Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Wasabato mna kazi sana!

Unachanganya imani na vitisho vya magonjwa kama vile wote wauguao magonjwa hayo wamekula kitimoto!?? Angalia tafiti ujue ukweli! ...na ukweli utawaweka huru..!

Imeandikwa, "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.." Sijui kifungu!
Utafiti?
 
Last edited by a moderator:
e
Haramu kwako si lazima iwe haramu kwa kila mtu...kumbuka hata mkeo(kama umeoa) ni haramu kwa kaka zake ila wee unaishi nae! Wengine mnashabikia tu ila huna sababu ya kula ama kutokula!

Bado unaonesha ni jinsi gani ulivo na uchu na huyo mnyama! Umepewa sababu za kiimani na kiafya hutaki basi subiri majibu yake.
 
Ikiwa hivyo ndivyo basi kitabu chenu (Bible) kitakua kina tombesha maneno (kinaji kanganya) Maana kinaanza kukataza Nguruwe asiliwe, Kisha kina ruhusu kila mnyama naaliwe tu. Ndio maana Waislam tuna mashaka na hiyo dini yenu.

Kitabu hakikanganyi ni wanadamu ndio wanaojikanganya! Bible ikisema NO basi hiyo ni no kwanzia mwanzo mpaka mwisho! Ni wanadamu tu uelewa wetu na mapokeo yetu ndio yanayotuyumbisha!
 
Hapo mi naimani ndugu yangu umeteleza ulimi kidogo kusema biblia ime....... maneno!
Lkn ni kweli kabisa. Upande mmoja Yesu anawakataza viti moto. Pombe, uliberali Mungu hana mtoto n.k!

Upande wa pili kuna PAULO nawruhusu vyoote hivyo na ni mtu wa kwanza kumpa cheo cha uungu yesu! Na kusema Mungu ana watoto!
Ndio maana wafuasi wa Yesu walikuwa wanaitwa wayahudi na hawa wanaitwa WAKRISTO!

Kahtaan: tusiache mada husika tukaenda kwenye mambo mengine! Ulishawahi kufatilia historia ya utume wa Paul na nyalaka alizoandika kwa Hao wote aliokua akiwahubiri kwa nyakati zile na kulikua na nini na sheria gani na watu wa mataifa gani? Tukishakujua hayo basi tutayajua mafundisho ya Paul vizuri! Niseme kitu kimoja bibilia haipingani ata kidogo!
 
ukitaka kujua kama hiyo nyama ya nguruwe haifai kabisa kwa matumizi ya binadamu hebu jaribu kufanya yafuatayo kabla ya kupika
1. Chukua nyama ya nguruwe robo kilo/nusu kilo(mbichi) halafu uiweke kwenye bakuli/sufuria
2. Chukua soda aina ya coca cola kama lita moja hivi halafu iloweke hiyo nyama kwenye hiyo coca cola
3. ifunike kwa muda wa kama dakika 40 hadi saa 1 ivi halafu ifunue uangalie
4. Nyama hiyo itatoa wadudu wa chooni/funza ambao wanaonekana kwa macho haihitaji darubini.
5. baada ya hapo fanya maamuzi sahihi kama kweli unajipenda ww na familia yako

Acheni kuwa mnadanganya watu. Wewe unataja vitu ambavyo mmezhiliwa kwa ukali sana.
 
Hapo mi naimani ndugu yangu umeteleza ulimi kidogo kusema biblia ime....... maneno!
Lkn ni kweli kabisa. Upande mmoja Yesu anawakataza viti moto. Pombe, uliberali Mungu hana mtoto n.k!

Upande wa pili kuna PAULO nawruhusu vyoote hivyo na ni mtu wa kwanza kumpa cheo cha uungu yesu! Na kusema Mungu ana watoto!
Ndio maana wafuasi wa Yesu walikuwa wanaitwa wayahudi na hawa wanaitwa WAKRISTO!

'like'
 
[h=2]
icon1.png
Re: Athari ya nyama ya KITIMOTO kiimani na kiafya[/h]

quote_icon.png
By Kitoabu




Ikiwa hivyo ndivyo basi kitabu chenu (Bible) kitakua kina tombesha maneno (kinaji kanganya) Maana kinaanza kukataza Nguruwe asiliwe, Kisha kina ruhusu kila mnyama naaliwe tu. Ndio maana Waislam tuna mashaka na hiyo dini yenu.
Kitabu hakikanganyi ni wanadamu ndio wanaojikanganya! Bible ikisema NO basi hiyo ni no kwanzia mwanzo mpaka mwisho! Ni wanadamu tu uelewa wetu na mapokeo yetu ndio yanayotuyumbisha!

