Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Asante kunirahishishiaKusema tumemsikia maana yake tunafuata alichosema.
Binafsi sina hata dalili ya kuacha.
Kwanza nilikuwa sijui zinapatikana wapi , asante kwa VidMate wametusogezea karibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kunirahishishiaKusema tumemsikia maana yake tunafuata alichosema.
Binafsi sina hata dalili ya kuacha.
Kwanza nilikuwa sijui zinapatikana wapi , asante kwa VidMate wametusogezea karibu.
Njoo pm nikupeKama kuna mpya mpya zimetoka wekeni link.
Kuturidhisha laivu mmeshindwa hata kuangalia wanaoridhishwa napo hamtaki,,, pyeeeeee
Mkuu unataka kunambia unaokutana nao wanakugegeda kama unachokiona kwenye porn?Ushawahi kuwa mwanamke kwani,, hadi useme imagination hubaki vichwani mwetu!!!
Acha kujitungia uongo mkuu, kila mtu anazo sababu zake zinazopelekea kuangalia porn,, Kama Ni madhara yapo kwa jinsia zote,, ishu iko kisaikolojia sio kijinsia,, tusipotoshane
We mama we..[emoji85]Kama kuna mpya mpya zimetoka wekeni link.
Unalijua lengo la Mimi kuangalia porn? Unatakiwa ujue hatuna malengo yanayofananamkuu unataka kunambia unaokutana nao wanakugegeda kama unachokiona kwenye porn?
Kama hutojali nambie huangalia kwa lengo ganiUnalijua lengo la Mimi kuangalia porn? Unatakiwa ujue hatuna malengo yanayofanana
HahahaNani kasema tumesikia?
Usituongelee.
Kupata maujuzikama hutojali nambie huangalia kwa lengo gani
Je hujawahi tamani kufanywa kama ulivyoona kwenye porn?Kupata maujuzi
Ndio kaangalie mwaya, hazili hata bando.
Tena unadownload moja kwa moja.
Binafsi nasemaje,
"Too much for anything bis harmful"
Nishawahi kudate na dada mmoja hivi., Yaani yeye akishika simu yangu tu, mpe dakika 5 yupo kwenye 'porn sites' na kunako mambo ndo kabisaaa. (Hopefully, she ain't reading this article)
I loved her hata hivyo.
Sijawahi ndo maana nakushangaaje hujawahi tamani kufanywa kama ulivyoona kwenye porn?
Umejibu vizuri japo hujamaanisha uhalisiaSijawahi ndo maana nakushangaa
Kwa kweli kuna shetani kule anakuvuta ukiangalia moja utataka na ya pili..mimi nimejaribu kuacha kuangalia, saa nyingine naweza kukaa hata wiki mbili baadae narudi tu dhambini 🤣 🤣 🤣