BUBE
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 845
- 254
NIna kubaliana na wewe kuhusu hilo, but. Companies that promote GMOs are filthy rich! They are very influential, thus a need to have independent bodies that informs the government and consumers in particular about possible effect.
Mkuu BUBE Mpaka Serikali zetu za Ki-Afrika zishtuke kuwa kwa Kutumia Utaalamu wa (GMO)
ni mbaya basi Wananchi wengi watakuwa wameshapatwa na Maradhi ya hivyo vyakula Feki vya Kutengeneza na Madawa ya (GMO)
Tujiepushe jamani na huo Utalaam Feki wa Kimarekani asante.


