AiseeMmh! nilichanjwa chinibya kitovu kidogo tuh!
Ofisin kazi zilikuwa zinaenda tuh!
MaSemina yakutosha sana hata Majuz nilikuwa Dom Semina ya wiki mbili.
Kiufupi mambo yamenyooka ila sasa tatizo lake hii chale ina tia Hamu kweli.... Na Mr kasafir leo kwenda Dom Semina ya Afya wiki 3.
Nipo home tuh hapa DAR nimepooza hataree.
Mtoto mzuri kama ww unaenda kujitoa kafara na machale ya kiganga ??Mmh! nilichanjwa chinibya kitovu kidogo tuh!
Ofisin kazi zilikuwa zinaenda tuh!
MaSemina yakutosha sana hata Majuz nilikuwa Dom Semina ya wiki mbili.
Kiufupi mambo yamenyooka ila sasa tatizo lake hii chale ina tia Hamu kweli.... Na Mr kasafir leo kwenda Dom Semina ya Afya wiki 3.
Nipo home tuh hapa DAR nimepooza hataree.
Jibu sio unaharishaUkifika kwa mchanjaji muulize Do's /Dont"s
Atakupa zote mpaka na siku ya ku-Re-new
There is a price to pay to make the changes you want in life.
And there is also a price you are already paying for staying the way you are.
Toa location au njoo locationMmh! nilichanjwa chinibya kitovu kidogo tuh!
Ofisin kazi zilikuwa zinaenda tuh!
MaSemina yakutosha sana hata Majuz nilikuwa Dom Semina ya wiki mbili.
Kiufupi mambo yamenyooka ila sasa tatizo lake hii chale ina tia Hamu kweli.... Na Mr kasafir leo kwenda Dom Semina ya Afya wiki 3.
Nipo home tuh hapa DAR nimepooza hataree.
Kwahiyo una hamu ya kupelekewa moto
Inategemea lakini maranyingi ni mwaka hadi mwakaKipindi gani mkuu miezi,siku ama miaka na VP kuhusu madhara
PoapoaMshana ntakutafuta kuna issue nataka tufanye kama hautojali
Yaani kila mwaka apigwe chaleInategemea lakini maranyingi ni mwaka hadi mwaka
Unazungumzia kiumjumra kwakila chale au baadhi tuu??Hilo ni agano la damu...itabidi kila baada ya kipindi fulani ufanye renewal
Wanapewa mashetwain nadhani eti halafu wao wanaifanyia nini hiyo damuKimsingi wanalenga kutoa damu.Ile damu unaiona kidogo sikweli damu ni nyingi wanapewa viumbe ucowaona.
Mkuu hiv njiti ya kberit ina maajabu gan .....kuna mzee nlikua namsaidia hiz kaz alikuwa akichanja mtu anawasha kberiti then anachukua ule unga mweusi wa kiberit ulioungua af ana mix na zaga lingine leusi ........then anapaka kwenye chaleSahihi kabisa ila moja ni kiroho nyingine ni kimwili
Usipopigwa basi achinjwe mnyama upakwe damu yake ama utoe kafaraYaani kila mwaka apigwe chale
Hii hata mimi nilishawahi kuishuhudia aiseeMkuu hiv njiti ya kberit ina maajabu gan .....kuna mzee nlikua namsaidia hiz kaz alikuwa akichanja mtu anawasha kberiti then anachukua ule unga mweusi wa kiberit ulioungua af ana mix na zaga lingine leusi ........then anapaka kwenye chale