Madhara ya chale za waganga wa jadi ni yapi?

Madhara ya chale za waganga wa jadi ni yapi?

Madem wengi wa mjini ukiwacheki vizuri
Utawakuta na nchale mwilini

Ova
 
Ifanyie investigation mkuu ....tujue kuna madini gan coz mzee aliondoka nlisahau kumuuliza




Pia alikuwa anatumia mimea flan hiv midogo sana ...ambayo ikiguswa tu inaanza kusinyaa then itajikunja
Kama huu hapa?[emoji116] Utotoni tulikuwa tunaita 'sinzia mchawi'
Kitaalamu inaitwa Mimosa pudica
Mimosa_pudica.jpg
 
mist madhara yake ni kwamba uchawi wa njia ya chale ni mbaya sababu huwa unaingia kwenye damu na huenea mpka kwenye kizazi chako

2,alama zake baadhi ya wachnjaji huwa hazifutiki maisha
 
mist madhara yake ni kwamba uchawi wa njia ya chale ni mbaya sababu huwa unaingia kwenye damu na huenea mpka kwenye kizazi chako

2,alama zake baadhi ya wachnjaji huwa hazifutiki maisha
Ina maana mpaka na watoto wako wanakuwa na hayo machale kwenye damu zao

Kweli shetani fundi
 
Ina maana mpaka na watoto wako wanakuwa na hayo machale kwenye damu zao

Kweli shetani fundi
i mean laana hyo hutokea sana endapo kama mganga amekula rushwa kutoka kwa wachawi kwa ajili yako au kama una nyota nzuri hivyo anavuruga kwako wanao mpaka wajukuu mpka mkija kustuka mmekwisha
 
Kwa wanaoelewa madhara ya sasa ama baadae ya haya machale ya waganga wa jadi tafadhali tuwekee humu jamvini ili watu wafanye maamuzi magumu maana wivu mtaani umekuwa sugu
Madhara kwa mademu wenye chale nikikutongoza halafu tukifika faragha nikukute una chale jua tukiagana ndio baibai maana najua wewe ni mshirikina tu
 
Mnao beza chale na mambo mengine ya kiasili,.PENGINE HAMJAWAHI PATWA MAJANGA,asifiae mvua imemnyea
Hayajawakuta [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Madhara kwa mademu wenye chale nikikutongoza halafu tukifika faragha nikukute una chale jua tukiagana ndio baibai maana najua wewe ni mshirikina tu
Kwa Taarifa yako tu mkuu
kuna watu wzmachanja chale ma hazionekani labda kama una macho
yasio kawaida
Tena ni heri yao watu wasio na dini wapo wapo tu, ila hawa wanaojazana makanisani kuna mambo yamewashinda kwa waganga wameona warudi tu njia kuu.
 
Hakuna madhara nakumbuka mara yangu ya kwanza nilichanjwa 2016. Mpaka leo hamna madhara. Nilichanjia mademu Hadid leo mpaka nawakimbia mwenyewe eti
 
Back
Top Bottom