n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
😀 😀 😀 Hao wazuri ndio wana michale mpaka kwenye ulimi haoMtoto mzuri kama ww unaenda kujitoa kafara na machale ya kiganga ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 😀 😀 Hao wazuri ndio wana michale mpaka kwenye ulimi haoMtoto mzuri kama ww unaenda kujitoa kafara na machale ya kiganga ??
Ifanyie investigation mkuu ....tujue kuna madini gan coz mzee aliondoka nlisahau kumuulizaHii hata mimi nilishawahi kuishuhudia aisee
Kuna mwenzako nilimsikia yeye zipo hadi kwenye tako.Hamna madhara mkuu......mm nimepiga had kwny
.....ulimi
Kama huu hapa?[emoji116] Utotoni tulikuwa tunaita 'sinzia mchawi'Ifanyie investigation mkuu ....tujue kuna madini gan coz mzee aliondoka nlisahau kumuuliza
Pia alikuwa anatumia mimea flan hiv midogo sana ...ambayo ikiguswa tu inaanza kusinyaa then itajikunja
Ina maana mpaka na watoto wako wanakuwa na hayo machale kwenye damu zaomist madhara yake ni kwamba uchawi wa njia ya chale ni mbaya sababu huwa unaingia kwenye damu na huenea mpka kwenye kizazi chako
2,alama zake baadhi ya wachnjaji huwa hazifutiki maisha
i mean laana hyo hutokea sana endapo kama mganga amekula rushwa kutoka kwa wachawi kwa ajili yako au kama una nyota nzuri hivyo anavuruga kwako wanao mpaka wajukuu mpka mkija kustuka mmekwishaIna maana mpaka na watoto wako wanakuwa na hayo machale kwenye damu zao
Kweli shetani fundi
Madhara kwa mademu wenye chale nikikutongoza halafu tukifika faragha nikukute una chale jua tukiagana ndio baibai maana najua wewe ni mshirikina tuKwa wanaoelewa madhara ya sasa ama baadae ya haya machale ya waganga wa jadi tafadhali tuwekee humu jamvini ili watu wafanye maamuzi magumu maana wivu mtaani umekuwa sugu
Hayajawakuta [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mnao beza chale na mambo mengine ya kiasili,.PENGINE HAMJAWAHI PATWA MAJANGA,asifiae mvua imemnyea
Kwa Taarifa yako tu mkuuMadhara kwa mademu wenye chale nikikutongoza halafu tukifika faragha nikukute una chale jua tukiagana ndio baibai maana najua wewe ni mshirikina tu
Wakike itakuaKuna mwenzako nilimsikia yeye zipo hadi kwenye tako.
Sijui mchanjaji na mchanjwaji(mteja & mganga) walikuwa wanatafuta nini?
Yaaah mkuu ....hyo ni dhahabu kubwa kwa watu wa upande wa pili[emoji23][emoji23]Kama huu hapa?[emoji116] Utotoni tulikuwa tunaita 'sinzia mchawi'
Kitaalamu inaitwa Mimosa pudicaView attachment 1897188
Wanachanja za kazi gani hao wa kike?Wakike itakua
Duh, sikuwa najua kabisa. Hebu nimegee kipande kidogo nifungue akili.Yaaah mkuu ....hyo ni dhahabu kubwa kwa watu wa upande wa pili[emoji23][emoji23]
Labda kama pisi ni mbovu ila kama ni pisi ya maana utaifuata mwenyewe kama mbwa anavyojisalimisha kwa chatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nikiona pisi ina chale naikwepa kama nimeona chatu.
Duh inapatikana wapi?Yaaah mkuu kwa kinyakyusa wanasema (kiingira).....unakua more respected ....umewahi ona mnakua sehemu mnapga story gafla anakuja mtu ...anateka attention yenu automatically.....