na kukesha kanisani kuomba msamaa kwa uzinzi mungu ata nisame lakini kamwe hatatoa madhara ya uzinzi niliyoyapata. Hilo lazima nikabiliane nalo.
 
Licha ya kutofika malengo, Kuna magonjwa ya zinaa, nuksi na mikosi pia.

Lakini pia una weka usalama wako mashakani, kwani hao wateja wengi Wana weza kuwa wake au wachumba za watu.
Uki shikwa Wana kufanya mfano.

Halafu uta dinya wangapi??, ni ushamba tu wa vijana
Mikosi ipi mkuu
 
Hamna kitu kama hicho.
Wee mungu kashakupa manual ya huu mwili wako sasa fuata maelekezo u will live long, nenda kinyume basi maisha utayafupisha.

So mie nilishachezea maisha yangu consequences lazima nizipate.
Nitasali na kukesha kanisani kuomba msamaa kwa uzinzi mungu ata nisame lakini kamwe hatatoa madhara ya uzinzi niliyoyapata. Hilo lazima nikabiliane nalo.
Ishi Kwa Imani Mkuu
 
Ukifatilia vizuri Mahusiano kazini ni jambo ambalo ni Unkwepable.. kazini kuna vishawishi sana utakaza weee ila mara paap kaja Intern, hujakaa sawa kaja mtoto wa Field, khee umekaza wee kaja Secretary mpya... umekaza Moyo imekuja Pisi ya Bank kuomba kufanya Gazebo hapo.. haya umepindua imekuja Pisi kuulizia kazi hata ya kujitolea tu na anakulazimisha umpe namba...😒
😀😀😀😀
 
Mockery kivipi i ream am 46 boss.
Hii mambo ya kupenda mbususu ninmatokeo ya mie kuanza chakata mbushsu very late...mbususu mie kwa mara ya kwanza kuinjo i was 25.
Sasa mwanangu wewe upo kama mimi Yani 🤣mimi mwnyw nimeanza kula mademu wakali when I was 21 sahivi napenda sana videmu vidogo vidogo
 
Ina Compromise ability yako ya Kufanya Decisions
Sasa kwani wee maamuzi unafanya kwa hisia ay unatumia akili.
Mwanawane wee kama kuna mbususu unaipenda hapo ofisi igegede tuu. Maamuzi utafanya kwa akili yako. Mwanamke anafuata uongozi wa mwanaume, hataki piga chini chukuwa yule anayeendana na standards zako.

Wanaume ndio viongozi. Wanawake lao ni kufuata basi.
 
Ukifatilia vizuri Mahusiano kazini ni jambo ambalo ni Unkwepable.. kazini kuna vishawishi sana utakaza weee ila mara paap kaja Intern, hujakaa sawa kaja mtoto wa Field, khee umekaza wee kaja Secretary mpya... umekaza Moyo imekuja Pisi ya Bank kuomba kufanya Gazebo hapo.. haya umepindua imekuja Pisi kuulizia kazi hata ya kujitolea tu na anakulazimisha umpe namba...😒
Wanaume wa kupiga blaa blaa makazini ili ifike mwisho wa mwezi ndio wana nafasi ya kufikiria sijui ma intern, sijui field nk nk.
Huwezi kuta mwanamme yupo serious kufikia malengo (target) ya kampuni anamawazo ya kipuuzi puuzi ya kuwazia wasichana wanaoingia maofisini kuomba kazi nk nk...
Na ndio sababu mashirika ya Umma yanafirisika kila siku kwa kuwa na watu wenye mawazo kama haya huko maofisini...
 
Faith is assured exoectancy of things hoped for, the evident demonstration of realities though not beheld
Ishi humo Mkuu, hakuna haja ya kukata tamaa

Pamoja na changamoto tunazozipitia, usiache kusali ili Mungu asimame kama guard kukulinda dhidi ya mengi yatishiayo Uhai na uzima wetu
 
1737043940949.jpg
 
Kwenye ukoo wetu upande wa wajomba, wamesha sema ni marufuku kuoa mtumishi.

maana ni sawa na kuwa na jipu la makalio, lita kupasukia mda wowote.

Wana wake wote wengi ni wasimamizi wa shughuli za familia.
Mhakikishe na mabinti zenu hawaajiri popote, maana nani atawaoa wakiwa watumishi, tena ikiwezekana mabinti wa ukoo wenu wote wasipelekwe shule ili waje kuwa wake bora.....
 
Mhakikishe na mabinti zenu hawaajiri popote, maana nani atawaoa wakiwa watumishi, tena ikiwezekana mabinti wa ukoo wenu wote wasipelekwe shule ili waje kuwa wake bora.....
Kwani shule na ndoa vina husiana nini??, maana lengo la kuoa asiye mtumishi ni sababu binafsi.

Beside wako wengi walio Soma, ila wali acha na kuolewa.
 
Hamna kitu kama hicho.
Wee mungu kashakupa manual ya huu mwili wako sasa fuata maelekezo u will live long, nenda kinyume basi maisha utayafupisha.

So mie nilishachezea maisha yangu consequences lazima nizipate.
Nitasali na kukesha kanisani kuomba msamaa kwa uzinzi mungu ata nisame lakini kamwe hatatoa madhara ya uzinzi niliyoyapata. Hilo lazima nikabiliane nalo.
Duh! Pole sana mkuu.
 
Back
Top Bottom