Madhara ya dhambi ya uzinzi

Madhara ya dhambi ya uzinzi

kama maana ndio hio basi uzinzi upo sana sanaa utaendelea kuwepo sanaa tena watumishi makanisani ndio wanauchochea maana wengi wao(sio wote) ni wazinzi hatari
...
kingine hata wewe,mimi na yule tunazini sana moyo soma Mathayo 5:27
Mmesikia usizini lakini mimi nawaambieni yeye amtazamaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini nae moyoni mwake
...
Mwenyezi MUNGU atusamehe sana rehema yake ituponye na hukumu iliyo mbele yetu AMEN
hilo ndo jambo la msingi na ndio maana Yesu alikuja ili kuhubiri toba na ondoleo la dhambi kila iitwapo leo inatupasa tutubu na kuungama dhambi zetu
 
uzinzi ni pale unapofanya mapenzi kabla ya ndoa, uasherati ni pale unapofanya mapenzi nje ya ndoa yaani umeoa ndoa ya kanisani lakini unafanya mapenzi na mtu ambaye sio mkeo au mmeo
Kwa hiyo kama haujaoa ndoa ya kanisani hakuna shida?
 
Karibu Mkuu
😭.. I know kuna mmoja alifia dhambi ( pekee mwenye uwezo dhidi ya dhambi ) wengine wote anatuwwzesha dhidi ya dhambi zinazo tutesa.. kati yetu hakuna alie ifia dhambi, ila tunawezesha kushinda dhambi tunapotii.. eeh?

Sema uasherati 🤐🤐🤐
Kazi sana.
 
Yesu Kristo alikufa kwa ajili gani?
 
😭.. I know kuna mmoja alifia dhambi ( pekee mwenye uwezo dhidi ya dhambi ) wengine wote anatuwwzesha dhidi ya dhambi zinazo tutesa.. kati yetu hakuna alie ifia dhambi, ila tunawezesha kushinda dhambi tunapotii.. eeh?

Sema uasherati 🤐🤐🤐
Kazi sana.
umeongea vyema sana mkuu,
uzinzi na uasherati unaweza ushinda kwa namna nyingi
kwanza kubali kuwa ni kosa,
jiepushe na pombe, jiepushe na miziki ya kidunia, movies na tamthiliya , mitandao isiyo ya kimaadili kama tik tok na instgram, fanya mazoezi, jaribu kuchuja aina ya taarifa ambazo unazipokea,epuka vyakula vya wanga, fanya mazoezi na zaidi concentrate katika kujifunza stadi mpya ambazo zitakuingizia kipato yote kwa yote zingatia ibada
 
kuna shida kanisa ni balozi wa Mungu duniani, ameteuliwa na Mungu kupeleka injili , hivyo ni lazima ndoa iunganishwe kanisani, ili itambulike mbinguni
Lini Mungu aliteua kanisa ? Kila mtu anajua kanisa Africa ulikua mpango kabambe wakuja kama kitangulizi cha wakoloni kwa ajili ya kutunyonya yaani wamisionari wa kikoloni . Wewe unavyosema mpango wa Mungu kivip na Mungu yupi na lini na ulijuaje?
 
Back
Top Bottom