Madhara ya dhambi ya uzinzi

Eleza kwa kirefu
 
Una hoja
 
Kumbe
 
Vipi sadaka za mtu alie zaliwa kwa hicho mnachokiita uzinzi mnachukua?
Non sense Questions...
Kuzaliwa uzinzin ni kosa la Alie zaliwa au alie zalisha na kuzalishwa.??
Ni kwa vip Sadaka yake isikubalike kwa kosa ambalo akulifanya yeye..??
 
Samahani mtumishi nje ya mada kdoogo,,,,inatakiwa tubatizwe kwa maji kidogo au mengi?,na tukiwa wakubwa au wadogo?,au muhimu ubatizwe tu?.
 
Non sense Questions...
Kuzaliwa uzinzin ni kosa la Alie zaliwa au alie zalisha na kuzalishwa.??
Ni kwa vip Sadaka yake isikubalike kwa kosa ambalo akulifanya yeye..??
Hakukua na sababu ya kujibu kama ni non sense questions. Nyie sio ndio mnasema kupata watoto ni mapenzi ya Mungu kosa lipo wapi huyo Mungu akitengeneza hao watoto kwa njia ya uzinzi?
 
Ubarikiwe sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…