Madhara ya chale za waganga wa jadi ni yapi?

Madhara ya chale za waganga wa jadi ni yapi?

Ni kama chanjo ya uviko tu, unawekewa mRNA(signature) ya kiroho ambayo wazee wa giza watakua wanaitumia kuku identify kuwa ni wao
 
Kwa wanaoelewa madhara ya sasa ama baadae ya haya machale ya waganga wa jadi tafadhali tuwekee humu jamvini ili watu wafanye maamuzi magumu maana wivu mtaani umekuwa sugu
Ni Agano la Damu, Damu Ni uhai unapochanja chale kwa mganga unaacha damu yako kule pia unaacha uhai Au maisha yako kule.
Damu yako inakuwa ipo kuzimu wakitaka kukuua wanakuua kwa haraka.
wakati unachanjwa damu inapotoka kuna maneno anatamuka anawaita mashetani, pepo mizimu .
 
Hiyo Michale huwa inawaka pepo kama lina safari zake likiona muwako wa chale lazima liwe interested na huo muwako unatokea wapi likiufuatilia linafika mpaka kwako.Chale ni miongoni mwa milango ya kuingiwa na mapepo.
 
Hiyo Michale huwa inawaka pepo kama lina safari zake likiona muwako wa chale lazima liwe interested na huo muwako unatokea wapi likiufuatilia linafika mpaka kwako.Chale ni miongoni mwa milango ya kuingiwa na mapepo.
 
Mmh! nilichanjwa chinibya kitovu kidogo tuh!
Ofisin kazi zilikuwa zinaenda tuh!
MaSemina yakutosha sana hata Majuz nilikuwa Dom Semina ya wiki mbili.
Kiufupi mambo yamenyooka ila sasa tatizo lake hii chale ina tia Hamu kweli.... Na Mr kasafir leo kwenda Dom Semina ya Afya wiki 3.
Nipo home tuh hapa DAR nimepooza hataree.
Makubwa hayaaa!
 
Back
Top Bottom