Madhara ya kuangalia Picha/Video za Ngono kwa Wanaume na Wanawake

Inategemea NTU na NTU Mkuu.
 
Wanawake wanapenda balaa ila ajabu sku ujifanye unataka ku watch nae porn utamuona Kama vile anaona kinyaa....Binadam kiumbe wa ajabu sana na Ni Zaid ya mnyama wa porin hasa pale akiwa ndani peke yake


Umejuaje mkuu?
 
Swali la kujiuliza: hizi porn wanatengenezewa kina nani (jinsia)? Kwa ajili gani? Kama inawalipa wachezaji, wanaonunua wananufaika vp?

Huenda hayo madhara tunayoyaongelea kwa wanawake na wanaume ndo lengo hasa la porn kuwepo.
 
Kwa kweli kuna shetani kule anakuvuta ukiangalia moja utataka na ya pili..mimi nimejaribu kuacha kuangalia, saa nyingine naweza kukaa hata wiki mbili baadae narudi tu dhambini [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Next time I'll have to be "next to you" Becky...[emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…