Azarel JF-Expert Member Joined Aug 25, 2016 Posts 28,916 Reaction score 40,479 Jan 19, 2025 #201 Joannah said: 🤣🤣🤣🤣jamaa atakuwa alimwaribia kabisa siku yake Click to expand... Wewe ungekuwa ndio Mume halafu anakuja Mwanaume mwingine (Boya) anamwambia Mkeo ana macho mazuri....ungenyamaza na kukenua tu sio?
Joannah said: 🤣🤣🤣🤣jamaa atakuwa alimwaribia kabisa siku yake Click to expand... Wewe ungekuwa ndio Mume halafu anakuja Mwanaume mwingine (Boya) anamwambia Mkeo ana macho mazuri....ungenyamaza na kukenua tu sio?
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 20,921 Reaction score 49,014 Jan 19, 2025 #202 Azarel said: Wewe ungekuwa ndio Mume halafu anakuja Mwanaume mwingine (Boya) anamwambia Mkeo ana macho mazuri....ungenyamaza na kukenua tu sio? Click to expand... Mimi ningekuwaje mume sasa?mifano mingine jau sana
Azarel said: Wewe ungekuwa ndio Mume halafu anakuja Mwanaume mwingine (Boya) anamwambia Mkeo ana macho mazuri....ungenyamaza na kukenua tu sio? Click to expand... Mimi ningekuwaje mume sasa?mifano mingine jau sana
M Mamy K JF-Expert Member Joined Apr 30, 2017 Posts 3,154 Reaction score 11,082 Jan 19, 2025 #203 Bailly5 said: Hahaha natumaini bado mko pamoja Click to expand... Tupo wote hadi leo....na watoto kibao🤣
Bailly5 said: Hahaha natumaini bado mko pamoja Click to expand... Tupo wote hadi leo....na watoto kibao🤣