Madhara ya kuangalia Picha/Video za Ngono kwa Wanaume na Wanawake

Madhara ya kuangalia Picha/Video za Ngono kwa Wanaume na Wanawake

Halafu nyeto ukimaliza kupiga unajutia na unajisemea leo ndio mara ya mwisho sipigi tena na porn zote unafuta baada ya muda ushasahau unazi download upyaaa unagonga tena nyeto hila ushauri wa kutumia nokia ya tochi nnadhani ndio muhimu hz smartphone huachi ng'oooo.
 
Hudhuria mikutano ya injilli mara kwa mara na maombezi kwenye makanisa ya kiroho utaacha huyo ni pepo.
 
Mimi naona haujaamua tu kuacha. Kama ukidelete video zote ulzonazo au kama ni cd kuzitupa zote, inamaana hautakua na vtu vyakuangalia.
It begins with u.
 
hebu amua sasa, kwanza toa huo uchafu wote ndani....
 
Hello Vish tatizo lako ni la kiroho zaidi hata upambane kimwili hutaweza kama hutalishughulikia Kiroho. Jua kwamba ulimwengu wa Roho una nguvu sana kuliko ulimwengu wa Mwili.
 
Jaribu kuwa busy muda wote pia fanya mazoez kwa muda wako wa ziada!


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
madhara yapo ikiwa unaangalia halafu huna wa kukutuliza munkari mizuka ikipanda, lakini kama unaye mi naona kamshange tu
 
Madhara Ya Kuangalia Video Za Ngono Na Jinsi Ya Kuacha Madhara Ya Kuangalia Video Za Ngono Na Jinsi Ya Kuacha - MUUNGWANA BLOG
 
Katika pitapita zangu katika mitandao na baadhi ya kazi zangu mtandaoni, nilikumbana na hili chapisho ambalo niliingiwa na hamu ya kuliweka hapa ili kuwajulisha umuhimu wa kufanya mapenzi na mpenzi wako. Chapisho lenyewe hili hapa:
"Tendo La Ngono Litakufanya Uwe Mjanja, Utafiti Waonyesha
Kuna watu watatetea kuwa tendo la ngono ni kama baraka kutoka kwa Mungu, ni dawa ambayo haijawahi kutokea kamwe. Inasemekana kuwa ngono hupunguza mawazo(stress), depression, husaidia kuchoma kaloria mwilini na pia huwa ni furaha kwa wawili wanaopendana. Kuongezea mambo haya yote imebainika kuwa ngono inafanya mtu kuwa mjanja/mwerevu.
Utafiti huu ulifanywa katika familia ya panya na imeibuka kuwa ngono imewafanya kuwa wajanja, na kwa sababu tuna uhusiano wa karibu na familia ya panya, utafiti huo pia unafanya kazi kwa binadamu.
Kulingana na utafiti uliofanywa na wanasayansi tofauti kutoka chuo kikuu cha Maryland na Konkuk, Seoul nchini N. Korea, imeonekana kuwa panya hao wameongezeka kipawa cha kufikiria na pia jambo hilo limeongeza 'neurogenesis' (ongezeko la neurons kwa ubongo)
Utafiti umeonyesha kuwa sehemu inayofaidi zaidi kwa tendo la ngono ni sehemu iitwayo 'hippocampus', sehemu inayoweka matukio ya zamani ya kiumbe. Sehemu hii hukuwa na kunawiri.
Kiufupi tunaweza kusema kuwa matendo ya ngono unayoyafurahia ukiwa miaka ya 30 na 40 itasaidia kuongezea mawazo ya matendo ya ngono uliyoyachukia wakati wa miaka ya 20.
Lakini katika utafiti huo kuna mambo ambayo hayakuwa sawa, kuna sehemu fulani ya ubongo ambayo ukuaji wake ulikuwa duni, nayo ni 'ngono ya uongo'. Ngono ya uongo ni kama kuangalia ilamu za pornography kupindukia. Utafiti unaendelea kusema kuwa matukio yote yaliyowekwa kwa kufanya tendo la ngono yatafutika baada ya kuangalia filamu za ngono mno.
Huu ni utafiti sahihi kwani kuna ule msemo kuwa kuangalia filamu za ngono kuna haribu akili, kunakufanya usahau mengi. Kwa hivyo kuangalia porno nyingi kunakufanya uwe na mawazo duni." -FoxNews
Hebu sasa turudi kwa Nesi Mapenzi kidogo. Ok hivi wewe mara ya mwisho ulifanya mapenzi lini? Na ni lini mwisho uliangalia filamu za ngono?
Ni mara ngapi ulifanya mapenzi na ni mara ngapi ulishaangalia filamu za ngono? Iwapo kuangalia filamu za ngono imepita ile ya kufanya mapenzi basi uko katika tatizo kubwa, tatizo la kupoteza uwezo wako wa kukumbuka mambo siku zako za usoni.
Na kwa kutatua hili tatizo unachukua mkondo upi? Je unachagua kutulia kuacha kuangalia filamu za ngono ama utaamua kuongeza kufanya mapenzi ili kuongeza ushapu wako kimaisha?
Na kama umeamua kufanya mapenzi kwa wingi, je una mpenzi wa hakika ama ni mpenzi wa kuotea, kesho anakupa kesho kutwa anakunyima?
Ok, kwa kutatua na kukusaidia kukupa mawazo...
Kwa wale ambao tayari wako na wapenzi thabiti (Wanaume Alpha) na wako tayari kufanya mapenzi kila siku ili kukuza bongo zao bila kuchoka wala kuboeka ingieni hapa.
Kuna wale ambao wana wapenzi wa kuotea, wale ambao hawana wapenzi kabisaaa, na kila wakijaribu kutongoza wanashindwa, wanabakiwa kuenda majumbani mwao na kujifungia chumbani huku wakiangalia filamu za ngono na wakipiga punyeto. Kama unaamini kuwa wewe hauko miongoni mwa hili kundi ingia hapa.
Ok. Kazi kwako. Ni wewe wa kuchagua iwapo utaamua kuendelea kuharibu akili yako ama kuikuza akili yako ili upate ujuzi wa kijasiriamali maishani.
 
Asante mkuu!

Wengine filamu za ngono hazitustui kabisa!!! Ni kwamba tumeathirika kupitiliza ama? Yaani nikiangalia ni kama naangalia katuni tu za Nickelodeon.
Labda zike za Naked otters [emoji85][emoji85][emoji85]

Mbona kuna Uzi uko wana sema mnapenda zile za gays
 
Back
Top Bottom