Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mvuto, ......protection etcWanachanja za kazi gani hao wa kike?
Mshana Jr.....Duh inapatikana wapi?
Chanjo zilishapitwa na wakati mkuu.siku hizi Kuna New Version..pia nikali mara Tano ya chanjo[emoji124]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni Agano la Damu, Damu Ni uhai unapochanja chale kwa mganga unaacha damu yako kule pia unaacha uhai Au maisha yako kule.Kwa wanaoelewa madhara ya sasa ama baadae ya haya machale ya waganga wa jadi tafadhali tuwekee humu jamvini ili watu wafanye maamuzi magumu maana wivu mtaani umekuwa sugu
Makubwa hayaaa!Mmh! nilichanjwa chinibya kitovu kidogo tuh!
Ofisin kazi zilikuwa zinaenda tuh!
MaSemina yakutosha sana hata Majuz nilikuwa Dom Semina ya wiki mbili.
Kiufupi mambo yamenyooka ila sasa tatizo lake hii chale ina tia Hamu kweli.... Na Mr kasafir leo kwenda Dom Semina ya Afya wiki 3.
Nipo home tuh hapa DAR nimepooza hataree.