Jiulize biblia ilikuwa ya nani kwaajili ya nini? Hata hiyo kuruwani ilikuwa na madhumni gani kuletwa huku? Kwani babu na bibi zetu waliokufa kabla ya vitabu hivi hawatapata uzima wa milele? Wale watu walikula hadi kitimoto poli sasa hivi tunafuga wenyewe mnalalamika yaani viko karibu na mafiga na kisu cha KUCHINJIA mnalalamika. Go to hell all colonized mind.
 
Hapo mi naimani ndugu yangu umeteleza ulimi kidogo kusema biblia ime....... maneno!
Lkn ni kweli kabisa. Upande mmoja Yesu anawakataza viti moto. Pombe, uliberali Mungu hana mtoto n.k!

Upande wa pili kuna PAULO nawruhusu vyoote hivyo na ni mtu wa kwanza kumpa cheo cha uungu yesu! Na kusema Mungu ana watoto!
Ndio maana wafuasi wa Yesu walikuwa wanaitwa wayahudi na hawa wanaitwa WAKRISTO!

'...my dear nimeku-miss sana nakumbuka last time walikupa ban asee pole ila msg delivered,welcome back'
 
Kusema jambo bila kujua ni ujinga sana

Nyie hamjui hata maandiko yanasema nini
1 Timotheo 4:1-5

1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;
2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;
3 wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli.
4 Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani;
5 kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.



Kama hujui jambo ni bora ukauliza!!!!!!!!!!!

Endeleeni kufuata mafundisho ya mashetani!

Mkuu Eiyer naomba fafanuzi ya neno Lako hili!
 
[h=2]
icon1.png
Re: Athari ya nyama ya KITIMOTO kiimani na kiafya[/h]

quote_icon.png
By Kitoabu




Ikiwa hivyo ndivyo basi kitabu chenu (Bible) kitakua kina tombesha maneno (kinaji kanganya) Maana kinaanza kukataza Nguruwe asiliwe, Kisha kina ruhusu kila mnyama naaliwe tu. Ndio maana Waislam tuna mashaka na hiyo dini yenu.

Jiulize biblia ilikuwa ya nani kwaajili ya nini? Hata hiyo kuruwani ilikuwa na madhumni gani kuletwa huku? Kwani babu na bibi zetu waliokufa kabla ya vitabu hivi hawatapata uzima wa milele? Wale watu walikula hadi kitimoto poli sasa hivi tunafuga wenyewe mnalalamika yaani viko karibu na mafiga na kisu cha KUCHINJIA mnalalamika. Go to hell all colonized mind.

Asante kwa maelezo yako mazuri nafikiri tutapata majibu hapahapa! Kua bible ililetwa kwa nani na kwa ajili ya nini? Na hata kuruani ililetwa kwa madhumuni gani!? Na babu Na Bibi zetu waliokufa kabla ya vitabu hivi kuja hawatapata uzima wa milele?
 
Hapo mi naimani ndugu yangu umeteleza ulimi kidogo kusema biblia ime....... maneno!
Lkn ni kweli kabisa. Upande mmoja Yesu anawakataza viti moto. Pombe, uliberali Mungu hana mtoto n.k!

Upande wa pili kuna PAULO nawruhusu vyoote hivyo na ni mtu wa kwanza kumpa cheo cha uungu yesu! Na kusema Mungu ana watoto!
Ndio maana wafuasi wa Yesu walikuwa wanaitwa wayahudi na hawa wanaitwa WAKRISTO!

'...my dear nimeku-miss sana nakumbuka last time walikupa ban asee pole ila msg delivered,welcome back'
 
Wivu unamsumbua huyo.Kipindi niko chuon nimekula nao sana hii kitu hao na wanakula haswa....Hata huku ninakofanya kazi wanakula
 
hii kitu ni ya kuepuka kadri uwezavyo, ina athari kiafya
Kuhusu utamu mi nadhani kitamu ni chumvi na viungo flani hivi, na si kitimoto yeyenyewe.
 
Back
Top Bottom